Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kila barabara unayoijua wewe ipo Dar kuanzia inapoanza mpaka inapoishia pembeni yake kuna hizo pavers .. eg hii 👇View attachment 2334678
Hi pavement ya kawaida sana hata kwa village yangu ipo. Nionyeshe kama hii.

LX9D2Ceh.png
 
Hi pavement ya kawaida sana hata kwa village yangu ipo. Nionyeshe kama hii.

LX9D2Ceh.png
Hii .!! We jamaa zimo kweli kichwani.? Kwahyo unataka lazima iwe na rangi kama hivyo.? 🤣🤣.. kwanza hizo pavers nimeweka mimi ni world wide mzee
 
Hii .!! We jamaa zimo kweli kichwani.? Kwahyo unataka lazima iwe na rangi kama hivyo.? 🤣🤣.. kwanza hizo pavers nimeweka mimi ni world wide mzee
Ndio maana nikaiweka. Maanake ni tofauti halafu ni higher quality sababu ni polymer based, sio concrete kama hizo zenu. Wewe ukaangukia eti ooh tumezipata juzi. Nionyeshe basi zenu hizo za kitambo.
 
Ndio maana nikaiweka. Maanake ni tofauti halafu ni higher quality sababu ni polymer based, sio concrete kama hizo zenu. Wewe ukaangukia eti ooh tumezipata juzi. Nionyeshe basi zenu hizo za kitambo.
Wacha ushamba wewe mbuzi, higher quality unaijua wewe, those ones are the cheapest pavers Bro, dunia nzima side works zinaka hivi 👇 China
DSC_0797_RuFxVFe.max-1200x800.watermark-lb-10x10-0.6.jpg
china👇
sidewalk-oct-shenzhen-china-beauty-nature-trees-asia-148331545.jpg
p1040577.jpg
Tanzania 👇
thumb_2976_800x420_0_0_auto(1).jpg
IMG_20220807_131946_936.jpg
 
Wacha ushamba wewe mbuzi, higher quality unaijua wewe, those ones are the cheapest pavers Bro, dunia nzima side works zinaka hivi 👇 China View attachment 2334689china👇View attachment 2334690View attachment 2334691Tanzania 👇View attachment 2334692View attachment 2334693
Mbona unatumia ma.tako badala ya akili? The fact that ipo China haimaanishi ni same quality na Geopolymer. Wacha ushamba. This is Geopolymer boss na haipo Tanzania.

LX9D2Ceh.png
 
We jamaa Don YF njoo hapa Mwanza city outside CBD View attachment 2334654View attachment 2334655View attachment 2334656View attachment 2334657View attachment 2334658View attachment 2334659usiwe unailinganisha your village centers kwa Mwanza City Bro, toa heshima panapostahili.. Mwanza ni kubwa na imeendelea kuliko ARUSHA and Kisumu combined, ukiachana na ule ukubwa wa CBD ya Mwanza which is three times bigger to kidumu's CBD and two times bigger to Arusha CBD . Lakin bado Mwanza iko na maeneo yaliyoendelea na makubwa zaidi y.. shughuli za kiuchumi ndio wala tuzizungumzie .. HESHIMA UFUATE MKONDO WAKE
Kwani unadhani hawajui ila huwa wanajifariji kwa kutafuta maeneo machache mabovu, kwa mfano huyo pimbi Don YF alipoingia Google earth aliona maeneo mengi mazuri lkn hakuweka akayakata akaacha yale machache mabovu, ni wivu tu plus roho mbaya waliyozaliwa nayo.
 
Aisee bruh kuna v2 unatuangusha...hizi unazopost hazijaqualify kua mall ,kweli Panone ni mopao ila sasa angalia na mizigo wanayopost wapinzani
 
Kuhusu propaganda CCM na serikali yake wana porojo zakutosha tu hivyo raisi yeyote anayetokea CCM itikadi zao ni moja tu,aliyethubutu kiuhalisia kidogo magu alikaza buti
Sio kdg ni sana mana 99% ya mambo yote mapya tunayoringia humu muasisi ni Magu usibabaike na maneno ya wavimba macho wanaojifanya hawakubali legacy lkn akipost kitu Muasisi ni yule yule.
 
Kila barabara unayoijua wewe ipo Dar kuanzia inapoanza mpaka inapoishia pembeni yake kuna hizo pavers .. eg hii View attachment 2334678
Hapa EA hakuna nchi ina pavement ndefu kuliko Tz, kuna ile inayoanzia Airpot terminal one all the way to Posta, jaribu kufanya calculation alafu uniambie ni kilomita ngapi zen waambie wakuletee pavement ndefu kuliko hiyo popote pale Africa ukiondoa SA na Egypt japo nao sina hakika kama wanayo ndefu namna hyo.
 
Hapa EA hakuna nchi ina pavement ndefu kuliko Tz, kuna ile inayoanzia Airpot terminal one all the way to Posta, jaribu kufanya calculation alafu uniambie ni kilomita ngapi zen waambie wakuletee pavement ndefu kuliko hiyo popote pale Africa ukiondoa SA na Egypt japo nao sina hakika kama wanayo ndefu namna hyo.
Na kutoka posta hadi kimara,kutoka magomeni hadi morocco
 
Na kutoka posta hadi kimara,kutoka magomeni hadi morocco
Kutoka Sinza Bamaga hadi Shekilango,,, kutoka Uhasibu hadi Mwenge (nafkiri hii ndio njia yenye side walks ndefu zaidi hapa DAR japo sio pavers ), kutoka ocean road karibu na ikulu hadi Masaki 6km, kutoka Mwenge mpaka Tegeta Nyuki, kutoka mnazi mmoja mpaka serena hotel, kutoka gerezani mpaka fire, kutoka fire kuelekea Upanga huko, and many more hata Tandale na mabibo barabara zake mpya side walks zake zote ziko na pavers or concrete, wachana na hizi njia mpya zinazojengwa BRT Sijui Mandela road, barabara inayopita pale keko to Ilala boma to Magomeni mikumi.. .. kwakifup hapa EA hatuna mpinzani kwenye sector hiyo, we have a good number of km of side walks
 
Hapa EA hakuna nchi ina pavement ndefu kuliko Tz, kuna ile inayoanzia Airpot terminal one all the way to Posta, jaribu kufanya calculation alafu uniambie ni kilomita ngapi zen waambie wakuletee pavement ndefu kuliko hiyo popote pale Africa ukiondoa SA na Egypt japo nao sina hakika kama wanayo ndefu namna hyo.

Barrack Obama, Toure drive, Kenyatta Zote hizi zina Quality pavements, Best in Dar baada ya Morogoro road, Kawawa , Kivukoni na Msimbazi. Pia Nyerere road na Bibi Titi, Tena hiyo Bibi titi ndio colored kama zao wanazoweka sasa hivi

IMG_1140.jpg
 
Back
Top Bottom