Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Kuzidi ama ku level?.., zinatoana vumbi., ila huwezi level Mwanza na Dar.., or Mwanza na Mombasa ni ukichaa ama kujitoa ufahamu wazi wazi.., nimeweka mengi ya Mombasa yenye Dar ilishindwa kujibu, naijiua Dar na hakuna ambaye angenidanganya..., ukijaribu janja janja naumbua tu.Hapana usitufanye wapumbavu kila siku, toa leo kinyongo chako, ni wewe kila leo unaetaja taja Mombasa kuizidi DAR .. haya tueleze hapa, ni kwenye upande gani.? au na wewe ni mzee wa ports comparison.? 🤣🤣
