7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Nimemkumbuka aisee, huyu mzee bwana noma sana.Mzee wa kukoroga uchaguzi. Ndie aliyefuta uchaguzi Zanzibar baada ya Maalim Seif kushinda 2015



Nimemkumbuka aisee, huyu mzee bwana noma sana.Mzee wa kukoroga uchaguzi. Ndie aliyefuta uchaguzi Zanzibar baada ya Maalim Seif kushinda 2015



Hapo sawa,halafu cheki anavyotembea kwa utulivu kumbe ana mbio somewhere, huwezi kumdhania kabisa![]()




We subiri wakikuyu na wakalenjini watakavyoanza kulia ndio utaujua umahiri wa ami jecha 😂Me bado hamjanielewesha umahiri wake kwenye hili suala![]()
Shauri yenu watazinguana huko halafu wamsingizie ami wakoWe subiri wakikuyu na wakalenjini watakavyoanza ndio utaujua umahiri wa ami jecha![]()





Timing.. Timing mtu wangu...Me bado hamjanielewesha umahiri wake kwenye hili suala![]()




This is TZ mzeeTiming.. Timing mtu wangu...
Ngvombe anachijwa wima na Kwa utulivu kabisa bila kufurukuta.
![]()




Ushaambiwa hilo jengo la kitambo sana,shughuli za huyo kiongozi ukienda hapo unatoka emptyKujichangamsha kivipi wakati jengo lenyewe limeandikwa hivyo?
Daaah! Kama unajijua ni mbovu wa ngeli achana nayo. Ona sasa umetuaibisha watanzania na nchi kwa ujumlamulanKE umeilewa mada?
Did you understood this subjects..
Daaah! Kama unajijua ni mbovu wa ngeli achana nayo. Ona sasa umetuaibisha watanzania na nchi kwa ujumla








Aiseee wapi hii




Hahah labda election ya 2002 or 2007.
Kama Samuel kivitwu wa kenya alitangazaga matokeo ya Magumashi kunyalandNimemkumbuka aisee, huyu mzee bwana noma sana.![]()