Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Media za kenya zimeacha kutangaza matikeo ya urais vp kulikoni 😂😂😂 alaf ndio munasema muna uchaguzi bora mavi ya bata 😃😃😃😃

Wengine whatsapp status wanapost hvi 😂😂😂
Hakuna mwaka uchaguzi ulikua wa ovyo kama huu na sijui ni namna gani mutakavopasuana
31CACE8B-7EED-4C19-9A21-9BAAA48048F9.jpeg
 
Media za kenya zimeacha kutangaza matikeo ya urais vp kulikoni 😂😂😂 alaf ndio munasema muna uchaguzi bora mavi ya bata 😃😃😃😃

Wengine whatsapp status wanapost hvi 😂😂😂
Hakuna mwaka uchaguzi ulikua wa ovyo kama huu na sijui ni namna gani mutakavopasuana
View attachment 2322187
Unakuaga punguani siku zote, unakwama wapi ikija uelewa wa mambo? Uwezo wa kuchunguza hauna? Kanye ulale bro.😂😂😂😂😂😂😂
 
Media za kenya zimeacha kutangaza matikeo ya urais vp kulikoni 😂😂😂 alaf ndio munasema muna uchaguzi bora mavi ya bata 😃😃😃😃

Wengine whatsapp status wanapost hvi 😂😂😂
Hakuna mwaka uchaguzi ulikua wa ovyo kama huu na sijui ni namna gani mutakavopasuana
View attachment 2322187
wacha kujiaibisha nawe! Ule uliopita wa Sukumagang ulikuwaje vile?
 
Zilikuwa ni za watz comred, tawfiq walibadili jina ni falcon sasa. Sijui. Na bus la takreem iliishia wapi!.
Takreem... I was searching for that name. Takreem na Tawfiq zilikuwa ni kama mandugu. Ukiona Tawfiq imepita ujue Takreem ipo njiani inakuja muda sio mrefu. Haya mabasi zote yalinipotelea nyakati hizo. Takreem ni kama ilikufa ikazikwa katika kaburi la sahau
 
wacha kujiaibisha nawe! Ule uliopita wa Sukumagang ulikuwaje vile?
Yani kwa huyo kilaza huu uchaguzi imekuwa wa hovyo all of a sudden kisa TV stations zimewacha kutoa kura walizopata wagombea wa urais😂 Vipi kuhusu matokeo ya ugavana, wabunge, maseneta na wawakilishi wanawake ambazo zinaonyeshwa live na idadi ya kura walizopata washindi?

Itakuwaje wameacha kutangaza wakati TV stations zote zimewacha their normal programming na kufocus kwenye huu uchaguzi? Yeye anataka kuona nini ndio ajue media zetu zote zinaonyesha matokeo ya huu uchaguzi 24/7?
 
Unakuaga punguani siku zote, unakwama wapi ikija uelewa wa mambo? Uwezo wa kuchunguza hauna? Kanye ulale bro.😂😂😂😂😂😂😂
Huyo anaongea hivyo na kusahau kwamba matangazo ya uchaguzi live kwenye vyombo vya habari huko kwao ni ndoto ambayo haitawahi timika
 
Hii sio Ikulu bali ni Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220812-104817.png
    Screenshot_20220812-104817.png
    218.2 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220812-105652.png
    Screenshot_20220812-105652.png
    237.3 KB · Views: 10
Back
Top Bottom