Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Fake news, kwa miaka miwili tu Tanesco imeunga wateja 4.5 million

View attachment 2372355
It's not the first time unapinga a data reports za serikali Yako😂😂😂

TANESCO
JamiiForums-233330013.jpeg
 
Kwani apartments ina consume hewa kilaza?.., yaani siku zote unabakia kuwa zuzu tu.., when will u get informed?.., Tanzania ni fukara, hizo projects zenu kubwa kubwa zinajikokota miaka nenda miaka rudi, ina maana ata consumption ya cement par year ni kidogo sana.., watchman rudi shule utuondolee aibu humu 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Apartments ndio ziwe na cement consumption kuliko SGR kipande kimoja tu .? 🤣
 
Kumbe Lagos bhn imeendelea kuliko slum city ka Nairobi, ndio maana wakunya wanaiogopa Lagos [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tapatalk_584128112_311x512.jpg
 
Wameona wanakaribia kumshinda Putin so gas na mafuta wataendelea kuyapata tu kutoka Russia hawana haja tena na mafuta ya Africa. Waafrika mkiwa na vyanzo vikubwa vya income hatawategemea tena kuwaomba msaada, wanatufifisha kiuchumi.
Kuhusu Kumshinda Putin Bado sana,watasubiri sana mpaka dunia ipotee
Hawawezi
 
Sasa SGR inatumia Cement kiasi gani? Are you aware that a dual carriageway of 400km consumes more cement than SGR truck of 2,000km?
We sio bure unaliwa wewe.. kunakuwa na viwanda vya kutengeneza mataruma kabisa ili kujengwa njia ya SGR .. hiki kiwanda kinatengeneza mataruma 1500 every single day 👇. 👇
1(17).jpg
mataruma ni hizo mikitu za zege zilizopitishiwa chuma juu yake tayari kupitisha reli, imagine hiyo cement consumption daily.. sijataja cement consumption kwenye overpasses, underpasses, mifereji,vituo vya reli n.k, and mind you kuna viwanda kadhaa vya kujenga mataruma katika kila phase moja ya mradi.. and guess what, tuko na 5 phases U/C simultaneously.. wacha mchezo kabisa .. leta hiyo cement consumption kwene jujenga tarmac roads .. tuone kama inaweza fika 2% ya 1 phase of SGR
 
2020 wakati tunaenda 2023 🙄
Thanks for the history


Ripoti hio hio ya WB inayosema " enabled Tanzania to achieve one of the fastest electricity access expansion rates in Sub-Saharan Africa."

Ripoti hio hio inasema Kenya ndo iko na the fastest electricity access expansion in Africa... So Tanzania is one of the fastest in Sub-Sahara Africa lakini Kenya ndo fastest kushinda zote!

Screenshot 2022-09-30 114411.png


Kama unavyoona hapo juu, Kenya iko na watu 15 Million ambao hawajapata uwezo wa kufikiwa na stima, Wakati Tanzania ni 36 million.

Kenya, 71% ya wakenya wamefikiwa na umeme wakati Tanzania mmefika 40% mwaka huu.

Kenya ikiwa na 5.2% growth rate increase access to electricity ndo inaongoza, ikifwatwa na Uganda(3.0%) , Ethiopia(2.6%) alafu ndo Tanzania(2.5%)...... Kwahivyo hio tweet ulioweka inayosema "has enabled Tanzania to achieve one of the fastest electricity access expansion rates in Sub-Saharan Africa." inaongelea kuhusu hio 2.5% yenu ambayo inawafanya muwe namba 4 sub-sahara Africa baada ya Kenya, Uganda, Ethiopia !


Tena kumbuka Kenya tayari asilimia kubwa iko na umeme na bado tunaongoza % rate ya wateja wapya... Ikija kwenye orodha ya top 20 least electrified countries, Kenya haimo kwenye hio list, Lakini Tanzania imo at only 40% electified by 2022
least.png






1664529614028.png


1664529644928.png

Source


Kwahivyo ikija kwa hili swala la umeme, Watanzania msijaribu kujilinganisha na Kenya, tumewaacha mbali sana, Uganda ndo size yenu, na mkizubaa nao pia watawaacha nyuma, Mwanzo museveni akishaondoka kutaingia nguvu mpya!
 
Back
Top Bottom