Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna vitu vitatu nafikiri vitazungumzwa.

1) nadhani mh rais ameenda kutafuta wawekezaji

2) nafikiri watazungumza kuhusu reli ya tazara ijengwe Kwa kiwango cha Sgr kama unakumbuka mwaka huu rais wa Zambia alikuja tz na akaomba waangalie jinsi ya kujenga reli mpya ya tazara, kama tunavyojua hii reli ilijengwa na wachina Kwa jasho na damu.

3) pia nafikiri kuna mazunguzmo yatafanyika juu ya bandari ya bagamoyo.
TAZARA haibadilishwi kuwa SGR that will never happen!
 
TAZARA haibadilishwi kuwa SGR that will never happen!
Kwanini isibadilishwe/ isijengwe upya?
Screenshot_2022-10-27-17-37-51-39.jpg
 
Kwanini isibadilishwe/ isijengwe upya?View attachment 2400022

wapuuzi wengine eti wanasema TAZARA isiwe SGR kisa connecting rails from SADC countries zinatumia mgr, now what value of cargo did those worthless countries from SADC shipped via mgr to and from Dar port ?
TARARA ina mtejaa Mkuu mmoja, Zambia. With an upgrade to SGR tutaongeza ufanisi zaidi na kuhudumia masoko ya Malawi na DRC. Haya ni masoko makubwa sana,
Kutoka Kapir Mposhi hadi Lubumbashi its only 350km approx..
 
Zambia ndio Wana push Sana Sgr ijengwe ili kurahisisha usafiri wa mizigo kutoka dar.

And it makes economic sense hata kwa investor (mchina)
But angalau wanegotiate vizuri iwe na track specs za juu, higher axle capacity hasa ukizingatia uzito wa Shaba plus other metals from DRC, atleast a reasonable speed, Electrified, 120-150km/Hr for cargo na 150-250km/Hr for passengers..
 
Kwanini isibadilishwe/ isijengwe upya?View attachment 2400022
Mm naona isibadilishwe..it will be expensive and it will take a toil on Tanzania economy with more debt..we should focus on more roads vijijini bado lami haitoshi, umeme (hasa supply na stability ya national grid), Port bado Dar Port ni ndogo sana , Housing Scheme

Cha maana wa improve Cape Gauge i move faster ..na labda iwe electrified
 
Niliongea na mama mmoja wa kimarekani juzi kati alikuwa anaelekea Kilimanjaro nikamtania "China inakwenda kuchukua nafasi ya USA kama Superpower miaka michache ijayo je wewe unakubali hilo?" Akajibu shortly kabisa "Definitely "
Iyo hata Biden anajua...sema itachukua muda kidogo
 
Back
Top Bottom