Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,112
- 10,550
Zoea Kenya mapema uepuke maumivu moyoni, pressure na ulcers, usife bure.., wewe bado mtoto mdogo kilaza π π π π π π π π π
Zoea Kenya mapema uepuke maumivu moyoni, pressure na ulcers, usife bure.., wewe bado mtoto mdogo kilaza π π π π π π π π π
topestan all around!Ndio mnatoka porini π π π π π π π jengeni buildings za maana nje ya Dar pia paonekane kando na mauswazi mlizo jaza kwa miji zenu..,
View attachment 2375566
View attachment 2375584
View attachment 2375585
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ndio picha itoke kama kapiga wakati wa tetemeko la Ardhi?
Kumbe ulishatia neno huko nyuma. Lakini lazima kuna kitu amekipinga.Siku aliyoteuliwa nilipinga sana uteuzi wake.
Acha uongo wew.. unascreenshot video youtube unasema umepiga wew.. ukibisha nakutafutia ulipotoa hii video youtubemy samsung camera while strolling in the streets of cape town's, sea point area in august π€£π€£π€£
View attachment 2375587View attachment 2375588View attachment 2375589View attachment 2375590View attachment 2375591View attachment 2375592View attachment 2375593View attachment 2375594View attachment 2375595View attachment 2375596View attachment 2375597View attachment 2375598
Na wewe hii uboya wako utaepuka lini? π π π π π π π π ..,Wakenya mwizi naona anafukuzwa mdogo mdogo Don FY
View attachment 2375609View attachment 2375610View attachment 2375611
Inawezekana amechallenge uongozi wa juu katika maamuzi.Akili mingi. Na hana haiba ya uongozi
Leta ya 2022 kama una ubavu πππNa wewe hii uboya wako utaepuka lini? π π π π π π π π ..,
October 16, 2020 vs Tanzania's 2022?.., pesa yenye tulitengeneza 2020 1st quarter ata waleo hamjafikisha? mnafukuza nini kilaza? bado mko porini kilazaπππππππππππ., Tshs5.9 Trillion in 2022 vs Tshs6.1 Trillion in 2020 for Kenya!!!
View attachment 2375615
View attachment 2375618
Jifunze kufanya utafiti kabla ya kukurupuka, nilikuonya usinitag kwa ushabiki wako wa kipuzi kilazaπππππππππππ
ivo tu ndo kunaendaga..π€£ u ll knw, u don't knw!π€£..Acha uongo wew.. unascreenshot video youtube unasema umepiga wew.. ukibisha nakutafutia ulipotoa hii video youtube
View attachment 2375616
I always pity you guys β¦ you really have the enthusiasm shida tu your country ndo inawalet down imagine having to repeat post this building over and over againMimi leo nimetembea kwa mguu kutoka Kinondoni Kwa Pinda hadi Mlalakua Bridge Kawe Club 361. Wakati naenda nilikua naface jua hivyo picha hazikutoka vizuri, Nilishare hapo juu kwenye title ya picha zenye ukungu [emoji23].
Wakati narudi nimepiga hizi hapa Chini.
Mimi ni mpenzi wa Demokrasia barabarani, Yaani wewe ukiendesha gari yako ya mamilioni barabarani na mimi ninayetembea au nikiendesha baiskeli ya elfu sabini nipite eneo salama tuwe sawa. Naweza kusema, Barabara Ali Hassani Mwinyi mpaka Bagamoyo inapoanzia wamejitahidi, Pedestrian and cyclist friendly road. Hii na ile barabara inayounganisha Tanzanite Bridge ina mchango mkubwa sana kwa afya za wakazi wengi wa Dar. Watu wengi sana wanatembea na kukimbia kwenye barabara hizi.
View attachment 2375284
View attachment 2375285
View attachment 2375286
View attachment 2375287
View attachment 2375288
View attachment 2375289
View attachment 2375290
BTW
Nimesikia mlulungwa kataja kitu Urban decay, Hivi zile taka kila kona hazioni [emoji23]. Manina kesho naanza kushare picha za rooftops Dar tulinganishe na ule ukungu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio tunafunga gap hivyo tena kwa speed ya hatari, hapo bado Nyerere dam halijaisha, EACOP na SGR, bado migodi mikubwa ya nickel, gold na uwekezaji wa $30B wa natural gas the future is promising π€©π€©π€©Na wewe hii uboya wako utaepuka lini? π π π π π π π π ..,
October 16, 2020 vs Tanzania's 2022?.., pesa yenye tulitengeneza 2020 1st quarter ata waleo hamjafikisha? mnafukuza nini kilaza? bado mko porini kilazaπππππππππππ., Tshs5.9 Trillion in 2022 vs Tshs6.1 Trillion in 2020 for Kenya!!!
View attachment 2375615
View attachment 2375618
Jifunze kufanya utafiti kabla ya kukurupuka, nilikuonya usinitag kwa ushabiki wako wa kipuzi kilazaπππππππππππ
Nunua simu kaka hiki ni kitu gani picha haionekaneniThe tallest residential tower in Africa standing tall. Ishapita Prism kwa urefu.
View attachment 2374964
Wivuuu..., mji wa Eldoret niπ₯π₯π₯π₯π₯topestan all around!
Nmekubali iyo
Nimeichukua like yangu kumbe uongo, hivi hawa jamaa uongo unawasaidia nini?[emoji848][emoji2955][emoji2955][emoji2955]Acha uongo wew.. unascreenshot video youtube unasema umepiga wew.. ukibisha nakutafutia ulipotoa hii video youtube
View attachment 2375616
Read again 2020 yetu ndio 2022 yenu π π π π π π π π πNdio tunafunga gap hivyo tena kwa speed ya hatari, hapo bado Nyerere dam halijaisha, EACOP na SGR, bado migodi mikubwa ya nickel, gold na uwekezaji wa $30B wa natural gas the future is promising π€©π€©π€©
While ninyi hamna project yoyote ya maana mnayotegemea zaidi ya loaning minimization πππ
People like you hawawezi elewa the meaning of green spaces so haina haja hata kukuelezaMbn eneo kubwa liko wazi?
Hawk eye, nilishuku sanaππππππππAcha uongo wew.. unascreenshot video youtube unasema umepiga wew.. ukibisha nakutafutia ulipotoa hii video youtube
View attachment 2375616
Ushauri mzuri sana.Lakini atakuja na article kwamba hata wazungu camera zao zina ukungu hiyo ni gani kwake [emoji16][emoji16][emoji16]Nunua simu kaka hiki ni kitu gani picha haionekaneni