Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahyo kenya kuna cities ngapi mzee.?
ofcourse...

mombasa👇🏽
Screenshot_20220504-162250_Gallery.jpg







even nakuru is a city, dude!👇🏽
Screenshot_20220614-140110_Gallery.jpg
Screenshot_20220614-135517_Gallery.jpg
 
Sijasema ahead, it is comparable, zinaweza enda head to head.., and can beat Dar in several stuff na vice versa., ni ndugu na dada, Mwanza sio city bado, ni village town.., Dar is slimy(ushuzi) 80% ukiondoa CBD and few estates za maana, upana na urefu wake ni sprawling village type poor looking houses na panya routes..., ama unabisha, wewe lala tu, najua unaipenda Tanzania ata ukweli ni ngumu for you to swallow 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
hapo umegonga ndipo kabisa! bro 👍🏽🙏🏽 u're a good judge.

thts hw i also judge tanzania.. vast part of dar looks slumy, fewer decent houses mixing up with shanties so seamlessly and so extensively, infact UN says, upto 70% of darslam is actualy informal settlements ie. slums
 
hebu watz tuwacheni ujinga hatuwezi shindana na kenya kwa chochote, tunawashinda kwenye mdomo tu. Tena na kiswahili chetu kibovu tusiojua kutofautisha R na L. Nchi ina kila kitu lakini watu wake ni wa hivyo haijawahi kutokea
am still echoing this sentiments frm a tanzanian.. ukweli tz haiwezi shindana na kenya kwa chochote. huwa tu wanalazimisha mambo hawa watu, yaani 1+1=3!

sio kwa airport, sio kwa tourism, sio kwa mahospitali, sio kwa saruji, sio kwa umeme, sio kwa ports, sio kwa airways, sio kwa miji, sio kwa real estates, sio kwa mahoteli, sio kwa roads, sio kwa stadiums, sio kwa vyuo, sio kwa viwanda, sio kw
 
wapuuzi wengine eti wanasema TAZARA isiwe SGR kisa connecting rails from SADC countries zinatumia mgr, now what value of cargo did those worthless countries from SADC shipped via mgr to and from Dar port ?
TARARA ina mtejaa Mkuu mmoja, Zambia. With an upgrade to SGR tutaongeza ufanisi zaidi na kuhudumia masoko ya Malawi na DRC. Haya ni masoko makubwa sana,
Kutoka Kapir Mposhi hadi Lubumbashi its only 350km approx..
Nchi za SADC zinaumia cape gauge (3 ft 6 in / 1,067 mm) badala ya MGR (1000mm).
 
Sijui mnaijua hii kampuni.? 👇 View attachment 2400818View attachment 2400819View attachment 2400820nimeona imeingiza fleet moja ya buses hiyo hatari 💥💥 .

Company 1 ya mzee mmoja anaitwa Inyasi ndio supplier wa petroleum products kwenye migodi yote ya Barrick Tanzania, Monusco DRC, Breweries etc ana mawe hatari, kama kaingia kwenye busses basi competitors wake wajiandae.

Kuna taahira NairobiWalker alikua anasema tunajikomba SADC, hii company inasupply most of its business towards SADC region

View attachment 2400818
bluecoastz-20221028-0001.jpg
 
Difference ya Africa na these other countries ni different ethnicities and divided countries which are unique in many ways even culturally, hizi UAE, Russia, France, Saudi, Qatar, Kuwait, Singapore, USA etc in principle are more or less the same.., Arabic countries are defined by Islamic religion, which strongly informs their culture, thus they can easily agree to one thing as a whole. Singapore are one people, same characteristics like China and Korea; having strong cultural belief system, which partly informs their work culture, they are not divergent like Africa is, thus our basis or foundation is fractured, therefore can't easily hold a new ideology, we are likely to pull apart. The white man took advantage of it to even divide us further with borderlines separating countries and within the countries more borders to separate tribes so he can rule us, he left physically but ideologically he is holding Africa captive. Success is tied on principle than conduct. We need a paradigm shift in our mindset, an awakening to the reality of who we are as Africans beyond the limitations of our specific countries and ethnic backgrounds. A tall order, not easy.
On this please exclude Tanzania, we are not divided like other African countries
 
Swali kwa watani wa south, camponies ngapi za Tanzania zinatamba nje ya nchi yao? hapa EAC na beyond.., and in what magnitude? ama ni zile juice za Azam pekee na Azam TV nimeiskia ila sijawai kuiona popote Kenya..., ata kwa business news!!..,

Hizi ndizo characteristics za GDP kubwa..., We rule East Africa!

In Tanzania...KCB has risen.,
View attachment 2400503
View attachment 2400504

In Uganda...,waganda nao wanashangaa na speed ya Equity Bank..,
View attachment 2400506
View attachment 2400507

In DRC Equity Bank imefungulia wawekezaji wa Kenya njia..., na pia inatengeneza faida sana
View attachment 2400508
View attachment 2400515
View attachment 2400514

Equity inatenga pesa kusaidia biashara za Africa!
View attachment 2400517
KCB wananunua bank kule DRC na branches zake zote..., Kenya inateka East Africa region!!
View attachment 2400509

In Ethiopia.., Safaricom wameingiza kichwa na miguu
View attachment 2400510
View attachment 2400511
View attachment 2400512

South Sudan pia hatujaiwacha nje..,
View attachment 2400524
Huu upuuzi wako ndio chanzo cha umasikini wenu, wewe unataka makampuni yaende kujenga uchimi wa nchi za jirani wakati bado Nyumbani hawajamaliza kazi?.

Jeulize kati ya Kenya na Tanzania no nchi gani Kuna tatizo kubwa la ajira?, Ni nchi gani ndiyo yenye "what is the balance of trade among Tanzania and Kenya?.

Ukipata majibu ya hayo maswali unijulishe
 
Mngekua mbali sana, mbona mko nyuma, hamuamini ata waafrika wenzenu, waoga nyie, hafifu, wavivu na wanyonge!, matunda yanaonekana, hautahitaji nabii yeyote akuambie, jiangalie mlivyo tokea Dar hadi vijijini..., na uchunguze pia nje ya nchi yenu ushawishi wenu pia ulivyo.., usijitekenye, be realistic stop defending what is not there, sio kila wakati unajibu kishabiki, reason.
Kenya na Tanzania ni nchi gani yenye ushawishi mkubwa hapa Africa na duniani?, Ni nchi gani yenye historia iliyotukuka hapa Africa?
 
Swali kwa watani wa south, camponies ngapi za Tanzania zinatamba nje ya nchi yao? hapa EAC na beyond.., and in what magnitude? ama ni zile juice za Azam pekee na Azam TV nimeiskia ila sijawai kuiona popote Kenya..., ata kwa business news!!..,

Hizi ndizo characteristics za GDP kubwa..., We rule East Africa!

In Tanzania...KCB has risen.,
View attachment 2400503
View attachment 2400504

In Uganda...,waganda nao wanashangaa na speed ya Equity Bank..,
View attachment 2400506
View attachment 2400507

In DRC Equity Bank imefungulia wawekezaji wa Kenya njia..., na pia inatengeneza faida sana
View attachment 2400508
View attachment 2400515
View attachment 2400514

Equity inatenga pesa kusaidia biashara za Africa!
View attachment 2400517
KCB wananunua bank kule DRC na branches zake zote..., Kenya inateka East Africa region!!
View attachment 2400509

In Ethiopia.., Safaricom wameingiza kichwa na miguu
View attachment 2400510
View attachment 2400511
View attachment 2400512

South Sudan pia hatujaiwacha nje..,
View attachment 2400524

Kenyan banks struggle to grow in Tanzania​

FRIDAY JULY 08 2022
bank

A customer is served at a Kenya Commercial Bank branch. FILE PHOTO | NMG

Kenyan banks are struggling for market share in Tanzania despite a decade-plus presence in the country, underlining the challenges Kenyan businesses face in that market.

Equity Group, KCB and DTB hold a market share of less than four percent each in Tanzania, in contrast to shares of between five and 24 percent in other jurisdictions such as Uganda and the Democratic Republic of Congo (DRC).

Equity, which is the biggest lender in Kenya by assets and earnings, says in its latest annual report that it held a market share of just 1.7 percent in the Tanzanian market by the end of 2020.

KCB’s Tanzania market share in the period stood at 2.1 percent, and DTB’s at 3.8 percent.

Equity’s Tanzania unit has in the past suffered under the weight of high non-performing loans. It was also negatively affected by the Covid-19 pandemic and the government’s decision to shift to Dodoma from Dar es Salaam, where most of the bank’s branches are situated, which resulted in a loss of State-related business.

The bank, however, said in its 2021 full-year briefing in March that it is confident of a turnaround, saying it is reviewing its leadership and business model for the unit, and that the operating environment has improved post-Covid.

In other East African countries, the Kenyan banks enjoy a larger share of the market, the biggest being Equity’s DRC subsidiary at 24.7 percent, where it trades as EquityBCDC and is the second-largest lender in that country by market share.

In Rwanda, KCB is now the second-largest lender with a market share of 17 percent, behind Bank of Kigali at 37.5 percent, while I&M and Equity are the third and fourth-largest lenders respectively with market shares of 11.3 and 11 percent,

In Uganda, Equity and DTB account for 6.9 percent and five percent of the market respectively.

Kenyan lenders have partly relied on acquisitions to drive market share growth, such as Equity’s takeover of BCDC in the DRC and KCB’s acquisition of Banque Populaire du Rwanda Plc (BPR).

Equity and KCB have however recently failed in proposed acquisitions in Tanzania after they walked away from proposed deals to acquire BancABC Tanzania from Atlas Mara in 2020 and 2021 respectively.

cmwaniki@ke.nationmedia.com




KCB acquisition of Tanzanian bank flops​



THURSDAY DECEMBER 02 2021​

KCB Bank branch in Kenya.

KCB Bank branch in Kenya. KCB Group has cancelled its plan to acquire a Tanzanian lender from London-listed Atlas Mara Limited. PHOTO | FILE | NMG

Summary

  • KCB terminates acquisition of African Banking Corporation Tanzania citing regulatory approval hurdles.
  • Lender says it will explore other opportunities to expand its African presence.
ADVERTISEMENT

General Image

By BRIAN NGUGI
More by this Author

KCB Group has cancelled its plan to acquire a Tanzanian lender from London-listed Atlas Mara Limited, citing regulatory hurdles.

KCB in late November 2020 announced that it would acquire 62.06 percent stake in Banque Populaire Du Rwanda (BPR) and 100 percent stake in African Banking Corporation Tanzania Limited (BancABC).

The lender, which already has a presence in the two markets, signed a share purchase agreement Atlas Mara and gave itself a six-month timeline to complete the deal.

Read: KCB completes acquisition of Rwandan bank

The transaction would be settled in cash with $32 million being incurred on BPR and $8 million on BancABC. The actual cash consideration payable by KCB would, however, be determined based on the final book value of the two banks at the completion of the transactions.

The Kenyan multinational lender, with a presence in five East African markets, said the acquisitions reflected its expansion strategy in the regional market.

“As announced, completion of the transaction was subject to certain conditions...including receipt of all regulatory approvals. As of the date hereof, certain regulatory approvals have not been received within the prescribed timeframe specified in the Agreement,” said KCB in a regulatory notice to shareholders on Tuesday.

“As a result, without further agreement by the parties to extend the long-stop date, the agreement has been terminated and, accordingly, the parties will not proceed to complete the transaction as previously envisaged.”

KCB completed the purchase of the Rwandan bank in August, acquiring a 76 percent stake in BPR from Atlas Mara (62 percent) and private equity firm Arise (14 percent). It plans to acquire the remaining 24 percent stake owned by other minority investors.

KCB had inked the deal with Mara months after Equity Bank Group called off its plan to acquire four banking subsidiaries from Atlas Mara, saying it needed to preserve its capital in the wake of the Covid-19 pandemic.

The parties had initiated talks in April 2019, but the negotiations targeting Atlas Mara’s units in Rwanda, Zambia, Tanzania and Mozambique dragged on until the pandemic hit.

Atlas Mara is selling its African banks to KCB and other lenders to raise funds to pay its creditors, some of whom had launched liquidation proceedings against the multinational that was the brainchild of former Barclays Plc’s chief executive Bob Diamond.

Big banks led by Equity, KCB, and I&M and DTB have been deepening and expanding their presence in the region in pursuit of growth and diversification.

KCB says it will explore other opportunities “in order to enhance our regional participation, accelerate our growth and maintain sustainable long-term African success in line with our expansion and growth strategy.”

 
SADC vs EAC


The relationship within SADC is more cooperative and progressive

Vs

The relationship within EAC is confrotative and mistrust
kwani mnabembelezwa even us KE could choose to be Islamic state!!🇹🇿🚮🚮kwanza inaonekana They will be so happy with KE!!👌watanunua pia mirugi ya KE kwa fujo!!!
Mkumbuke even tourism in Tanzania EAC ndio inaongoza!mpaka mazao yenu tunapandaga kwa shamba zenu na tunajiuzia👌sjui SADC na pia ni wakulima na pia wako na gas Mozambique sjui mutawauzia Nini????😂😂😂pia bangi SADC wanakuza!!!!
Mushai funga border and we didn't die!!kwanza our Economy became more resilient!!
Pia Mahindi Tunaweza nunua Egypt,Ethiopia,or Mexico!!or tupokee mafunzo from Egypt jinsi ya kufanya canal irrigation in Arid Areas!!!
You ain't that special🐌🐌🇹🇿🚮🚮🚮👌
 
Zambia ndio Wana push Sana Sgr ijengwe ili kurahisisha usafiri wa mizigo kutoka dar.
leta evidence Zambia wanataka TAZARA iwe SGR, mama anaenda China Nov 2 kaa mkao wa kula TAZARA inaenda rehabilitated n modernized na Mchina si mjinga kujifunga na market ya Zambia pekee wakati Bagamoyo port ita-serve the whole of East and central Africa! BTW ni upumbavu wa hali ya juu kusema CGR haiwezi kuwa rehabilitated na kubeba mzigo mzito zaidi na treni kwenda speed ya juu! kwani South Africa wanabeba mizigo ya SADC na reli ya gauge ipi? Wacha kuwa short sighted!

Tanzanian, Zambian leaders agree to revive TAZARA railway​

By
XINHUA
-
August 3, 2022
Tanzania and Zambia on Tuesday agreed to mobilize resources to revive the TAZARA railway to make it modern and vibrant.

Tanzanian President Samia Suluhu Hassan said the agreement to revive TAZARA was reached when she held talks with visiting Zambian President Hakainde Hichilema at State House in the commercial capital Dar es Salaam.

R-12-1024x623.jpg
Image of TAZARA train. /TAZARASITE.COM

TAZARA was constructed as a turnkey project between 1970 and 1975 through an interest-free loan from China, with commercial operations starting in July 1976, covering 1,860 kilometers from Dar es Salaam in Tanzania to New Kapiri Mposhi in Zambia.

President Hassan added that the two leaders have also agreed to work closely in promoting trade and investment through the revival and renovation of key joint post-independence infrastructure projects that were built to link the two nations, including the Tanzania-Zambia Crude Oil Pipeline (TAZAMA).

“Tanzania and Zambia are long-time friends. We have agreed to further promote these relations which now should be translated into economic and trade relations to improve the lives of our people,” said President Hassan.

For his part, Zambian President Hichilema said the relations between Tanzania and Zambia were a heritage inherited from founding fathers Julius Nyerere and Kenneth Kaunda who understood the importance of connecting the two nations.

“We need to work together because our relationship and co-existence is historical, we were together in the struggle for independence, since then we have worked together and our people have been one,” he said.



Meanwhile Wachina wako busy kuleta vifaa vya size ya Cape Gauge Railway...👇 👇 👇



SOURCE / ECONOMY
China’s CRRC Qiqihar branch exports largest railway flat wagon to Tanzania
By Global TimesPublished: Oct 16, 2022 11:56 AM Updated: Oct 16, 2022 11:54 AM

Screenshot of the article published by CRRC Qiqihar via its official WeChat account

Screenshot of the article published by CRRC Qiqihar via its official WeChat account

A railway flat wagon, with a maximum capacity of 200 tons, which will be exported by CRRC Qiqihar Rolling Stock Co has been loaded for shipment to Tanzania at Tianjin port, North China, on Saturday.

This is the company's largest heavy-duty railway product being exported overseas, according to an article published on the company's WeChat account.

The DA20 flat wagon is the largest exported flat wagon produced by CRRC Qiqihar, and is specially designed for the 1,067 millimeters gauged railway used for the Tazara Railway.

Constructed in May, DA20's strength of structure, brake system and weld connections are all complying with Chinese standards, media reports said.

Boosted by the Belt and Road Initiative (BRI), CRRC Qiqihar has exported more than 40,000 railway wagons to 37 countries and regions, including 28 countries along the BRI, the company said.

Global Times

 
kwani mnabembelezwa even us KE could choose to be Islamic state!!kwanza inaonekana They will be so happy with KE!!watanunua pia mirugi ya KE kwa fujo!!!
Mkumbuke even tourism in Tanzania EAC ndio inaongoza!mpaka mazao yenu tunapandaga kwa shamba zenu na tunajiuziasjui SADC na pia ni wakulima na pia wako na gas Mozambique sjui mutawauzia Nini????pia bangi SADC wanakuza!!!!
Mushai funga border and we didn't die!!kwanza our Economy became more resilient!!
Pia Mahindi Tunaweza nunua Egypt,Ethiopia,or Mexico!!or tupokee matunzo from Egypt jinsi ya kufanya canal irrigation in Arid Areas!!!
You ain't that special
Mbona imekuuma hivyo?.
Tanzania na nchi za Kusini mwa Africa ni ndugu wa mama mmoja, ndio sababu tunapendana, tunashirikiana na kusaidiana, hakuna chuki Wala wivu miongoni mwetu

Biashara kati ya Tanzania na SADC ni zaidi ya mara mbili ya biashara kati ya Tanzania na EAC. Tanzania tunapata faida ya $500M kwa mwaka EAC, wakati tunapata zaidi ya $1.3B SADC

Kwa jinsi Uchumi wa Kenya unavyoitegemea Tanzania kwa Sasa, tukiamua kufunga mipaka yetu, Uchumi wa Kenya utasambaratika ndani ya miezi 6 tu, kumbuka jinsi mlivyohangaika kuomba msamaha tulivyoifingia KQ kuja Tanzania enzi za Magufuli.
 
Mbuna imekuuma hivyo?.
Tanzania na nchi za Kusini mwa Africa ni ndugu wa mama mmoja, ndio sababu tunapendana, tunashirikiana na kusaidiana, hakuna chuki Wala wivu miongoni mwetu

Biashara kati ya Tanzania na SADC ni zaidi ya mara mbili ya biashara kati ya Tanzania na EAC. Tanzania tunapata faida ya $500M kwa mwaka EAC, wakati tunapata zaidi ya $1.3B SADC

Kwa jinsi Uchumi wa Kenya unavyoitegemea Tanzania kwa Sasa, tukiamua kufunga mipaka yetu, Uchumi wa Kenya utasambaratika ndani ya miezi 6 tu, kumbuka jinsi mlivyohangaika kuomba msamaha tulivyoifingia KQ kuja Tanzania enzi za Magufuli.

Anasema “wanajipandia mazao kwenye mashamba ya Tanzania halafu wanajiuzia”
Kuficha aibu kuwa Tanzania inawalisha.
 
Mbuna imekuuma hivyo?.
Tanzania na nchi za Kusini mwa Africa ni ndugu wa mama mmoja, ndio sababu tunapendana, tunashirikiana na kusaidiana, hakuna chuki Wala wivu miongoni mwetu

Biashara kati ya Tanzania na SADC ni zaidi ya mara mbili ya biashara kati ya Tanzania na EAC. Tanzania tunapata faida ya $500M kwa mwaka EAC, wakati tunapata zaidi ya $1.3B SADC

Kwa jinsi Uchumi wa Kenya unavyoitegemea Tanzania kwa Sasa, tukiamua kufunga mipaka yetu, Uchumi wa Kenya utasambaratika ndani ya miezi 6 tu, kumbuka jinsi mlivyohangaika kuomba msamaha tulivyoifingia KQ kuja Tanzania enzi za Magufuli.
ivi ndivyo mnajidanganya eti mkifunga border Kenya Ina filisika😂kwani ni Mara ya kwanza kufunga!!!
Alafu hao SADC kwani hujui jinsi wanatuongeaga mazuri ya Kenya??kuliko nyinyi kuuza bangi na ugaidi kwa Nchi za SADC!!

Najua pia SADC huomba sana Kenya iungane na SADC🤑sababu sisi na biashara ni🔥
Ebu jua kuwa mkifunga border mtajiumiza nyie wenyewe!!kwasababu mukulima hauziagi mazao yake kwa mkulima mwingine!!!
Sisi Kenya tunakuzaga Cash crops and Manufacturing kwa wingi,pia Banking sisi ni King of EAC👌
Siku hizi tunahamisha mabiashara upande wa North Kenya where markets are available na Kuna watu wengi sana😃
Mpaka Somalia enda uone jinsi pia companies zinamilikiwa na Wakenya!!!mpaka Somali Land!!👌
Safaricom,Equity na KCB pia tumepeleka huko North na naskia Safaricom inakuwa kwa Kasi Ethiopia
Nyinyi eti sasa Mnaona reli ya SADC ambayo itashughulikia Upande wa Tourism pekee eti ndio mkafunga bao😂😂😂😂kwani hujiulizi na mlivyokaribia izo SADC countries mbona Nchi Kama Rwanda,DRC,Uganda na Burundi wanaipendelea Mombasa port sana???
Lazy heads!!🚮
 
Back
Top Bottom