Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I thought ungekuja na evidence ili unachokiandika kionekane ni sahihi but kondoo ni nani asiwe na ubishi wa kishamba!
Ficha aibu ndogo ndogo.
Hizi pia utasema ni ofisi za waziri mkuu na Rais! View attachment 2322775
View attachment 2322776
Unataka evidence gani zaidi ya picha ya lile gofu niliopost hapa?

And please stop beating around the bush. Hizi ni ofisi za machifu huku kwetu na zote zimeandikwa office of the president.
images (58).jpeg
images (27).jpeg
images (31).jpeg


Lakini sisi sote tunajua ofisi ya Rais wa Kenya ndio hii hapa
images (63).jpeg


Nyinyi mnaleta vipicha na kusema ndio ofisi ya VP wenu bila ushahidi wowote kisha mnaanza vijimaneno!
 
Kwa kazi kubwa alioifanya ilikua ni halali apate hata zaidi ya hio 😂😂😂 tatizo lenu kila siku hua nawaambia siasa za tanzania hamuziwezi hata chembe nyinyu mumeZoea siasa za ukabila sasa munafkiri kila kona ya dunia kuna ukabila
Nyinyi mna siasa ama sarakasi? 😃😃
 
Uhehehe hii picha ya mwaka gani kwanza 😂😂😂😂😂 nimecheka sana na sasa nimeamini tanzania inawanyima usingizi
Kwa hilo gofu Tanzania inyime nani usingizi? Una kichaa wewe!
 
Unataka evidence gani zaidi ya picha ya lile gofu niliopost hapa?

And please stop beating around the bush. Hizi ni ofisi za machifu huku kwetu na zote zimeandikwa office of the president. View attachment 2322789View attachment 2322790View attachment 2322791

Lakini sisi sote tunajua ofisi ya Rais wa Kenya ndio hii hapa View attachment 2322796

Nyinyi mnaleta vipicha na kusema ndio ofisi ya VP wenu bila ushahidi wowote kisha mnaanza vijimaneno!

Enyewe tofauti yako na kondoo ni harufu tu tena hapo kwenye harufu sidhani kama mna tofautiana.
 
Unataka evidence gani zaidi ya picha ya lile gofu niliopost hapa?

And please stop beating around the bush. Hizi ni ofisi za machifu huku kwetu na zote zimeandikwa office of the president. View attachment 2322789View attachment 2322790View attachment 2322791

Lakini sisi sote tunajua ofisi ya Rais wa Kenya ndio hii hapa View attachment 2322796

Nyinyi mnaleta vipicha na kusema ndio ofisi ya VP wenu bila ushahidi wowote kisha mnaanza vijimaneno!
Hivi ninyi mbona hamjui kujenga kabisa? Nini sasa hicho?

Hivi kuna office yoyote ya serikali ya maana Wakunya wenyewe mlishawahi kujenga kwa kutumia akili zenu na maarifa kama hizi za Tanzania?

 
Hivi ninyi mbona hamjui kujenga kabisa? Nini sasa hicho?

Hivi kuna office yoyote ya serikali ya maana Wakunya wenyewe mlishawahi kujenga kwa kutumia akili zenu na maarifa kama hizi za Tanzania?


Ndio hii hapa tuliyotumia maarifa na akili zetu kijenga 😂😂😂😂
images (17).jpeg
 
Kama ingekua vice versa kunyaland ingelipuka yote mpaka TV stations zao na Rais angetangaza state of emergency that kunyaland is control Tanzania's election
Wewe kilaza sana. Yani maoni ya mtu binafsi unayeleta hapa and make it sound authentic? We Kenyans are used to Miguna's theatrics. He isn't new to controversy from way back
 
Back
Top Bottom