Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Dunia ya leo Dar mtu asiijue, nenda ukadanganye washamba wenzako kule vijijini kwenu kilaza., kama ata findings za Knight Frank haukuelewa unaongelea ukubwa wa mall mbili ama tatu Lagos na beauty, ambayo ni opinion ya mtu binafsi, article inazungumzia sq metres in total., nyambaff, kalilie kwa choo mko chini ya Kampala 😂 😂 😂 😂Oya we jamaa leta picha au videos usiniletee vimaneno maneno, tuone kama utawezana.. nipo hapa kukuelimisha wewe mbulula unaemezeshwa matango kwa jina la research, niko hapa kukueleza DAR ambayo wewe hujui.. leta picha au videos tuone kama hautakimbia..


