Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimeenda zangu kujivinjari niki ngoja kuona vile Man U wanapigwa leo The best 007 ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 






FbFSW8LWQAENu2n
 
Kampala hii hii yenye vumbi? Umewahi kufika au unakubaliana na kila kitu kinachoi discredit nchi yako.
Kwa kweli sielewi hawa watu wanatumia vigezo gani Kampala nimefika nikajionea kwa macho yangu siyo kuisoma google, pako hovyo mkuu.
 
Hili taahira Teargass lilisema hakuna mtanzania mwenye uwezo wa kujenga ghorofa ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Tanzania inazidi kurecord mabilionea wengi wasio na connection na ufisadi serikalini unlike kunyans most of their wealthy people are from government corruption scandals

FbJ1vFsUEAA-h54.jpeg
FbJ1vF6VUAAS9q7.jpeg


 
Ni kweli na nilishangaa sana kuwa hapo ndio makao makuu ya nchi.

Mbarara nilishaenda, Masaka unapita ukiwa unakwenda Kampala, labda Entebbe ndipo sijafika huenda ukawa mji mzuri kushinda hiyo mingine.
Entebbe ni mji mdogo uliotulia uko vizuri kidogo kuliko kampala. Ikulu ya Uganda iko Entebbe
 
Waache wakae nae ila hela itokanayo na maonesho ya huyo mnyama watupatie. Sisi hatutaweza kutunza.
Kutakuwa na uwazi wa hiyo pesa kwamba inaingia? Siamini mikataba yao kama inaweza kufanya kazi huku rasimali yetu ikiwa kwao,muda wowote wanasitisha kisha tunaanza malumbano.
 
Back
Top Bottom