Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wale mlioko Kenya anzeni kufungasha virago..US imetoa tahadhari huku kama ilivyokuwa Ukraine.

Kinaenda Kunuka Kunyaland na seems Odinga Chalii 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220902-072158.png
    Screenshot_20220902-072158.png
    127.1 KB · Views: 18
  • Screenshot_20220902-072108.png
    Screenshot_20220902-072108.png
    44.3 KB · Views: 20
  • 20220902_072115.jpg
    20220902_072115.jpg
    185.9 KB · Views: 19
Hizo zote hazikua dini Bali ni mila na desturi and after all baada ya ujuio wa watu weupe walileta ustaarabu (dini) tukaachana na kukeketana, kuabudu mibuyu, nyoka na miupuuzi mingine, tuliyokua tumeyapatia majina "MIUNGU".. so kwasasa tuna dini and if u ar against it wewe ni sawa a makenge, mijusi na wadudu wengine
Hapa umejiangusha bro, is like you don't know what religion is.
 
Huu ujinga ulioandika hapa inaonyesha wazi hujasoma dini kabisa na wala hujui history..

Dini sio tamaduni, na dini hazipo kwaajili ya watu wa ukanda flani..

Imani zote za kiislamu na kikristo zinaamini katika Ibrahim/Abraham

And the man was from today's Iraq, and he later migrated to today's Israel (in the land Palestine) yote hii ni middle East .

Hizo claims zako za civilization zimetokana na ukanda ulitoa wapi.! 🤣

Mambo za ukoloni ni kitu kingine kabisa, hizina uhusiano wowote na dini.. Waarabu walifika pwani ya Africa mashariki tangu karne ya 14
Are you sure you studied religion in one point of your life?
 
Not to mention this.. Yo this city has many buildings with over 40 floors (150+ m) than New York+Chicago+Miami+Hoston [emoji1787][emoji1787][emoji1787] yeah this is Hongkong 546 skyscrapers in One cityView attachment 2342650View attachment 2342651View attachment 2342652View attachment 2342653View attachment 2342654View attachment 2342655View attachment 2342656View attachment 2342659View attachment 2342660wachina wanaishi kwenye dunia yao bwana tuusan. Utaleta nini from US in comparison.?
Hii ni Hong Kong lakini sitaki tubishane mana ushaandaa desa lako
 
Mnazingua na hayo mambo ya dini.

Hawa wakoloni hawakuwapa elimu nzuri miaka hiyo, waliwatesa mababu zetu mfano utumwa, hawakutoa huduma nzuri za afya kipindi cha ukoloni, ubaguzi wa rangi.

Sasa nini kinatufanya tuamini hizi dini walizotuletea kuwa ni bora!
Alafu uache tabia ya ujiwe,huwezi kujua kila kitu na unapopewa darasa uache kua mkali,nn unamshambulia walker255 kisa amekueleza mambo ya kweli?
 
Mnazingua na hayo mambo ya dini.

Hawa wakoloni hawakuwapa elimu nzuri miaka hiyo, waliwatesa mababu zetu mfano utumwa, hawakutoa huduma nzuri za afya kipindi cha ukoloni, ubaguzi wa rangi.

Sasa nini kinatufanya tuamini hizi dini walizotuletea kuwa ni bora!
Hata Mimi ninashangaa kuona waafrika tena wasomi wakitetea dini za kigeni

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
The Catholic Church is the biggest joke I know. They think they can turn anyone into a saint; a religious organization known for oppression, murder, violence, sexual abuse, and theft?
Truth that is always swept under the carpet..., atrocities committed during the dark ages were orchestrated by the Catholic church, infact history has it that the catholic church has killed more people than terrorism, war and other pestilences combined.
 
Back
Top Bottom