7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,066
Nimemkumbuka aisee, huyu mzee bwana noma sana. [emoji23][emoji23][emoji23]Mzee wa kukoroga uchaguzi. Ndie aliyefuta uchaguzi Zanzibar baada ya Maalim Seif kushinda 2015
Nimemkumbuka aisee, huyu mzee bwana noma sana. [emoji23][emoji23][emoji23]Mzee wa kukoroga uchaguzi. Ndie aliyefuta uchaguzi Zanzibar baada ya Maalim Seif kushinda 2015
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo sawa,halafu cheki anavyotembea kwa utulivu kumbe ana mbio somewhere, huwezi kumdhania kabisa [emoji16][emoji16][emoji16]
We subiri wakikuyu na wakalenjini watakavyoanza kulia ndio utaujua umahiri wa ami jecha 😂Me bado hamjanielewesha umahiri wake kwenye hili suala [emoji23][emoji23][emoji23]
Shauri yenu watazinguana huko halafu wamsingizie ami wako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We subiri wakikuyu na wakalenjini watakavyoanza ndio utaujua umahiri wa ami jecha [emoji23]
Timing.. Timing mtu wangu...Me bado hamjanielewesha umahiri wake kwenye hili suala [emoji23][emoji23][emoji23]
This is TZ mzee [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Timing.. Timing mtu wangu...
Ngvombe anachijwa wima na Kwa utulivu kabisa bila kufurukuta.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ushaambiwa hilo jengo la kitambo sana,shughuli za huyo kiongozi ukienda hapo unatoka emptyKujichangamsha kivipi wakati jengo lenyewe limeandikwa hivyo?
Daaah! Kama unajijua ni mbovu wa ngeli achana nayo. Ona sasa umetuaibisha watanzania na nchi kwa ujumlamulanKE umeilewa mada?
Did you understood this subjects..
Daaah! Kama unajijua ni mbovu wa ngeli achana nayo. Ona sasa umetuaibisha watanzania na nchi kwa ujumla
Aiseee wapi hii [emoji7][emoji7][emoji8][emoji8]
Tushafanya yetu tayari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kulikoni sasa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahah labda election ya 2002 or 2007.Tumempeleka Kenya akasimanie uchaguzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2322960
Kama Samuel kivitwu wa kenya alitangazaga matokeo ya Magumashi kunyalandNimemkumbuka aisee, huyu mzee bwana noma sana. [emoji23][emoji23][emoji23]