Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Entebbe ni mji mdogo uliotulia uko vizuri kidogo kuliko kampala. Ikulu ya Uganda iko Entebbe
Alaaa! Kumbe ndio maana wanamaanisha Entebbe, kama sikosei ni Kiti kwa Kiganda, hivyo wakaona pawe na Ikulu anapokaa kiongozi mkuu wa nchi.

Swali lingine vipi mji wa Jinja ni mkubwa au mdogo maana nao uko jirani na Entebbe .
 
nairobi.jpeg
gettyimages-1224654252-612x612.jpeg
 
Wakunya hamjawaelewa, at least joto la jiwe anawaelewa vzr sn, wako hivi, wakiona battle inawaelemea huwa wanaanza kuipotezea battle kwa kuingiza vitu ambavyo havihusiani, mfano atatafuta nchi ambayo ni inferior zaidi alinganishe na yenu alafu wewe ukiingia kichwa kichwa anakutoa kwenye mchezo mana hapo hata kisaikolojia utaona ikiwa Dar inazidiwa na Kampala vipi ka Nairobi, hapo tayari anakuwa ameshinda wakati uhalisia hauko hivyo.

Kenya wana Mall moja tu ambayo unaweza kuiita Mall na inaitwa Two Rivers, zingine zote ni uchafu, sisi tuna Malls chache ukilinganisha na Malls uchafu zilizo ndani ya ka Nairobi lkn ni classic.

Uganda siwezi kuizungumzia mana bado ni kijiji nchi nzima. Kwa kumalizia tu naomba muwe mnawaelewa hawa mbwa tunao battle nao, wana tabia fulani mbaya mbaya za kutaka kushinda kila kitu japo hali halisi haiko hivyo, angalieni joto la jiwe au ichoboy01 anavyotembea nao, msiwape nafasi kabisa, mfano hapo kwenye battle ya Malls msikubali kuhama kutoka Dar vs ka Nairobi to Dar vs Kampala.
Am now seated, niko relaxe mode, hapa umeandika kwa maumivu sana, porojo na propaganda tupu, eti ikija malls utaje Tanzania sentensi moja na Kenya kweli?😂😂😂😂😂, tuusan kindly advise this gentleman accordingly. The best 007 umeandika exactly what u do, mkikosa jibu ni vijisababu na maneno mengi, nothing to post., nje ya Nairobi kuna malls mingi sana far better than in the whole of Dar is slum, ila huu ukweli huwa uchungu kwako kumeza😂😂😂😂..,
Sio lazima mkubali ukweli, hambadilishi lolote.., facts are screaming, liko wazi sana, so nyie mnajikaza sana kujibu, upande wetu kazi ni rahisi sana kazi ni kudhibitisha kwa picha tu ama clips, nyinyi mkikosa ya kujibu, haswa wewe, itabidi utafute matako ya Kenya kujikomboa kwa vile jibu hauna, derailing the debate,, tumewanyonga kote kote😂😂😂😂😂😂 So if u want to go direction ya malls, I can post all malls outside Nairobi na Dar haitaweza kujibu, utaishiwa pumzi. Ni empty rhetorics tu is what we will get from most of u who hate undeniable facts. Yaani it is mere jealousy and blind patriotism ndio inakusukuma😂😂😂😂😂., mtanyooka tu.
 
Now this is what am talking about😛😂😂😂., here clip ya Dar ni ya 2022.., alafu hiyo ni picha ya Nairobi ya mwaka gani?😂😂😂😂, umeumwa sana!😛😛😂 Kuna picha ya same views 2020s.., mnapata tabu sana., tumewashika kabisa, propaganda zenu ninaumbua.., ukweli inauma ila zoea sio makosa yetu, Kenya iko ilivyo na Dar is just Dar.., hautabadilisha..,
 
Now this is what am talking about., here clip ya Dar ni ya 2022.., alafu hiyo ni picha ya Nairobi ya mwaka gani?, umeumwa sana! Kuna picha ya same views 2020s.., mnapata tabu sana., tumewashika kabisa, propaganda zenu ninaumbua.., ukweli inauma ila zoea sio makosa yetu, Kenya iko ilivyo na Dar is just Dar.., hautabadilisha..,
Hio clio ni Dar 2019 acha kutupiga kamba..

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mzee mimi nilienda chuo Ili niweze kuwa na uwezo was ku reason na sio kumezeshwa matango, mimi sie chizi was kukubaliana na takwimu kizembe since kila kitu kinakanekana kwa macho, usijisaulize hii ni battle ya videos ama picha, tusiongelee mate wakati wino upo.. Twende ground mzee
Ulienda chuo ama elavated secondary school? Cause kama ni kile kitu ulitaja basi there's no difference between it and a Kenyan secondary school.
 
Now this is what am talking about., here clip ya Dar ni ya 2022.., alafu hiyo ni picha ya Nairobi ya mwaka gani?, umeumwa sana! Kuna picha ya same views 2020s.., mnapata tabu sana., tumewashika kabisa, propaganda zenu ninaumbua.., ukweli inauma ila zoea sio makosa yetu, Kenya iko ilivyo na Dar is just Dar.., hautabadilisha..,
 
Hii hapa ndio mall kubwa Dar
Mlimani_City%2C_s%C3%B8rlig_inngang_1.jpg

Naweza ilinganisha na Buffalo Mall, Naivasha

BB6892C3-6002-4345-A703-79AB44583CE0.jpeg


Ama Ananas Mall Thika
AF1QipOgFZrztHm--ySTWN5AHrem80L8lkf_UQAjPDcZ=w500-h500-k-no


Meanwhile Cheki Acacia mall Kampala which is arguably the largest in Kampala.

maxresdefault.jpg


Hapa kuna Arena Mall Kampala
Arena-Mall-Exterior4.jpg


Hapa kuna Kingdom Kampala Mall
Kingdom-Kampala-hotel-wedding-venue-packages-in-Kampala-Uganda9.jpg


Garden City Mall Kampala
3794031641_af40e49bb5_b.jpg


Oasis Mall Kampala
8d97487331eb5fdade007c77a82f0774.jpg


Forest Mall Kampala
Forest-mall-1.jpg


Kiukweli Dar kwa malls bado sana especially for a city it's size. Kampala is second only to Nairobi in East and Central Africa tukija kwa malls.
tuusan
Sama boy 255
Tz_one
 
Hii hapa ndio mall kubwa Dar
Mlimani_City%2C_s%C3%B8rlig_inngang_1.jpg

Naweza ilinganisha na Buffalo Mall, Naivasha

BB6892C3-6002-4345-A703-79AB44583CE0.jpeg


Ama Ananas Mall Thika
AF1QipOgFZrztHm--ySTWN5AHrem80L8lkf_UQAjPDcZ=w500-h500-k-no


Meanwhile Cheki Acacia mall Kampala which is arguably the largest in Kampala.

maxresdefault.jpg


Hapa kuna Arena Mall Kampala
Arena-Mall-Exterior4.jpg


Hapa kuna Kingdom Kampala Mall
Kingdom-Kampala-hotel-wedding-venue-packages-in-Kampala-Uganda9.jpg


Garden City Mall Kampala
3794031641_af40e49bb5_b.jpg


Oasis Mall Kampala
8d97487331eb5fdade007c77a82f0774.jpg


Forest Mall Kampala
Forest-mall-1.jpg


Kiukweli Dar kwa malls bado sana especially for a city it's size. Kampala is second only to Nairobi in East and Central Africa tukija kwa malls.
tuusan
Sama boy 255
Tz_one
Tanzanians just like cheating themselves, that's why utaona wanapinga a hadi na data za World Bank, IMF, Knight Frank, Forbes na Hadi za serikali Yao.
 
Back
Top Bottom