Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Yaani mbona unapenda kujikaza hivyo, na kulazimisha fikra zako uchwara?, jikubali, go back and check haya yote nili post kilaza.., tokea CBD hadi nje.., mko hovyo wacha kujifariji, jikubali yaishe.., bado unaumwa?.., find something else to argue about tokea leo kuendelea.., unajirudia rudia sana na hauna jipya ya kuongezea ama kupunguza, ukweli umebaki pale pale.,We jamaa Don YF njoo hapa 👇 Mwanza city outside CBD View attachment 2334654View attachment 2334655View attachment 2334656View attachment 2334657View attachment 2334658View attachment 2334659usiwe unailinganisha your village centers kwa Mwanza City Bro, toa heshima panapostahili.. Mwanza ni kubwa na imeendelea kuliko ARUSHA and Kisumu combined, ukiachana na ule ukubwa wa CBD ya Mwanza which is three times bigger to kidumu's CBD and two times bigger to Arusha CBD . Lakin bado Mwanza iko na maeneo yaliyoendelea na makubwa zaidi y.. shughuli za kiuchumi ndio wala tuzizungumzie .. HESHIMA UFUATE MKONDO WAKE


