Atcl Inasambaza mbawa kila sehemu 👇View attachment 2372013
AIR tz inapeleka pumzi ya moto kwa kunya always hahahaaaaa
[emoji116][emoji116]View attachment 2372013
AIR tz inapeleka pumzi ya moto kwa kunya always hahahaaaaa
Watakwambia wao ndiyo wanaongoza kwa cement consumption ukiwaomba waoneshe miradi wanayofanya wanakuletea apartments [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Cement inayolika hapa si ya kitoto ngoja tuone data za 2022
Unajua maana ya filter kilaza.., ama umeona kitu kizuri unadhani ni filter.., Yaani Kenya iko na Masoko na malls, nyie mko na masoko na malls za maana chache mno..., lanes.Ukitoa filter hapo aibu
Hii hapa Aboud Bus wanatutengenezea kutoka Kibera [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna panya hivi uwa akili zake zipo kwenya tako,,. ety tunaagiza buses kutoka kunyani apo ni wapi qmmke
Kwani apartments ina consume hewa kilaza?.., yaani siku zote unabakia kuwa zuzu tu.., when will u get informed?.., Tanzania ni fukara, hizo projects zenu kubwa kubwa zinajikokota miaka nenda miaka rudi, ina maana ata consumption ya cement par year ni kidogo sana.., watchman rudi shule utuondolee aibu humu 😂 😂 😂 😂 😂 😂Watakwambia wao ndiyo wanaongoza kwa cement consumption ukiwaomba waoneshe miradi wanayofanya wanakuletea apartments [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Wanatengeneza ama vijana wana modify to pimp, ujinga laana 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Hii hapa Aboud Bus wanatutengenezea kutoka Kibera [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2372195View attachment 2372197View attachment 2372198View attachment 2372200
Apartments zenu zote nchi nzima hazifiki hata nusu ya cement inayotumika kutengeneza sleepers, culverts, bridges, overpasses, viaducts, stations za kipande kimoja cha SGR Tanzania na vipande vinne vipo kwenye ujenziKwani apartments ina consume hewa kilaza?.., yaani siku zote unabakia kuwa zuzu tu.., when will u get informed?.., Tanzania ni fukara, hizo projects zenu kubwa kubwa zinajikokota miaka nenda miaka rudi, ina maana ata consumption ya cement par year ni kidogo sana.., watchman rudi shule utuondolee aibu humu 😂 😂 😂 😂 😂 😂