Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We jamaa Don YF njoo hapa 👇 Mwanza city outside CBD View attachment 2334654View attachment 2334655View attachment 2334656View attachment 2334657View attachment 2334658View attachment 2334659usiwe unailinganisha your village centers kwa Mwanza City Bro, toa heshima panapostahili.. Mwanza ni kubwa na imeendelea kuliko ARUSHA and Kisumu combined, ukiachana na ule ukubwa wa CBD ya Mwanza which is three times bigger to kidumu's CBD and two times bigger to Arusha CBD . Lakin bado Mwanza iko na maeneo yaliyoendelea na makubwa zaidi y.. shughuli za kiuchumi ndio wala tuzizungumzie .. HESHIMA UFUATE MKONDO WAKE
Yaani mbona unapenda kujikaza hivyo, na kulazimisha fikra zako uchwara?, jikubali, go back and check haya yote nili post kilaza.., tokea CBD hadi nje.., mko hovyo wacha kujifariji, jikubali yaishe.., bado unaumwa?.., find something else to argue about tokea leo kuendelea.., unajirudia rudia sana na hauna jipya ya kuongezea ama kupunguza, ukweli umebaki pale pale.,
 
1661502336256.png
 
sasa kila wakati unasema moshi hiki moshi kile.. ila picha zake hatuvioni.!?
please heb viskume tuvione kama pia moshi ni pasafi sana kamavile kisumu ama chigali ama addis
Empty domo domo, ata uweke evidence jamaa linateseka kweli, atapinga tu.., ako na wivu wa kike 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Sawa bendera cha upepo,kumbe ukibanwa na kukosa fursa za upigaji mambo yako hayaendi na unaamua kumcbukia mtu sababu ulibanwa,ila ukipewa mianya ya upigaji nakuona mambo yako yanaenda hapo ndipo unapomkubali mtu,

Kama mindset yako ipo hivyo basi Hii nchi tuna kazi kubwa sana yakupiga hatua,

Magu alikuwa na mapungufu yake ila makubwa kafanya na mpaka sasa kwenye displin ya usimamizi wa mali za umma hakuna aliyemfikia
Fursa gani? Mwendazake alikuwa hovyo hajui uchumi,wajamaa na uchumi wapi na wapi?

Ndio maana pambio zilizidi.
 
Ii

Kinachonishangaza ni kwamba wanasema mama anamwaga pesa, sasa kama anamwaga pesa mbona miradi inasuasua?
Sasa hivi husikii stendi wala masoko yakianza kujengwa bado wanahangaika na ile aliyoacha Magu for almost 2yrs now.
Miradi iliyokuwa ianze ya ujenzi wa meli mpya kimyaa.
SGR Isaka Mwanza wanajenga kambi tu kwa muda wa miaka 2 sasa.
Hakuna mradi mpya uliobuniwa mpaka sasa baada ya kifo cha Magu. Jamaa alikuwa anataka barabara za kuingia na kutoka miji yote mikubwa ziwe njia nne kwa 50km, alikuwa aanze na Dom Toka afe kimyaa.
Treni za Dar kimyaa, stendi ya Arusha kimyaa, ya moshi imeachwa ijiozee.
Miaka 2 hakuna hata tetesi za mradi mpya.
Nasubiri miradi ya TACTIC ianze mwezi wa tisa nione kama itasimamiwa ipasavyo.
Kipindi kile Ummy Mwalimu alikuwa busy hasa, sasa hivi yuko karelax sababu mkubwa wake hana vision.
Kipindi cha Magu niligundua watz wana akili sana wakipata kiongozi mzuri, ulikuwa ukisikia viongozi wa mashirika mbalimbali wanaelezea vitu in details mpaka unafurahi,
Sasa hivi wamegeuka kuwa chawa.
Kule kanda ya ziwa waganda wameanza kununua mpunga ukiwa shambani wanaenda kukoboa kwao wameanza kutuuzia mchele tuliolima.

Nb.
Magufuli alikuwa na mapungufu yake ila yale mazuri tulipaswa kuendelea nayo.
Kitu kingine cha kushangaza kila mtu analalamika maisha magumu, si mfanyabiashara, mfanyakazi wala mkulima.

Kipindi cha Magu hakukuwa na mfumuko mkubwa wa bidhaa, ila sasa hivi bidhaa moja imeongezeka mara mbili halafu wenyewe wanaimba anaupiga mwingi.

Reli ya Isaka Mwanza tunaambiwa ni asilimia 9 mpaka sasa hivi, hivi ni nini kinaendelea, asilimia hazisogei kabisa. Kuna namna hapa bila shaka.
 
Mimi sio mwehu kama wewe, Mwanza ni Dar is slum ndogo wewe mrogi., yaani umejisema what u always do here, kumbe unajijua ulivyo mwehu.., mimi naweka kila kitu wazi wazi.., go back and check, tokea CBD to the outskirts.., kwanza yale hovyo ndio niliwacha.., kwa vile ukiendelea ndio sura ya ufukara inaongezeka, yaani mko hovyo ata uandike nini, utajifariji tu, facts are screaming kishenzi, ujinga wenu nahufahamu na uwerevu wako kilaza ndio ujinga wangu.,
Kwnn hujaweka picha kama alizoweka Sama boy 255 uliogopa nn
 
Back
Top Bottom