Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizi mabus model za 1996 zinafanya Nini barabarani!!!
Na hizi ni buses za enzi za mfalme Herode lkn bado zipo Kenya zinapiga kazi [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220903-232907.jpg
 
Dodoma airport.
Hivi ile mpya ujenzi umefikia wapi?

View attachment 2342833
Jana nilipata nafasi ya kutembea huko status kwa sasa, wanajenga kambi ya kudumu ambayo baadae itabadilishwa matumizi baada ya mradi kukamilika kuhusiana na mradi wenyewe kbs wameanza na runway soon wataanza kufanya backfilling wamesha-excavate!!!.Hii ni kati ya massive project bonge la eneo! Siku ntashea picha!.Jah Bless!
 
Sijawahi kuona rais aliechokwa kwa muda mfupi na wananchi kama huyu 😂😂😂 angalia interactions za tweet yake ilivyo finyu, huyu hata akitembea kwa mguu kariakoo hakuna ataejali

View attachment 2344746
Huenda sisi watu wa mitandaoni ndio wezi wa nchi hii,ndio wapiga Dili wakubwa kuliko wachapa kazi,huenda huku ndiko ziliko familia za wapiga Dili.Ukija kwenye suala la kumpenda kiongozi au Kila sehemu Kuna factor yake.Huku kwetu Njombe vitu vitatu vinaweza mfanya kiongozi achukiwe Moja bei ya mbolea,bei ya mazao na miundo mbinu mibovu.Kiongozi anayeweka sawa hayo Njombe Huwa hawana nongwa naye.
 
Huenda sisi watu wa mitandaoni ndio wezi wa nchi hii,ndio wapiga Dili wakubwa kuliko wachapa kazi,huenda huku ndiko ziliko familia za wapiga Dili.Ukija kwenye suala la kumpenda kiongozi au Kila sehemu Kuna factor yake.Huku kwetu Njombe vitu vitatu vinaweza mfanya kiongozi achukiwe Moja bei ya mbolea,bei ya mazao na miundo mbinu mibovu.Kiongozi anayeweka sawa hayo Njombe Huwa hawana nongwa naye.
Umenifrahisha watu wa mtandao...kule twitter wanaita kupiga spana...lakini wale wananchi wenyewe vijijini wako kawiada kama kuna maumivu basi wanauguliapole...ukifika muda wa kupiga kura sisi wa mtandao hatupigi kura...wale wananchi kama kawaida watapiga kura na kuchagua watu wao wale wale
 
Ngoja tuweke picha ya juu ili ukamuongopee babaako sio humu [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787]View attachment 2343794View attachment 2343795
Tofouti ya dar na Nairobi inakuja when someone zooms In... Hiyo riveside drive ambayo ume circle ukiangalia maneno kwa ground this are the kind of apartments and offices that are there, they not high rise but they very decent compared to Tanzania shacks outside town so tell me huu ni ushuzi kivioi?
images (2).jpeg
images (3).jpeg
images (4).jpeg
images (6).jpeg
images (5).jpeg
images (7).jpeg
images (9).jpeg
images (8).jpeg
images (10).jpeg
 
Back
Top Bottom