Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kamera yenye ukungu [emoji23]

IMG_2097.jpg

IMG_2098.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20221002-194421.png
    Screenshot_20221002-194421.png
    174.5 KB · Views: 21
  • 20221002_194431.jpg
    20221002_194431.jpg
    102.2 KB · Views: 21
  • 20221002_194429.jpg
    20221002_194429.jpg
    327.4 KB · Views: 21
  • 20221002_194434.jpg
    20221002_194434.jpg
    152.8 KB · Views: 19
  • 20221002_194426.jpg
    20221002_194426.jpg
    133.6 KB · Views: 21
Inamaana Mkono ulikua unatetemeka na upepo? Chang’aa au alikua anaibia kupiga picha huko juu, Anatuumiza macho bure . Unakua location bomba hivi halafu anatoa utopolo huu na ana kifua kabisa [emoji23], What a loss.
Anakuambia "Wadau niko juu ya KICC rooftop.
It's 4 years since I was here, wuehhhh Nairobi is developing fast."[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Haters wa Rais Samia mnaalikwa huku kashinda tuzo 2 za Kimataifa za kutambua Kazi yake nzuri 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221002-143400.png
    Screenshot_20221002-143400.png
    83.3 KB · Views: 18
Naomba kuuliza politely.. kwa mikopo inayokopwa na miradi inayoanziwa au imeanzishwa/visioned na awamu ya sasa tokea March 2021, ni miradi gan inachochea kukua kwa uchumi au itafanya uchumi ikue kwa zaid ya 6%. Kuna karesearch nafanya kidogo.. ningependa kujua hio miradi yote pls
 
Ka Nairobi bila filter hakaendi ila hizi picha hapana mkuu mana ni giza kama kapiga usiku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Atakwambia Nairobi ina ukungu sababu ya kuwa na misitu mingi na mvua imenyesha mingi sana leo, akhi leo nimecheka yangu yote [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom