Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
SGR Kenya will always be superior
The pillars are huge
The pillars are huge
I’m in awe because of the level of pettiness adults show on here. You, in particular, will spend so much time on twitter and JF throwing profanities at SSH and her style of leadership but when foreigners treat her with “respect,” that’s when you find pride. What a hypocrite!FACT!
Hakuna rais yeyote wa Kenya aliyewahi pewa heshima ya namna hii huko China na kwingineko.
Tangia Nyerere tunabuluza kidiplomasia.
Nasubiri kuona wakikopi Burj Khalifa kama hawajatoa kichuguu cha mchwa.







Kuna watu unaweza kuwadanganya kwa kuwa hata hawajui kinachoenfelea.Tanzanite bridge ilipatikana baada ya ziara ya kikwete South Korea fedha ziliidhishwa kabla kikwete hajatoka madarakani,MFugale flyover kikwete ndiye alitafuta Japan na kuruhusu fedha na kutumika,Ubungo interchange kikwete ndiye aliyetafuta fedha ikabaki muda kuanza utekelezaji.Mtu anayesema mikopo ilipatikana awamu ya sita nadhani uelewe mdogo tu unaweza ukasaini deal Leo lakini likakamilika after three years.Ukikopa benki ya nchi nyingine lazima taratibu za kiserikali zifanyike kuufanya huo mkopo kuwa chini guarantee ya serikali ili uweze kulipika kirahisi ndio maana huchukua muda mrefu.Kuanzia namba 1-5 Rais Kikwete ndie alifanikisha mchakato wa mikopo yote hiyo tena kwa kusafiri..
Namba 5,zilikuwa ni stori hadi Rais Samia alivyokutana na Mkuu wa AfDB na ndio maana alizindua ujenzi wa Dom Ring Road na Juzi Msalato,Chini ya Mwendazake ilikuwa ni hadithi tuu bila utekelezaji..
6.Porojo zingine zisizo na msingi ni hizo kwenye namba 6.
Wewe mjamaa usiyeelewa biashara huwezi jua haya mambo si unajua mli paralyse uchumi Kwa sababu hamna akili.
Angalia exports ya Tanzania kuanzia 2021 hadi sasa afu uje kuongea ujinga wako hapa..
Faida nyingine ya Ziara hii hapa , VP anaweka mambo sawa Ili kupata pesa za sgr ya Kigoma👇
I’m in awe because of the level of pettiness adults show on here. You, in particular, will spend so much time on twitter and JF throwing profanities at SSH and her style of leadership but when foreigners treat her with “respect,” that’s when you find pride. What a hypocrite!
SGR Kenya will always be superior
View attachment 2406148View attachment 2406149
The pillars are huge
View attachment 2406154View attachment 2406156View attachment 2406157View attachment 2406158View attachment 2406159View attachment 2406160
















Tafuta wa kumuongopea.Kuna watu unaweza kuwadanganya kwa kuwa hata hawajui kinachoenfelea.Tanzanite bridge ilipatikana baada ya ziara ya kikwete South Korea fedha ziliidhishwa kabla kikwete hajatoka madarakani,MFugale flyover kikwete ndiye alitafuta Japan na kuruhusu fedha na kutumika,Ubungo interchange kikwete ndiye aliyetafuta fedha ikabaki muda kuanza utekelezaji.Mtu anayesema mikopo ilipatikana awamu ya sita nadhani uelewe mdogo tu unaweza ukasaini deal Leo lakini likakamilika after three years.Ukikopa benki ya nchi nyingine lazima taratibu za kiserikali zifanyike kuufanya huo mkopo kuwa chini guarantee ya serikali ili uweze kulipika kirahisi ndio maana huchukua muda mrefu.
I haven’t spoken anything against the cherished relationship between Tanzania and China. Clearly, your paranoia got the best of you. I addressed your hypocrisy, and it still creeps in every time you write. Tanzania cannot survive with just one relationship in the world. I look at the bigger picture, but you have a limited and biased view of our relationships with other countries.Kumbe wewe ni mpumbavu na ki-uhalisia wewe si Mtanzania na ulichokiandika hapo juu ni kielelezo tosha. Kwa taarifa tu, China-Tanzania relation ni swala lililokuwa likifundishwa shuleni hasa shule za msingi na relation hii imekuwa indoctrinated kwa Wachina na Watanzania toka wadogo, kwa masomo, nyimbo na matangazo ya kila aina.
Watanzania wengi wako positive na China na hata ukiangalia comments za Watanzania kwenye posts za Mawaziri, Wakurugenzi na Mabalozi wa China wakiongelea Samia visit utaona positive comments 100%.
Angalia post yangu ya kwanza baada ya kutangazwa hii kitu huko China na Foreign Affair minister wa China, niliretweet. Hakuna asiyejua ni aiana gani ya mapokezi Samia angekutana nayo na haijaanza na Samia, tangu Nyerere. In Africa, ni China-Tanzania husheherekea relation yao kila mwaka in China na in Tanzania. Mimi kama Watanzania wengine, ni Sinophilia.
Wewe ni kichaa na ndio maana nakwambia sio Mtanzania. Swala la mabeberu ni somo darasani na ndio tulivyokua raised. Tunawapendaje??I haven’t spoken anything against the cherished relationship between Tanzania and China. Clearly, your paranoia got the best of you. I addressed your hypocrisy, and it still creeps in every time you write. Tanzania cannot survive with just one relationship in the world. I look at the bigger picture, but you have a limited and biased view of our relationships with other countries.
Mazoezi makali ya juzi Kwa zana na silaha nzito nzito ilikuwa na kusafisha ghala ili kuachia nafasi ya kuingiza advanced and sophisticated toys..
At least watu wenye mindset finyu kama yako hawaongozi nchi. Na hakuna elimu yenye propaganda kama unayoisema hapa Tanzania. Kwamba darasani mnafundishwa kupenda China na Russia na kuchukia western nations? China is just as imperial and capitalistic like many western countries. You just haven’t conceived it yet. You’re still naive and ignorant.Wewe ni kichaa na ndio maana nakwambia sio Mtanzania. Swala la mabeberu ni somo darasani na ndio tulivyokua raised. Tunawapendaje??
Wewe sidhani akam wajua nini maana ya unafiki unao nituhumu. Samia sio kiongozi mzuri na sidhani akam atarudi 2025. Wewe sio Mtanzania huwezi kutuelewa. Releshen na westerners ziko vizuri ila sio nchi rafiki ni nchi wanafiki kama nyie Wakenya.
Ni shida Sana huyu mtu, kweli duniani Kuna Mambo na vijambo, hivi ni binadamu gani hujitathmini mahusiano yako na jamii unayochanganyika nayo?.Nmecheka sn![]()
Harafu wanakuwa na majibu yao wanatolazimisha ,sasa Mimi watu kama hao huwa nawapa vitasa directly wabakie kujisemesha na kujifariji baada maumivu..Kuna watu unaweza kuwadanganya kwa kuwa hata hawajui kinachoenfelea.Tanzanite bridge ilipatikana baada ya ziara ya kikwete South Korea fedha ziliidhishwa kabla kikwete hajatoka madarakani,MFugale flyover kikwete ndiye alitafuta Japan na kuruhusu fedha na kutumika,Ubungo interchange kikwete ndiye aliyetafuta fedha ikabaki muda kuanza utekelezaji.Mtu anayesema mikopo ilipatikana awamu ya sita nadhani uelewe mdogo tu unaweza ukasaini deal Leo lakini likakamilika after three years.Ukikopa benki ya nchi nyingine lazima taratibu za kiserikali zifanyike kuufanya huo mkopo kuwa chini guarantee ya serikali ili uweze kulipika kirahisi ndio maana huchukua muda mrefu.
Kwa mantiki hiyo basi tuamini kwamba hakuna kitu SSH amefanya hadi Sasa, yote yanayofanyika hivi Sasa yalisainiwa na watangulizi wake, Sasa hii nyimbo ya mama anaupiga mwingi unatoka wapi?Kuna watu unaweza kuwadanganya kwa kuwa hata hawajui kinachoenfelea.Tanzanite bridge ilipatikana baada ya ziara ya kikwete South Korea fedha ziliidhishwa kabla kikwete hajatoka madarakani,MFugale flyover kikwete ndiye alitafuta Japan na kuruhusu fedha na kutumika,Ubungo interchange kikwete ndiye aliyetafuta fedha ikabaki muda kuanza utekelezaji.Mtu anayesema mikopo ilipatikana awamu ya sita nadhani uelewe mdogo tu unaweza ukasaini deal Leo lakini likakamilika after three years.Ukikopa benki ya nchi nyingine lazima taratibu za kiserikali zifanyike kuufanya huo mkopo kuwa chini guarantee ya serikali ili uweze kulipika kirahisi ndio maana huchukua muda mrefu.




Tunaongopa au facts matters.Utajiabisha mkuu.Hivi vitu viko wazi kabisa.Tafuta wa kumuongopea.