Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi vitu vingine kabla hujapost unatakiwa utumie common sense tu, usilazimishe vitu mzee eti kisa list imekuplace at the top, kwaakili yako timamu Kampala inaizidi DAR kwa Malls.? Usije ukadhani vitu vya malls ni vitu vya kufikirika manzee, Malls tunazungumzia vitu vinavyookana kwa macho.. usiwe punguani hata unatukana watu kwa kulazimisha uongo uwe ukweli.
nlisha kwambia kenya ni wazee wa uongo na blogs zao kazi kusema vitu avipo twakimu zingine ni uongo tu mtu amekaa uko ana kazi anakuja andika uchuro
 
Oya Don YF ukitaka kujua kama hiyo article ni ya kipuuzi, kwenye hiyo article Lagos imetajwa juu ya Dar kwa malls eti 🤣🤣. Haya sasa nakupa home work.. hizi ndio malls kubwa in Lagos
1.Ikeje shopping mall
2. Mega plaza
3; The palms shopping mall

Zinatajwa kujengwa kwenye maeno makubwa ila nenda ukazione sasa he ni kubwa kweli.? Je ni classy.?
Conclusion ni kwamba non kati ya lagos na Kampala haziwez fikia league ya DSM likija suala la Malls
 
Mwaka huu ligi yetu ni moto wa kuotea mbali, wachezaji kutoka mataifa mbalimbali wamesajiliwa na bado wanaendelea kusajiliwa. Chuma kingine hicho kutoka Argentina.
Screenshot_20220826-220311.jpg
 
Watu wanaaminishwa na wanaendelea kuaminishwa kuwa hatutoweza kutunza hayo mabaki kwenye makumbusho eti ni gharama sana.
Kumbe ni propaganda tu ili aendelee kubaki kule na kuwaingizia mabilioni.
Ni kweli mabilioni mengi yaingia kule. Tuwe wabishi tu mpaka yarudi.
 
nlk
Oya Don YF ukitaka kujua kama hiyo article ni ya kipuuzi, kwenye hiyo article Lagos imetajwa juu ya Dar kwa malls eti 🤣🤣. Haya sasa nakupa home work.. hizi ndio malls kubwa in Lagos
1.Ikeje shopping mall
2. Mega plaza
3; The palms shopping mall

Zinatajwa kujengwa kwenye maeno makubwa ila nenda ukazione sasa he ni kubwa kweli.? Je ni classy.?
Conclusion ni kwamba non kati ya lagos na Kampala haziwez fikia league ya DSM likija suala la Malls
nilikwambia uyo uwa anabumba sana uongoooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Back
Top Bottom