Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya ndio nchi ya ovyo kabisa kwenye mambo ya uchaguzi ikiwa sensa tu pekee kulikua na majanga kibao sembuse uchaguzi 😂😂😂 tangu lini mwizi akachaguliwa na kuchagua
Inawauma sana kuona the level of transparency in this election which is still a pipe dream in your country.

Mlitarajia kuona masanduku ya kura yakipotea, polisi na jeshi kutumiwa kuterorize opposition areas na mambo kama hayo jinsi inavyofanyika huko kwenu. Ole wenu!
 
Huyo anaongea hivyo na kusahau kwamba matangazo ya uchaguzi live kwenye vyombo vya habari huko kwao ni ndoto ambayo haitawahi timika
Kuna haja gani ikiwa kuna tume ya uchaguzi wakat kila mtu anamatokeo yake mkononi huo ndio uongozi mliofundishwa au ndio gear za kupunguza speed za kupasuana😂😂
 
Mlidanganywa na nani?? 😂😂😂 hvi nyinyi nani aliwaroga ??
Meza wembe kama unaumwa sana
FB_IMG_16603281146280277.jpg
 
Inawauma sana kuona the level of transparency in this election which is still a pipe dream in your country.

Mlitarajia kuona masanduku ya kura yakipotea, polisi na jeshi kutumiwa kuterorize opposition areas na mambo kama hayo jinsi inavyofanyika huko kwenu. Ole wenu!
Sio inatuuma tunacheka kuona vile utoto na ujinga ulivowajaa 😂😂😂 yani ndio maana miaka yote munaburuzwa na makabila mawili tu toka mumepata uhuru

Hvi kuna uchaguzi unakua wa amani kama wa tanzania kwa africa hii?? Hebu jibu hili swali kwanza 😃😃😃
 
Kuna haja gani ikiwa kuna tume ya uchaguzi wakat kila mtu anamatokeo yake mkononi huo ndio uongozi mliofundishwa au ndio gear za kupunguza speed za kupasuana😂😂
Inaonyesha uwazi bongolala. Lakini utajuaje hili wakati huko kwenu Magu alipata zaidi ya 84% za kura zilizopigwa na kupatapa 90% ya wabunge kwenye bunge lenu la taifa? Utaelewaje???
 
Why don't you think about South Sudan, Ethiopia, Uganda or DRC, you are thinking about Dubai, South Afrika after Tanzania?, I think you understand
what I want to say.

Kenya wasichana wadogo Kama hao hawawezi kutembea wenyewe bila "escort", there is no peace there, nchi imejaa wakora kila pembe, nani anataka kutembelea Kenya?, Labda wale wanaotoka mbali wasioijua vizuri Kenya

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kenya hata youtubers uwakuti wakishika kurekodi mtaani kiholela holela
 
Inaonyesha uwazi bongolala. Lakini utajuaje hili wakati huko kwenu Magu alipata zaidi ya 84% za kura zilizopigwa na kupatapa 90% ya wabunge kwenye bunge lenu la taifa? Utaelewaje???
Uhehehe magu bado anawasumbua vichwa vyenu tu 😂😂 kisa aliitwa best president in africa

Mlikua munamlilia aje kenya kuitengeza kenya leo mumesahau 😃😃😃
 
Just District Executive Director Office in Songwe District huko mashinani.

Imekaa kama Ikulu ya Nairobi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220812-104537.png
    Screenshot_20220812-104537.png
    123 KB · Views: 11
Back
Top Bottom