chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Sijawahi kuona rais aliechokwa kwa muda mfupi na wananchi kama huyu ๐๐๐ angalia interactions za tweet yake ilivyo finyu, huyu hata akitembea kwa mguu kariakoo hakuna ataejali
Uyo jamaa anaroho mbaya sana
Waziri na system designer ni yupi wa kuaminika?Zipo video waziri na mkurugenzi wakiliongelea hili kitaalam, nikiipata nitaiweka
Ukweli ndio hampendi.Uyo jamaa anaroho mbaya sana
Haters wa Samia mnahangaika Sana,Endelea kusubiria atembee Kariakoo..Sijawahi kuona rais aliechokwa kwa muda mfupi na wananchi kama huyu ๐๐๐ angalia interactions za tweet yake ilivyo finyu, huyu hata akitembea kwa mguu kariakoo hakuna ataejali
View attachment 2344746
Kusema ukweli Magufuli aliibadilisha Dar kwa muda mfupi sana...
Sijui kama tutapata mtu kama yule tena
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Huo mji ni wakisasa sana lakini swali la msingi Je unafursa gani kwa wageni?unaweza pata kibali cha kazi huko?tofauti na miji ya Western ni fursa kwa yoyote anaepambana..know the differenceHii miji ya CHINA classy yake ni out of this world, kuanzia usafi, green and every single aspect.. This is Xia'n City. Wala wengi wetu hatujui kama kuna mji China ni unaitwa Xia'n.. Teargas pitia hii mzee
Ni mkenya halisi tena yule wa zamani kabisa.Uyo jamaa anaroho mbaya sana
Sijawahi kuona rais aliechokwa kwa muda mfupi na wananchi kama huyuangalia interactions za tweet yake ilivyo finyu, huyu hata akitembea kwa mguu kariakoo hakuna ataejali
View attachment 2344746








naona unafanya repeating decimal we jifurahisheEbu zoom in hizo sehemu unaita ushuzi tuone kama zinafanana hivi๐๐๐๐๐๐ naona ume circle eastlands., na maeneo ya Uhuru Park eti Ushuzi.., weka kwa karibu tuone ushuzi๐๐๐๐๐๐๐
Neno "USHUZI" ni jina la kati na la mwisho la Dar is Slum.,๐๐๐๐๐๐๐๐๐
View attachment 2343806
View attachment 2343797
View attachment 2343801