TECHB
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 703
- 1,632
kunyani sio BRT IYO ni kama bus za kawaida akuna brt apo kunyaniTujikumbushe
View attachment 2335703
kunyani sio BRT IYO ni kama bus za kawaida akuna brt apo kunyaniTujikumbushe
View attachment 2335703
Zuzu ni mom wakoUnaandika sentensi zote hizo kuelimisha zuzu
Ila mchina kitu alichomfanyia jirani sio kabisa,angalia kitu alichopeleka indonesia na alichowapa kunyan ni tofautiMimi nasubiri tren za umeme zije..ndo nitaamini haya maneno yako
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Tanzania ina encourage uwekezaji wa viwanda sio majengo👇Mbonan hawa 👇 wasiwekeze Tanzania basi.., baada ya China, now Germany are setting shop kuteka soko la East Africa..., Kenya ndio base!
View attachment 2335275
View attachment 2335276
walipigwa na kitu kizitoooooooooooooooooooooo alaf wanajiita wajanja hahahahahaaaaaIla mchina kitu alichomfanyia jirani sio kabisa,angalia kitu alichopeleka indonesia alichowapa kunyanView attachment 2335718View attachment 2335719View attachment 2335720
Kunyan make up brt system ndio hiyo sasTujikumbushe
View attachment 2335703
Vodacom wanasingizia tozo Kwa failure ya management yao..Nchemba economics! Yet kaondoa tax kwenye betting firms!
Ni kweli nilikurupuka sikuwa nimesoma vizuri. My apology comrades.Usiwe mwepesi wa kukurupuka kama wenzako walivyo.., graph inasema ":excluding South African cities".., yaani wale are not ranked amongst African countries, wako stage ya juu.., sisi sio watu wa propaganda na kulazimisha eti tuonekane tuko juu kama wengi wenu mlivyo.., mko na matatizo ya inferiority complex na blind patriotism..,
View attachment 2335580
I apologized already DON, usiniueYaani hawa watu ni wazembe sana, yaani kufanya utafiti ya kudhibitisha mambo ni kazi ngumu kwao, kazi ni kukurupuka bila utafiti., idiots![]()
![]()
![]()
![]()
![]()




Wanatuumiza lakini sisi wananchi wa kawaida.kodi inatafutwa kwa mbinde,
New Vodacom MD now ni mzalendo!
Kunyan dreamt of having this position!
CV
Only a bachelor degree from UDSM!
Muungwana akivuliwa nguo huchutama, ukishindwa battle unanyoosha mikono juu yaishe, sio vimaneno manenorefer back, usiwe mzembe., hii chapter is over, find something else.
Mkuu sijasikia hilo tukioHujasikia madini yamekamatwa juzi huko geita?
Ulivyo zuzu umequote kitu hata huelewi. Akili kisoda.









Hivi vitu vingine kabla hujapost unatakiwa utumie common sense tu, usilazimishe vitu mzee eti kisa list imekuplace at the top, kwaakili yako timamu Kampala inaizidi DAR kwa Malls.? Usije ukadhani vitu vya malls ni vitu vya kufikirika manzee, Malls tunazungumzia vitu vinavyookana kwa macho.. usiwe punguani hata unatukana watu kwa kulazimisha uongo uwe ukweli..Usiwe mwepesi wa kukurupuka kama wenzako walivyo.., graph inasema ":excluding South African cities".., yaani wale are not ranked amongst African countries, wako stage ya juu.., sisi sio watu wa propaganda na kulazimisha eti tuonekane tuko juu kama wengi wenu mlivyo.., mko na matatizo ya inferiority complex na blind patriotism..,
View attachment 2335580
One of the powerful family in TanzaniaHii familia ya Noni iliokua ikimiliki 45% ya Vodacom iliishia wapi? Japo naona wanafamilia bado wanaishi maisha expensive sana duniani!
View attachment 2335778
Utambulisho mpya wa mkoa wa Lindi
Neno excluding sikuwa nimeliona. Lakini bado nasimamia kwenye reasoning yako. Kampala nimewahi kufika sikuona cha ajabu pale,labda siku hizi kuwe kumebadilika ghafla.Hivi vitu vingine kabla hujapost unatakiwa utumie common sense tu, usilazimishe vitu mzee eti kisa list imekuplace at the top, kwaakili yako timamu Kampala inaizidi DAR kwa Malls.? Usije ukadhani vitu vya malls ni vitu vya kufikirika manzee, Malls tunazungumzia vitu vinavyookana kwa macho.. usiwe punguani hata unatukana watu kwa kulazimisha uongo uwe ukweli..
Kulikuwa na huo mpango sijui umefikia wapi!Wajerumani wanafaa waturudishie mabaki ya hawa wanyama