Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,112
- 10,550
Sasa ni ngapi imekamilika? mengine ni kwa makaratasi tu nyambaff😂😂😂😂😂😂😂😂😂na kwa sasa ni percentage ngapi ya hiyo miradi imejengwa? unajua so far imekula cement kiasi gani ama unakurupuka tu kujifurahisha? mbona wewe boya hivi? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 ., so far kwa yale yote mmejenga ya hiyo miradi yote ambayo mmepanga kujenga, haijakula cement more than Kenyan completed projects ya hivi majuzi.., ama unabisha tuende ground step by step??..,Umeandika upumbavu gani we jamaa.? 🤣🤣🤣.. miradi yetu ni sawa na miradi yote ya nchi za EA zilizobakia na bado hamutatuweza.. hapa nimetaja SGR pekee. Kama ni bridges sisi ndio baba wa hizo kazi EA .. sitaji miradi mengine yoyote .. ni dhambi kuendelea kutaja kwasababu huna cha kunijibu