Kachengcheng
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,551
- 979
Kama tungekuwa wazembe hatungekuja TZ kulima Mahindi tukiwalipa Kodi walazi nyinyi🚮Kila pembe ya kenya failed state kuna njaa nashangaa sana unajificha kwenye kichaka cha ukame wa northern.
Tanzania pekee ndo sehemu mnaweza pata mahindi kwa bei nzuri kondoo wewe.
Abroad wapi mahindi ni cheap?
Tanzania inaongoza kwenye kilimo cha umwagiliaji ukanda huu.
Eti wenye mifugo ndo wanaumia utadhani hatuifahamu hiyo kenya.
Njaa inawalima hadi gatundu.
Hamna akili wavivu wazembe ninyi.
Ni venye tu Kenya iko ukame tulikuwa tumetegemea mvua Sana na sasa hakunyeshi!!
Si Mungu tu alete mvua uone Wakenya wakilima pande zote!!we ain't lazy like you🇹🇿🚮
Kumbuka kwa cash crops pia hamtushindi!!!tuko ligi ya India👌



Imagine kuitwa lazy na taifa which depends on food donations.. kuna namna nafkiri hawa jamaa tuwaache tu .. wenyewe wanajiita ni hard workers
sababu sisi na biashara ni

tunaweza ita Egypt watufunze Canal irrigation!!!sababu highland zetu tumepanda Cash crops and we are thee best in Afrika!!!
