Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

joto la jiwe Nimesema hapa mara nyingi kwamba ikiwa mtu fulani atashika usukani basi uchumi wa Kenya utakuwa mashakani. Ni maoni yangu tu. Battle hii haitakuwa na ladha tena kwangu. Itabidi niitazame hii battle kwa mbali bila michango mingi.
The best 007 natumai umenielewa sasa nilikuwa nazungumzia kitu gani.

Cc Geza Ulole.
Nimekuelewa vizuri, kwangu Mimi sioni kiongozi Bora Kati ya hao wawili, bado wakenya hamchagua viongozi kwa kuangalia utendaji wake wa kazi, ninyi bado mnaangalia "personality & Ethnicity", Kama mlivyowachagua Uhuru na Rutto, ndivyo mnavyowachagua Raila na Rutto.

Hawa wote sio miongoni mwa wagombea Bora hapo Kenya, usitegemee lolote kubadilika kwa yeyote atakayechaguliwa miongoni mwao.

Kama Kenya mngetaka maendeleo na mabadiliko ya kweli, Matiang'i was the guy, lakini kwasababu ni mkisii hawezi kuchaguliwa. Kenya you have long way to go.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Umechange gear hewani 😃😃😃
Ya Magu kupata 84% ya kura na 90% ya wabunge hutaki tena 😂😂😂
Kwa kazi kubwa alioifanya ilikua ni halali apate hata zaidi ya hio 😂😂😂 tatizo lenu kila siku hua nawaambia siasa za tanzania hamuziwezi hata chembe nyinyu mumeZoea siasa za ukabila sasa munafkiri kila kona ya dunia kuna ukabila
 
🤣 Wacha kuwa zuzu we jamaa, kwahyo kukubali kuongozwa na mwanamke ndio ustaarabu.?
Wewe ni taahira na unabisha jambo genuine na lililowazi kwa sababu tuu una chuki binafsi na Rais Samia nothing else..

Wewe uliko huko huoni tofauti iliyopo kwamba Wanawake wanapenda kuweka nguvu kwenye huduma za Jamii ambazo zinawagusa wao moja kwa moja..

Huoni hata Rais Samia alivyoweka nguvu kwenye maji,afya,elimu hasa mwanamke,kilimo, barabara Vijijini na ajira?

Narudia tena siku zote mwanamke ni mtu muaminifu na muadilifu na ndio maana ni nadra Sana kuwasikia kwenye kashfa za wizi na upumbavu mwingine unaofanywa na wanaume. So Kwa Wakenya hasa wa Nakuru kuchagua wanamama kamwe hawatajuta.

Endelea kununa ila msome Kinana anakukumbusha tuu hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220813-074620.png
    Screenshot_20220813-074620.png
    131.8 KB · Views: 10
Nikipiga flashback ya nairobi ile ya mwaka 2006 nilikuwa nikipiga na bus Taofiq( falcon) ya sasa isebania-malindi dishes-namanga tukifika asubuhi, nNairobi ya kipindi hicho 2006! Kama ilikuwa vile! Sijui kwa sasa nitailinganisha na jiji gani hapa africa, labda kempton city SA. Wenzetu hawa walituacha kitambo. Flyovers kwao zilianza wayback!
Kwa kiswahili hiki na wewe unajiita mtanzania? Labda mtanzania wa machakos
 
Back
Top Bottom