Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaha. Madikteta wa Africa. Lazima watrain wavulana wao kuwa wanajeshi. Kisha kuwapandisha ranks haraka ili kuwaridhi watakapoondoka mamlakani. Huyu Kagame naona anafuata mkondo wa Museveni. Huyu Kijana wa Kagame nakuhakikishia atakuwa full general ndani ya miaka 20 zijazo. Wakati huo Kagame atakuwa tayari kuretire na mtoto wake wakati huo atakuwa generali wa majeshi tayari kumridhi baba yake. Uganda na Rwanda naona wanaelekea katika kitu kinachoitwa Monarchy. Yaani uongozi kupitia damu na sio kura. Uongozi wa urithi au DNA ulishapitwa na wakati. Ni maoni yangu.
Na hii dhana huko mbeleni haina afya kuna ambao hawatakubali kuongozwa kifalme.
 
Kabla ya serikali kuhamia Dodoma ofisi ya VP wenu ilikuwa wapi?
We kilaza hii ni mara ya mwisho nakujibu office ya vice president was next to state house DSM.
Screenshot_20220813-130518_Opera.jpg
Screenshot_20220813-130418_Opera.jpg
Screenshot_20220813-004742_Opera.jpg
 
Our politics has come of age. Coalitions are normal things in matured democracies. Vyama huunda coalitions pre-elections or post-elections. Kama unashangaa angalia jinsi Angela Markel alivyounda serikali yake Ujerumani. Nyinyi politics yenu bado iko nyuma sana so huwezielewa kitu
Wacha uongo, ujerumani na Israel wanaunda coalition baada ya uchaguzi pale ambapo Chama kilichoshinda hakijapata viti vingi ili kuunda serikali. Kwa maneno mengine Kenya mnaunda coalition ili kutafuta kura wakati Ujerumani ni baada ya kura

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Bongolala, media houses were tallying forms 34A as they appear on the portal na ndio walikuwa wakionyesha matokeo zake kwenye runinga. By the time they stopped showing results, 99% of all forms 34A were already uploaded on the portal and tallied.

Kinachofanyika sasa ni verification of forms 34B by the IEBC. This is not the work of the media. Verification is strictly done by the IEBC and these forms (34B) are not uploaded on the portal. They are physically delivered to the commission by all the 290 Returning Officers for verification to ensure that it tallies with the figures captured in forms 34A as announced at the constituency level.

Once this is done, the commission announces provisional results of what each candidate scored per constituency.

At the moment, the commission has already verified results in 43 constituencies and announced provisional results as follows

Umeelewa?
Why TV stations have different out come if 99% of the presidential results were out?. This is very dengarous if the Final results won't go the same direction to meet expectations of political divides as per their favorite TV station results

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kabla ya serikali kuhamia Dodoma ofisi ya VP wenu ilikuwa wapi?
Ni swali zuri. Sina uhakika kama alikuwa anafanyia hapo au ilikuwa ni baadhi ya Ofisi za Wizara ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira.

Maana hilo jengo lilitumika na watu wa Wizara ya Nishati na Madini kabla hazijatenganishwa.

So nisidanganye hapa before ofisi yake ilikuwa wapi sijui. Uwenda alikuwa na ofisi nyingine maana ukiangalia ofisi ya PM ni nzuri na ya hadhi kuliko hilo jengo.
 
South Afrika wangapi wamekufa kwa njaa?, Lini wamepokea chakula cha msaada?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
kisha mmezoea kudefend mandugu zenu wadhati, eti hawana njaa......!

hawana njaa kivipi, ilhali 35% of southafricans go hungry evryday.!?

🤔🤔 heb check maneno👇🏽



Screenshot_20220813-132233_Chrome.jpg
Screenshot_20220813-132151_Chrome.jpg





nb:
Southafrica is dryer than Kenya, hence hunger and drought should not come in as a shocker.!
Screenshot_20220813-134255_Earth.jpg
Screenshot_20220813-134117_Earth.jpg
 
Kama ingekua vice versa kunyaland ingelipuka yote mpaka TV stations zao na Rais angetangaza state of emergency that kunyaland is control Tanzania's election
Kwenye ukanda huu nchi zote marais tumewaweka sisi madarakani ilikua kasoro kunyaland tu,this time tunawawekea rais na wao kumbafu
 
Ikulu address ni 1 Albert Luthuli Street na kwa VP office ni 6 Albert Luthuli Street hivyo utaona jinsi majengo yalivyo jirani maana yake VP yuko kwenye jengo la sita kutoka state house. Imebidi nikutafunie hivyo Nixie maana naona uko dull sana hapo juu.
Kama hataelewa hapa basi tutamuacha aamini atakavyo.
 
Back
Top Bottom