Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Inategemea hiyo nyumba ya chini inakaaje na hiyo gorofa inakaaje. Don't compare oranges to mangoes. Sasa tuseme wenye wanakaa hapa wako na Maisha Bora kuliko wenye wanakaa pale kwa next photo?

Dar-es-Salaam-masterplanning-London_07253e55b7ca164b8d0056b8f5e17f5d.jpg


107333732.jpg
Tunajua zile gorofa za udongo za pipeline zilivyo na jinsi zilivyopambwa na chupi kila mahali. Tunaongea vitu tunavyovijua View attachment 2321298View attachment 2321299View attachment 2321300View attachment 2321301
Screenshot_20220811-235718_Opera.jpg
View attachment 2321302
 
Niliwaambia nyinyi ndo muende shambani mzalishe vyakula sisi tuna Hela za kuvinunua shida Iko wapi hapo Tena? Inchi yenyu Ina rotubaa nzuri kwa hivo chimbeni sisi tununue maneno ya njaa imetoka wapi?
Mgekuwa mna uwezo wa kununua watu wasingekufa njaa huko kwenu wala msingepokea msaada wa chakula ila msaada mnapolea sababu watu wanakufa njaa na mediocre giant hana uwezo wa kuokoa jahazi.
 
mi nashindwa mtoto mdogo kama huyu, alifanya aje hadi kuunda hela nyingi kama hio!.
eti $1.7B.! richer than any east african!
mi naona nikama mungu ako na mapendeleo flani. anabagua watu..
kwani huyu mwanadada anatia bidii gani ambayo mimi si tii kila kukicha!. mbona yeye tajiri sana, mimi maskini..!!?

View attachment 2321057View attachment 2321045View attachment 2321046View attachment 2321048View attachment 2321049View attachment 2321050View attachment 2321044View attachment 2321054View attachment 2321055View attachment 2321056View attachment 2321058
The difference is yeye yuko kwenye land of opportunities na wewe uko kwenye land of propaganda and nepotism
 
Mm nataka ashinde Amoro Odinga mkuu.
Hamna tatizo ikiwa unataka Raila au Ruto ashinde. Tatizo ni kwamba wewe unaomba machafuko yatokee Kenya na bado unategemea watu wakuheshimu kwenye huu uzi? Tunavumilia kauli yako ya chuki kwa sasa kwa sababu tunakuheshimu, lakini ukiendelea na hio kauli basi utajikosea heshima na watu hawatakuvumilia tena. Una uhuru wa kuzungumza lakini sidhani kama una uhuru wa kusambaza chuki mitandaoni.
 
Wakunya bhana kura zilizo hesabiwa zinazidi idadi ya wapigaji kura halafu kuna watu wanasema kuna kitu cha kujifunza kwao
Hao ni bendera fuata upepo tu kila kinachofanyika nje ya nchi yao ni kizuri kuliko cha kwao. Kutokuthamini vitu vyao ndio uzalendo eti. Nawaonaga wapuuzi tu.
 
Back
Top Bottom