Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mlishachoka, tumewakamua hamuna la kujibu ni propaganda tu..,
Dar ya 2021 vs Nairobi ya 90sπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
1661433639887.png


View attachment 2334528

90s
1661433703915.png
 
CBD ya kisumu ni 100 square meters, ingia ndani kidogo uone πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Haijalishi, point driven home, kwa sasa ni safi sana..., na Dar na Lagos ni kubwa kuliko Johannesburg pia, lakini hamuwezi tajwa sentensi moja na Jozi.., jiulize mbona? na ujijibu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Haijalishi, point driven home, kwa sasa ni safi sana..., na Dar na Lagos ni kubwa kuliko Johannesburg pia, lakini hamuwezi tajwa sentensi moja na Jozi.., jiulize mbona? na ujijibu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Na ni mji fukara kama Turkana
Screenshot_20220823-112037.png
 
Sasa unataka nikusaidieje? Watanzania nature yao hawapendi shobo kabisa, angekua ni mkunya angeshaanda profile ya kutisha kujielezea umiliki wake mpaka kuzimu wamjue, watanzania hatupo hivyo matajiri wa Tanzania hawapendi kujulikana sasa kama wewe unamjua mmiliki wa hiyo mall mlete!
Continue worshipping Indians.
 
Hii ni mall eti? , wacha kuharibia malls jina banaπŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Unafikiri sisi ni kama ninyi mji wote wana umiliki wachina na wahindi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Everything you see in this picture is owned by Chinese and Indians mpaka barabara πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

View attachment 2334559
Mbona hawawekezi kwenu nchi ya maziwa na asali? jibu: ufukara.., low number of middle class, market ni finyu sana, nyie wengine ni wavibanda tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hii ni mall eti? , wacha kuharibia malls jina banaπŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Mapato ya panone kwa mwezi hakuna mall kunyaland inamfikia, ana filling Stations zaidi ya 100
 
Back
Top Bottom