7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Bora nimepata idea nzuri ya kujenga mabanda ya kufugia kuku na bata, ahsanteni sana





Bora nimepata idea nzuri ya kujenga mabanda ya kufugia kuku na bata, ahsanteni sana





Mara nyingi huwa tunaliongelea hili nadhani ni muda muafaka ushauri huu ukazingatiwa, hasa ardhi kuisha na kukosa sehemu ya kufanyia shughuli za uzalishaji kikiwepo kilimo.Niliwahi kusema hili, kwamba nyumba za chini hazitufai, kwa sababu watu binafsi hawawezi jenga basi nhc, tba watumishi housing nk ziwezeshwe ili sehemu kama tandale, vingunguti wachukue hayo maeneo wajenge maghorofa kwa style ya magomeni waliovunjiwa wanapewa apartments kadhaa zinazobaki wanauza au kupangisha.
Tutajikuta dar na pwani zimeungana ila kuna watu 10m hii ni matumizi mabaya ya ardhi.
Tukiendelea hivi vizazi vijavyo vitakuja kosa sehemu za kulima tuwe tunaagiza vyakula Toka nje.
Kuna nyumba zinajengwa Dom za low quality mimi huwa naona wagejenga maghorofa kama ya medeli, wamechukua eneo kubwa sehemu ambapo wangejenga maghorofa manne tu.
View attachment 2344161
Unapoteza mda wako kuhangaika na haters wa SSH maana hutobadili walichojiaminisha..Huenda sisi watu wa mitandaoni ndio wezi wa nchi hii,ndio wapiga Dili wakubwa kuliko wachapa kazi,huenda huku ndiko ziliko familia za wapiga Dili.Ukija kwenye suala la kumpenda kiongozi au Kila sehemu Kuna factor yake.Huku kwetu Njombe vitu vitatu vinaweza mfanya kiongozi achukiwe Moja bei ya mbolea,bei ya mazao na miundo mbinu mibovu.Kiongozi anayeweka sawa hayo Njombe Huwa hawana nongwa naye.
Nikimkubali mimi pekee inatosha kwa sababu sojaomba msaada Kwa mtu na hayupo wa kubadili Mtizamo wangu..Tanzania yetu ina watu wa ajabu, sasa huyu opportunity cost ameshindwa kuzielewa post zako.
Tanzania yetu ina watu wa ajabu, sasa huyu opportunity cost ameshindwa kuzielewa post zako.





Hakuna anayepinga tozo zisiwepo lakini hizi tozo zinamsaidia nani, pesa inayopelekwa kwenye miradi inatumika ipasavyo? Kabla ya tozo yule aliyetangulia mbona alifanya mambo makubwa yakaonekana bila hizi tozo?Tunapinga tu tozo, ukweli zinaumiza lakini impact yake inaonekana. Siku zote mpinzani wako hawezi kukusupport anapoona unaelekea kuzuri kusiginwa lazima tu.
Uwekezaji wa hizi tozo kwenye Elimu, Afya, Maji vijijini, na barabara kupitia TARURA. Unatoa nafasi kwa serikali kuweza kuongeza ajira rasmi na zisizo rasmi, uboreshaji wa usafirishaji mazao kutoka mashambani mpaka masokoni.
Ni sehemu nyingi sana vijijini watoto wanatembea zaidi ya km 10+ kwenda na kurudi kufuata elimu. Wazazi wanajifungulia njiani kutokana na vituo vya afya kuwa mbali, na miundo mbinu mibovu.
Serikali haiwezi kumaliza investments za social amenities kwa mwaka mmoja wakati sisi wenyewe kila siku tunaongezeka.
Naamini kabisa katika madarasa 15,000 yalijengwa kwenye mwaka wa kwanza wa SSH kuna ndugu, wadogo zetu walipata ajira, hivyo katika vituo vya afya vilivyojengwa kwenye mwaka wa kwanza wa SSH kuna watanzania wenzetu wamepata ajira za kudumu.
Maendeleo yoyote yana maumivu hatuwezi kuona leo, kuondoa tozo kabisa tutarudi nyuma tena na tutazikumbuka tena tozo.
Ila kuonyesha inaguswa na kuheshimu tozo, serikali ipunguze na iondoe matumizi ya Magari ya kifahari kwa baadhi ya watumishi wake kabisa labda wale wa mikopo kama wabunge.
Sijajua design yake ikoje.. lkn hao bodaboda wanakosea kuwaweka karibu na jengo.. walitakiwa wawe mbali kidogo.. wawe na sehem yao special.. yan tuseme either wawe nje au ndan (mostly iwe ndan) ya mageti ya fence ya stendi ya busNipo Mwanza bus stand sasa hivi, nzuri sana 😍
View attachment 2345311View attachment 2345311View attachment 2345308View attachment 2345309
Hapo walipokaa boda boda ni nje ya stendi, mbele ya jengo, Ila ni ndani ya fence, nafkiri bodaboda wakae nje kabisa ya fenceSijajua design yake ikoje.. lkn hao bodaboda wanakosea kuwaweka karibu na jengo.. walitakiwa wawe mbali kidogo.. wawe na sehem yao special.. yan tuseme either wawe nje au ndan (mostly iwe ndan) ya mageti ya fence ya stendi ya bus
Sikuhiz wanataka kuongeza mapato kupitia kuruhusu bodaboda kuingia ndan na pia kuwaisaidia abira kufikisha mizigo yao ndan kbsa ya fence ya stend. Huwa wanatozwa 500 kuingia.. so wawe na sehem yao ndan ya fenceHapo walipokaa boda boda ni nje ya stendi, mbele ya jengo, Ila ni ndani ya fence, nafkiri bodaboda wakae nje kabisa ya fence
How on earth this is your second largest city?Kwa roads usiji aibishe hamtuwezi hata kidogo,
Kwani hapo awali madarasa na vituo vya afya viliikuwa havijengeki?Tunapinga tu tozo, ukweli zinaumiza lakini impact yake inaonekana. Siku zote mpinzani wako hawezi kukusupport anapoona unaelekea kuzuri kusiginwa lazima tu.
Uwekezaji wa hizi tozo kwenye Elimu, Afya, Maji vijijini, na barabara kupitia TARURA. Unatoa nafasi kwa serikali kuweza kuongeza ajira rasmi na zisizo rasmi, uboreshaji wa usafirishaji mazao kutoka mashambani mpaka masokoni.
Ni sehemu nyingi sana vijijini watoto wanatembea zaidi ya km 10+ kwenda na kurudi kufuata elimu. Wazazi wanajifungulia njiani kutokana na vituo vya afya kuwa mbali, na miundo mbinu mibovu.
Serikali haiwezi kumaliza investments za social amenities kwa mwaka mmoja wakati sisi wenyewe kila siku tunaongezeka.
Naamini kabisa katika madarasa 15,000 yalijengwa kwenye mwaka wa kwanza wa SSH kuna ndugu, wadogo zetu walipata ajira, hivyo katika vituo vya afya vilivyojengwa kwenye mwaka wa kwanza wa SSH kuna watanzania wenzetu wamepata ajira za kudumu.
Maendeleo yoyote yana maumivu hatuwezi kuona leo, kuondoa tozo kabisa tutarudi nyuma tena na tutazikumbuka tena tozo.
Ila kuonyesha inaguswa na kuheshimu tozo, serikali ipunguze na iondoe matumizi ya Magari ya kifahari kwa baadhi ya watumishi wake kabisa labda wale wa mikopo kama wabunge.