tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Nmemind kwasababu tunahitaji mahusiano na nchi nyingi zaidi ili tuweze kuuza bidhaa zetu zaidi watu wapate hela...imagine mkulima wa maharage anaelima ekari 20 kwakua soko liko China leo akaambiwa kuna soko la maharage Korea,kuna soko Japan Lima heka 100 ukiweza na mkopo anapata...huoni ndio anachomoka kimaisha tayari apo..Sasa mkuu mbona na wewe umeanza kujibu kama fulani hapa? Hasira imechukua mkondo wake![]()




