Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The destruction of the old road at Makupa causeway and the construction of Makupa Bridge has once again moved Mombasa city a step further into a proper Island( only one section remains)

c2Jzifq.jpg

1659641441188-png.3611799


1664530339666.png

1664530371267.png


1664530428416.png



1664530559800.png


1664530677039.png




Once this section is replaced by a proper bridge to allow free flow of water the the island name will be propeer

Untitled.png
 
Kuna mtu kakimbia uzi wa cost comparison kaja huku, kule kumekuwa moto [emoji91][emoji91] kwake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
We sio bure unaliwa wewe.. kunakuwa na viwanda vya kutengeneza mataruma kabisa ili kujengwa njia ya SGR .. hiki kiwanda kinatengeneza mataruma 1500 every single day 👇. 👇View attachment 2372388mataruma ni hizo mikitu za zege zilizopitishiwa chuma juu yake tayari kupitisha reli, imagine hiyo cement consumption daily.. sijataja cement consumption kwenye overpasses, underpasses, mifereji,vituo vya reli n.k, and mind you kuna viwanda kadhaa vya kujenga mataruma katika kila phase moja ya mradi.. and guess what, tuko na 5 phases U/C simultaneously.. wacha mchezo kabisa .. leta hiyo cement consumption kwene jujenga tarmac roads .. tuone kama inaweza fika 2% ya 1 phase of SGR

phase 6 inakuja kwenda Burundi ikumbukwe Burundi hawana kiwanda cha cement na procurement inafanywa na TRC on behalf!
 
Umbea ya FB? Soja sasa mbona unajiaibisha hivi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo sasa roho yng imetulia, haiwezekani mji una electrified SGR, una cable stayed bridges, una BRT, una modern airport, una modern stadium, una modern bus terminals n.k alafu bado uzidiwe na kamji kenye slums kila kona, hata wewe ungekubali?
 
Nitajie mradi mkubwa uliokwisha baada ya mwaka mmoja au unadhani kujenga miradi mikubwa kama yetu ni sawa na kujenga ghorofa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hao Ethiopia wenyewe bwawa lao ambalo lilianza kujengwa kabla yetu na bado halijaisha, nyie hamna mradi mkubwa hata mmoja, mna vimiradi vidogovidogo alafu mje mtukaribie kwenye cement consumption? Labda dunia iumbwe upya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe ni kumbafu sana, SGR kipande kidogo kimewashinda, vi flyover in Dar kukamilika inawachukua zaidi ya mwaka., kitu ya miezi, niondolee ujinga wako na ufukara kilaza, find your equals kule vijiweni, nyambaff 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Kumbe Lagos bhn imeendelea kuliko slum city ka Nairobi, ndio maana wakunya wanaiogopa Lagos [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2372381
SCAM.!!
now this is wht is usually reffered to as bullcrap!🤮. since when did Addis Ababa came on top of Johannesburg! aah!?

note:
i just got the source of this list.. it was compiled by CitizenNewspaper in Darslam.. 😆😆

Screenshot_20220930-132241_Chrome.jpg
 
Wewe ni taahira na hujawahi kumiliki akili, endelea na mipasho

JPM Bridge Mwanza pekee inatumia cement yote inayotumika Nairobi na counties zake za pembeni
ujinga ni laana, unahara tu maneno ilimradi umenijibu, idiocy on steroids.,
 
Sasa SGR inatumia Cement kiasi gani? Are you aware that a dual carriageway of 400km consumes more cement than SGR truck of 2,000km?
Huyo huwa hivyo, yeye bora tu ajiaminishe Tz iko juu ya Kenya, atakurupuka anything., Sama boy 255 punguza aibu bana, jifunze kufanya utafiti na kuongea with concret evidence sio kukurupuka tu ujifurahishe, why remain ignorant forever, unajitia hamnzo ile wazi wazi😂😂😂😂😂😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Ripoti hio hio ya WB inayosema " enabled Tanzania to achieve one of the fastest electricity access expansion rates in Sub-Saharan Africa."

Ripoti hio hio inasema Kenya ndo iko na the fastest electricity access expansion in Africa... So Tanzania is one of the fastest in Sub-Sahara Africa lakini Kenya ndo fastest kushinda zote!

View attachment 2372383

Kama unavyoona hapo juu, Kenya iko na watu 15 Million ambao hawajapata uwezo wa kufikiwa na stima, Wakati Tanzania ni 36 million.

Kenya, 71% ya wakenya wamefikiwa na umeme wakati Tanzania mmefika 40% mwaka huu.

Kenya ikiwa na 5.2% growth rate increase access to electricity ndo inaongoza, ikifwatwa na Uganda(3.0%) , Ethiopia(2.6%) alafu ndo Tanzania(2.5%)...... Kwahivyo hio tweet ulioweka inayosema "has enabled Tanzania to achieve one of the fastest electricity access expansion rates in Sub-Saharan Africa." inaongelea kuhusu hio 2.5% yenu ambayo inawafanya muwe namba 4 sub-sahara Africa baada ya Kenya, Uganda, Ethiopia !


Tena kumbuka Kenya tayari asilimia kubwa iko na umeme na bado tunaongoza % rate ya wateja wapya... Ikija kwenye orodha ya top 20 least electrified countries, Kenya haimo kwenye hio list, Lakini Tanzania imo at only 40% electified by 2022View attachment 2372395





View attachment 2372407

View attachment 2372408
Source


Kwahivyo ikija kwa hili swala la umeme, Watanzania msijaribu kujilinganisha na Kenya, tumewaacha mbali sana, Uganda ndo size yenu, na mkizubaa nao pia watawaacha nyuma, Mwanzo museveni akishaondoka kutaingia nguvu mpya!
Tanzanians in this forum na facts ni kama maji na mafuta hawapendi ukweli kabisaa., wanaweza kusema mvua inanyesha ata kama hakuna mawingu na jua lime ng'aa, ama waite nyekundu nyeupe, 😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Yaani what SGR Kenya ili consume hii haifiki nusu yake kilaza.., so fyata tafuta shugli nyingine ya kujiliwaza..,
Usitoke kwenye mada mzee.. hapa tunazungumzia cement consumption kwa kipindi cha hivi karibuni.. ambapo Tz hoja yetu ni kwamba tuna consume cement zaidi yenu kwasababu tunajenga miradi mikubwa kuwaliko ambayo inatumia kiwango kikubwa cha cement, ambapo moja Kati ya hiyo miradi ni SGR 5 phases, ambayo tz tunajenga kwasasa simultaneously.. Tahira mwenzako akaongea ushwa kwamba ujenzi wa barabara ya lami ya 400 km unatumia cement nyingi kuliko ujenzi wa 2k km of SGR .. wewe ukaja hapa kuteatea upuuzi wa mwenzako, haya mtueleze sasa unawezaje kutumia cement zaidi katika ujenzi wa barabara ya lami kuliko ujenzi wa reli.?
 
Usitoke kwenye mada mzee.. hapa tunazungumzia cement consumption kwa kipindi cha hivi karibuni.. ambapo Tz hoja yetu ni kwamba tuna consume cement zaidi yenu kwasababu tunajenga miradi mikubwa kuwaliko ambayo inatumia kiwango kikubwa cha cement, ambapo moja Kati ya hiyo miradi ni SGR 5 phases, ambayo tz tunajenga kwasasa simultaneously.. Tahira mwenzako akaongea ushwa kwamba ujenzi wa barabara ya lami ya 400 km unatumia cement nyingi kuliko ujenzi wa 2k km of SGR .. wewe ukaja hapa kuteatea upuuzi wa mwenzako, haya mtueleze sasa unawezaje kutumia cement zaidi katika ujenzi wa barabara ya lami kuliko ujenzi wa reli.?
Mbona unapenda ubishi kishenzi hivi?😂😂😂😂😂😂😂,SGR yenu mnajenga kutokea zamani haikwishi! yaani mmejenga pole pole, kwa mwaka cement consumption itakua chini sana, ata hizo stations zenu don't look that humongous to consume cement, kwanza hiyo ugly looking glass building ya Dar haijakula simiti mingi bana😂 😂 😂 😂 😂 😂 Naweza ku prove you wrong.., Expressway imeanza na kukamilika hivi karibuni kama bado miradi ya viflyover na vibarabara in dar vinayumba yumba hadi sasa hivi, Eastern bypass expansion na flyovers done and dusted juzi tu, Lang'ata road done and dusted majuzi tu, kuna kibera link road, inaunganisha Ngong road na Lang'ata road through Kibera, wanajenga overpass na inakaribia kukamilika, in Mombasa Makupa bridge imekamilika mwaka huu na bado ujenzi unaendelea of other bridges and roads with underpass, tunnels na flyovers etc.., hatujaweka housing sector and office blocks kilaza.., tafuta wenzenu.,
Barabara zetu zinakula cement sana kilaza..,
1664536259567.png


Yaani ata media zenu zilitoa data ya cement consumption in Tanzania ya hivi karibuni kwa mwaka, hiyo sasa ni kama ya miezi sita hapa Kenya.., penda ukweli dogo..,
 
Nilikua sijasoma vizur huu upumbavu ulioandika 🤣🤣🤣 kwamba hatutawahi tumia cement hata nusu ya mliyotumia while SGR yetu is at least four times longer to yours .. kweli wewe ni mbwa
Nionyeshe sehemu nimesema hamutawai 👆kilaza? tunazungumzia as at now, sio future, wacha kutafuta pakutokea na uongo, unanisingizia na nilicho post is here kila mtu ajisomee, bana wacha za ovyo😂😂😂😂😂😂
 
Mbona unapenda ubishi kishenzi hivi?😂😂😂😂😂😂😂,SGR yenu mnajenga kutokea zamani haikwishi! yaani mmejenga pole pole, kwa mwaka cement consumption itakua chini sana, ata hizo stations zenu don't look that humongous to consume cement, kwanza hiyo ugly looking glass building ya Dar haijakula simiti mingi bana😂 😂 😂 😂 😂 😂 Naweza ku prove you wrong.., Expressway imeanza na kukamilika hivi karibuni kama bado miradi ya viflyover na vibarabara in dar vinayumba yumba hadi sasa hivi, Eastern bypass expansion na flyovers done and dusted juzi tu, Lang'ata road done and dusted majuzi tu, kuna kibera link road, inaunganisha Ngong road na Lang'ata road through Kibera, wanajenga overpass na inakaribia kukamilika, in Mombasa Makupa bridge imekamilika mwaka huu na bado ujenzi unaendelea of other bridges and roads with underpass, tunnels na flyovers etc.., hatujaweka housing sector and office blocks kilaza.., tafuta wenzenu.,
Barabara zetu zinakula cement sana kilaza..,
View attachment 2372510

Yaani ata media zenu zilitoa data ya cement consumption in Tanzania ya hivi karibuni kwa mwaka, hiyo sasa ni kama ya miezi sita hapa Kenya.., penda ukweli dogo..,
Umeandika upumbavu gani we jamaa.? 🤣🤣🤣.. miradi yetu ni sawa na miradi yote ya nchi za EA zilizobakia na bado hamutatuweza.. hapa nimetaja SGR pekee. Kama ni bridges sisi ndio baba wa hizo kazi EA .. sitaji miradi mengine yoyote .. ni dhambi kuendelea kutaja kwasababu huna cha kunijibu
 
Yaani what SGR Kenya ili consume hii haifiki nusu yake kilaza.., so fyata tafuta shugli nyingine ya kujiliwaza..,
Nionyeshe sehemu nimesema hamutawai 👆kilaza? tunazungumzia as at now, sio future, wacha kutafuta pakutokea na uongo, unanisingizia na nilicho post is here kila mtu ajisomee, bana wacha za ovyo😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣 Mpumbavu sana we jamaa, haya meza matapishi yako sasa
 
Back
Top Bottom