Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Another boya..., hizo culverts, bridges, overpasses nchi gani iko na nyingi EAC tukijumuisha yote kwa pamoja? kwani ni apartments peke yake? hizo vitu unataja zinawachukua miaka na miaka kujenga, mngekua mnatumia cement kwa mpigo zingekua zina kamilika kwa wakati unao faa, usijilinganishe na Kenya boya, kilaza kwa ubora wake, mko na shabiki za kupumbavu sana😂😂😂😂😂.,
Wewe ni taahira na hujawahi kumiliki akili, endelea na mipasho

JPM Bridge Mwanza pekee inatumia cement yote inayotumika Nairobi na counties zake za pembeni
 
Kwani apartments ina consume hewa kilaza?.., yaani siku zote unabakia kuwa zuzu tu.., when will u get informed?.., Tanzania ni fukara, hizo projects zenu kubwa kubwa zinajikokota miaka nenda miaka rudi, ina maana ata consumption ya cement par year ni kidogo sana.., watchman rudi shule utuondolee aibu humu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nitajie mradi mkubwa uliokwisha baada ya mwaka mmoja au unadhani kujenga miradi mikubwa kama yetu ni sawa na kujenga ghorofa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hao Ethiopia wenyewe bwawa lao ambalo lilianza kujengwa kabla yetu na bado halijaisha, nyie hamna mradi mkubwa hata mmoja, mna vimiradi vidogovidogo alafu mje mtukaribie kwenye cement consumption? Labda dunia iumbwe upya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huu ni ujinga wa serikali ya mama! Inapaswa kuzuia hizi agencies!






Kunyaland imelaaniwa njaa yao, 50% of country under bandits control, bigger international slaves population, no water, no shelter, corruption, debts ridden failed state, hunger na kila aina ya disaster
 
Tukisema ukweli wanatukana 😂😂

Hii ni nyingine baada ya hii
Fdj4HvJXEAEkk6Y.jpeg
Fdj4IPvXEAE0R32.jpeg
Fdj4HMvXoAEo84r.jpeg
Fdj4IzyWYAEPLIo.jpeg
 
Nitajie mradi mkubwa uliokwisha baada ya mwaka mmoja au unadhani kujenga miradi mikubwa kama yetu ni sawa na kujenga ghorofa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hao Ethiopia wenyewe bwawa lao ambalo lilianza kujengwa kabla yetu na bado halijaisha, nyie hamna mradi mkubwa hata mmoja, mna vimiradi vidogovidogo alafu mje mtukaribie kwenye cement consumption? Labda dunia iumbwe upya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anasema wana culverts, bridges and overpasses nyingi EAC 😂😂😂 hivi huyu kichaa Don YF anajua anachoongea kweli?
 
Mwenye maamuzi ya Mwisho sio Tanzania ni Uganda tusidanganye.Tz tumetoka njia na bandari.Uganda akibaliana na wanaopinga TZ hatuna cha kufanya.Ikumbukwe mchawi yupo hapa. Hapa East Africa
Sawa.Lakini huoni kwamba ushawishi wake ulipelekea bomba kupitia tz? Hata sasa hivi angemshawishi Uganda aendelee kukomaa bomba lipite Tazania shida iko wapi!?
 
Hili bomba linatufaidisha karibu sawa na Uganda, tena nafikiri sisi tutafaidika zaidi hivyo tuonyeshe solidarity.
Kumwacha Museveni apige kelele peke yake sio sahihi.
Imagine hili bomba lingekuwa linapita kenya halafu itokee habari kama hii wangeshambulia vibaya.
Tujifunze kuwa aggressive kwenye vitu vyenye faida
Well said bro!!
 
Unaweza ukaingia kingi pale wakenya wanavyokupanga kuhusu apartments[emoji28][emoji23]

4% ya majengo yote Kenya ni Very dangerous kwa kuishi

73% ni majengo ambayo sio kwa salama kuishi

8% ni majengo ambayo ndo angalau

15% hawa tu ndo wako salama (Kenya nzima)

Sababu ni zilezle cement kijiko kimoja mchanga debe[emoji28]. Bado wanakwambia apartments zinatumia sana cement[emoji23][emoji23][emoji23]

Screenshot_20220926-110858.jpg
View attachment Research-on-Failure-and-Collapse-of-Buildings-Final-Report-31-10-2019.pdf
 
Back
Top Bottom