Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

SGR Kenya will always be superior
FB_IMG_16673762408209843.jpg
FB_IMG_16673762075047512.jpg

The pillars are huge
FB_IMG_16673763041411681.jpg
FB_IMG_16673763019726647.jpg
FB_IMG_16673762479796183.jpg
FB_IMG_16673761958267814.jpg
FB_IMG_16673763292024132.jpg
FB_IMG_16673762138220222.jpg
 
FACT!

Hakuna rais yeyote wa Kenya aliyewahi pewa heshima ya namna hii huko China na kwingineko.

Tangia Nyerere tunabuluza kidiplomasia.
I’m in awe because of the level of pettiness adults show on here. You, in particular, will spend so much time on twitter and JF throwing profanities at SSH and her style of leadership but when foreigners treat her with “respect,” that’s when you find pride. What a hypocrite!

SSH has many shortcomings as a leader, but I’ll praise her efforts to restore foreign relations. It doesn’t matter whether or not a leader is greeted by a guard of honor when visiting another country. What matters is the purpose of the visit. The deals that are made. The conversations that come up. Not the flashy, elaborate crap that you seem to proclaim. Grow up.
 
Kuanzia namba 1-5 Rais Kikwete ndie alifanikisha mchakato wa mikopo yote hiyo tena kwa kusafiri..

Namba 5,zilikuwa ni stori hadi Rais Samia alivyokutana na Mkuu wa AfDB na ndio maana alizindua ujenzi wa Dom Ring Road na Juzi Msalato,Chini ya Mwendazake ilikuwa ni hadithi tuu bila utekelezaji..

6.Porojo zingine zisizo na msingi ni hizo kwenye namba 6.

Wewe mjamaa usiyeelewa biashara huwezi jua haya mambo si unajua mli paralyse uchumi Kwa sababu hamna akili.

Angalia exports ya Tanzania kuanzia 2021 hadi sasa afu uje kuongea ujinga wako hapa..

Faida nyingine ya Ziara hii hapa , VP anaweka mambo sawa Ili kupata pesa za sgr ya Kigoma👇
Kuna watu unaweza kuwadanganya kwa kuwa hata hawajui kinachoenfelea.Tanzanite bridge ilipatikana baada ya ziara ya kikwete South Korea fedha ziliidhishwa kabla kikwete hajatoka madarakani,MFugale flyover kikwete ndiye alitafuta Japan na kuruhusu fedha na kutumika,Ubungo interchange kikwete ndiye aliyetafuta fedha ikabaki muda kuanza utekelezaji.Mtu anayesema mikopo ilipatikana awamu ya sita nadhani uelewe mdogo tu unaweza ukasaini deal Leo lakini likakamilika after three years.Ukikopa benki ya nchi nyingine lazima taratibu za kiserikali zifanyike kuufanya huo mkopo kuwa chini guarantee ya serikali ili uweze kulipika kirahisi ndio maana huchukua muda mrefu.
 
I’m in awe because of the level of pettiness adults show on here. You, in particular, will spend so much time on twitter and JF throwing profanities at SSH and her style of leadership but when foreigners treat her with “respect,” that’s when you find pride. What a hypocrite!

Kumbe wewe ni mpumbavu na ki-uhalisia wewe si Mtanzania na ulichokiandika hapo juu ni kielelezo tosha. Kwa taarifa tu, China-Tanzania relation ni swala lililokuwa likifundishwa shuleni hasa shule za msingi na relation hii imekuwa indoctrinated kwa Wachina na Watanzania toka wadogo, kwa masomo, nyimbo na matangazo ya kila aina.

Watanzania wengi wako positive na China na hata ukiangalia comments za Watanzania kwenye posts za Mawaziri, Wakurugenzi na Mabalozi wa China wakiongelea Samia visit utaona positive comments 100%.

Angalia post yangu ya kwanza baada ya kutangazwa hii kitu huko China na Foreign Affair minister wa China, niliretweet. Hakuna asiyejua ni aiana gani ya mapokezi Samia angekutana nayo na haijaanza na Samia, tangu Nyerere. In Africa, ni China-Tanzania husheherekea relation yao kila mwaka in China na in Tanzania. Mimi kama Watanzania wengine, ni Sinophilia.
 
Kuna watu unaweza kuwadanganya kwa kuwa hata hawajui kinachoenfelea.Tanzanite bridge ilipatikana baada ya ziara ya kikwete South Korea fedha ziliidhishwa kabla kikwete hajatoka madarakani,MFugale flyover kikwete ndiye alitafuta Japan na kuruhusu fedha na kutumika,Ubungo interchange kikwete ndiye aliyetafuta fedha ikabaki muda kuanza utekelezaji.Mtu anayesema mikopo ilipatikana awamu ya sita nadhani uelewe mdogo tu unaweza ukasaini deal Leo lakini likakamilika after three years.Ukikopa benki ya nchi nyingine lazima taratibu za kiserikali zifanyike kuufanya huo mkopo kuwa chini guarantee ya serikali ili uweze kulipika kirahisi ndio maana huchukua muda mrefu.
Tafuta wa kumuongopea.
 
Kumbe wewe ni mpumbavu na ki-uhalisia wewe si Mtanzania na ulichokiandika hapo juu ni kielelezo tosha. Kwa taarifa tu, China-Tanzania relation ni swala lililokuwa likifundishwa shuleni hasa shule za msingi na relation hii imekuwa indoctrinated kwa Wachina na Watanzania toka wadogo, kwa masomo, nyimbo na matangazo ya kila aina.

Watanzania wengi wako positive na China na hata ukiangalia comments za Watanzania kwenye posts za Mawaziri, Wakurugenzi na Mabalozi wa China wakiongelea Samia visit utaona positive comments 100%.

Angalia post yangu ya kwanza baada ya kutangazwa hii kitu huko China na Foreign Affair minister wa China, niliretweet. Hakuna asiyejua ni aiana gani ya mapokezi Samia angekutana nayo na haijaanza na Samia, tangu Nyerere. In Africa, ni China-Tanzania husheherekea relation yao kila mwaka in China na in Tanzania. Mimi kama Watanzania wengine, ni Sinophilia.
I haven’t spoken anything against the cherished relationship between Tanzania and China. Clearly, your paranoia got the best of you. I addressed your hypocrisy, and it still creeps in every time you write. Tanzania cannot survive with just one relationship in the world. I look at the bigger picture, but you have a limited and biased view of our relationships with other countries.
 
I haven’t spoken anything against the cherished relationship between Tanzania and China. Clearly, your paranoia got the best of you. I addressed your hypocrisy, and it still creeps in every time you write. Tanzania cannot survive with just one relationship in the world. I look at the bigger picture, but you have a limited and biased view of our relationships with other countries.
Wewe ni kichaa na ndio maana nakwambia sio Mtanzania. Swala la mabeberu ni somo darasani na ndio tulivyokua raised. Tunawapendaje??

Wewe sidhani akam wajua nini maana ya unafiki unao nituhumu. Samia sio kiongozi mzuri na sidhani akam atarudi 2025. Wewe sio Mtanzania huwezi kutuelewa. Releshen na westerners ziko vizuri ila sio nchi rafiki ni nchi wanafiki kama nyie Wakenya.
 
Wasee acha niwatolee fom ya weekend, enda pale jumia, BLACK Friday offer,
song of ice 1500 only, nisha order ya mine,
Screenshot_20221104-003252_1.jpg

song of fire offer starts next week

Screenshot_20221104-004023.png
 
Wewe ni kichaa na ndio maana nakwambia sio Mtanzania. Swala la mabeberu ni somo darasani na ndio tulivyokua raised. Tunawapendaje??

Wewe sidhani akam wajua nini maana ya unafiki unao nituhumu. Samia sio kiongozi mzuri na sidhani akam atarudi 2025. Wewe sio Mtanzania huwezi kutuelewa. Releshen na westerners ziko vizuri ila sio nchi rafiki ni nchi wanafiki kama nyie Wakenya.
At least watu wenye mindset finyu kama yako hawaongozi nchi. Na hakuna elimu yenye propaganda kama unayoisema hapa Tanzania. Kwamba darasani mnafundishwa kupenda China na Russia na kuchukia western nations? China is just as imperial and capitalistic like many western countries. You just haven’t conceived it yet. You’re still naive and ignorant.

Someone on here had the audacity to mention that our relationship with China is so special, we must offer them a chance to invest in Tanzania without any form of taxation. The class of thought people like you impose on this site shows how foolish you are.

I’m not trying to patronize the West – please don’t get me wrong. I separate personal grievances when I discuss political matters because the world isn’t black and white as you claim. It’s more complex than that.
 
Kuna watu unaweza kuwadanganya kwa kuwa hata hawajui kinachoenfelea.Tanzanite bridge ilipatikana baada ya ziara ya kikwete South Korea fedha ziliidhishwa kabla kikwete hajatoka madarakani,MFugale flyover kikwete ndiye alitafuta Japan na kuruhusu fedha na kutumika,Ubungo interchange kikwete ndiye aliyetafuta fedha ikabaki muda kuanza utekelezaji.Mtu anayesema mikopo ilipatikana awamu ya sita nadhani uelewe mdogo tu unaweza ukasaini deal Leo lakini likakamilika after three years.Ukikopa benki ya nchi nyingine lazima taratibu za kiserikali zifanyike kuufanya huo mkopo kuwa chini guarantee ya serikali ili uweze kulipika kirahisi ndio maana huchukua muda mrefu.
Harafu wanakuwa na majibu yao wanatolazimisha ,sasa Mimi watu kama hao huwa nawapa vitasa directly wabakie kujisemesha na kujifariji baada maumivu..

Wakawadanganye wake zao sio mimi naefuatilia..Daraja la Tanzanite ilikuwa ni zawadi ya Korea Kusini Kwa Tanzania baada ya Tanzania kumuunga Mkono Ban Ki Moon alipokuwa anagombea kua UN Secretary General na Tanzania kupitia JK akiwa FM ilimuinga Mkono licha ya biti la Marekani..

Hawa vifaranga wa Mwendazake wako desperate na wanamchukia SSH sasa very unfortunately kwao anawa outshine sasa wanapata maumivu ya ndani Kwa ndani maana walitarajia atashindwa mambo iko Kinyume..

Huwa napenda kuwaambia kwamba awamu ya 6 hai struggle kuendesha Nchi kama ilivyokuwa awamu ya 5 maana saizi pesa ipo.. Serikali inaaminika ikitaka mkopo inapata ,mapato yanaongezeka Uchumi unakua kwa figure rasmi sio za kupika kama ilivyokuwa na miradi yote ya zamani ,mipya na ajira zinatoka at par.
 
Kuna watu unaweza kuwadanganya kwa kuwa hata hawajui kinachoenfelea.Tanzanite bridge ilipatikana baada ya ziara ya kikwete South Korea fedha ziliidhishwa kabla kikwete hajatoka madarakani,MFugale flyover kikwete ndiye alitafuta Japan na kuruhusu fedha na kutumika,Ubungo interchange kikwete ndiye aliyetafuta fedha ikabaki muda kuanza utekelezaji.Mtu anayesema mikopo ilipatikana awamu ya sita nadhani uelewe mdogo tu unaweza ukasaini deal Leo lakini likakamilika after three years.Ukikopa benki ya nchi nyingine lazima taratibu za kiserikali zifanyike kuufanya huo mkopo kuwa chini guarantee ya serikali ili uweze kulipika kirahisi ndio maana huchukua muda mrefu.
Kwa mantiki hiyo basi tuamini kwamba hakuna kitu SSH amefanya hadi Sasa, yote yanayofanyika hivi Sasa yalisainiwa na watangulizi wake, Sasa hii nyimbo ya mama anaupiga mwingi unatoka wapi?
 
Back
Top Bottom