Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wapi nmeongelea suala la kodi?
Hujaongelea suala la kodi na mm nmekuchokoza makusudi, Forbes wanaangalia kila kitu,huwez wadanganya ww ni tajiri hivi hivi, Mo analipa kodi 3+trillions kwa mwaka Sasa unalipaje kodi kubwa alafu usiwe mopao...Jamaa sio tajiri wa mchongo kama mnavyodhani
 
Nasikia eti serikali inawajengea nyumba! Hadi kuna mmoja ananiambia eti maghorofa ya Magomeni yamejengwa na serikali.

Nikikumbuka kwamba Nairobi maghorofa yapo almost everywhere (residential areas) mengi ni miradi ya watu binafsi nabaki tu nikicheka
Hawa watu ni vicheko. 🤣 🤣
 
Tumia akili uliyopewa na Mungu kwani mimi nimelinganisha majiji ama nimelinganisha tabia za watu. Sometimes huwa sikusomi IQ yako naona iko below par.
Tabia ya mtu ya kiuchumi huendana na mapato yake au mali aliyo nayo. Huwezi sema unafanyiwa kazi ukila bata wakati wewe ni maskini kutupwa. Tumia akili.
 
Ndege yetu, wafanyakazi wetu, vyakula vyetu, abiria wananchi. Ndio maana ya uchumi mkubwa.
Mnashangaa maanake ni vitu hamjazoea. Hivo ndivyo ilivyo kwa airline karibia zote bradhee. najua ni maajabu kwenu maanake viwanda mmeanza kuvipata juzi juzi.
 
Nikipiga flashback ya nairobi ile ya mwaka 2006 nilikuwa nikipiga na bus Taofiq( falcon) ya sasa isebania-malindi dishes-namanga tukifika asubuhi, nNairobi ya kipindi hicho 2006! Kama ilikuwa vile! Sijui kwa sasa nitailinganisha na jiji gani hapa africa, labda kempton city SA. Wenzetu hawa walituacha kitambo. Flyovers kwao zilianza wayback!
 
Nikipiga flashback ya nairobi ile ya mwaka 2006 nilikuwa nikipiga na bus Taofiq( falcon) ya sasa isebania-malindi dishes-namanga tukifika asubuhi, nNairobi ya kipindi hicho 2006! Kama ilikuwa vile! Sijui kwa sasa nitailinganisha na jiji gani hapa africa, labda kempton city SA. Wenzetu hawa walituacha kitambo. Flyovers kwao zilianza wayback!

wakati huo dar haina hata jengo moja over 20floors.

ungeandika hapa pia dar ilikuwaje 2006 ukioinganisha na leo,ili tujue ni mji upi unapiga hatua.
 
Nikipiga flashback ya nairobi ile ya mwaka 2006 nilikuwa nikipiga na bus Taofiq( falcon) ya sasa isebania-malindi dishes-namanga tukifika asubuhi, nNairobi ya kipindi hicho 2006! Kama ilikuwa vile! Sijui kwa sasa nitailinganisha na jiji gani hapa africa, labda kempton city SA. Wenzetu hawa walituacha kitambo. Flyovers kwao zilianza wayback!
Asante kwa kuwa mkweli ila utapigwa na wenzako huku wasiopenda ukweli.

Cc chongchung Sama boy 255 coodip1
 
Nikipiga flashback ya nairobi ile ya mwaka 2006 nilikuwa nikipiga na bus Taofiq( falcon) ya sasa isebania-malindi dishes-namanga tukifika asubuhi, nNairobi ya kipindi hicho 2006! Kama ilikuwa vile! Sijui kwa sasa nitailinganisha na jiji gani hapa africa, labda kempton city SA. Wenzetu hawa walituacha kitambo. Flyovers kwao zilianza wayback!
Nakumbika hayo mabasi ya Tawfiq vizuri sana. Zillikuwa zinapita mjini kwetu yakielekea Nairobi kutoka Isebania/Sirare. Sijui zilikuwa ni za Kenya ama Tanzania. Hilo sikumbuki vizuri
 
Itabidi Mungu atusaidie. Mimi niseme wazi tu kwamba ikiwa matukio fulani yatatokea itabidi niadimike humu JF. Nitakuwa nakuja mara moja moja tu ila sio kila siku.
Matukio gani hayo yakitokea yatasababisha uadimike hapa JF?, Usifanye hivyo Tony254, hii forum bila wewe itapooza sana

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Nakumbika hayo mabasi ya Tawfiq vizuri sana. Zillikuwa zinapita mjini kwetu yakielekea Nairobi kutoka Isebania/Sirare. Sijui zilikuwa ni za Kenya ama Tanzania. Hilo sikumbuki vizuri
Zilikuwa ni za watz comred, tawfiq walibadili jina ni falcon sasa. Sijui. Na bus la takreem iliishia wapi!.
 
Nikipiga flashback ya nairobi ile ya mwaka 2006 nilikuwa nikipiga na bus Taofiq( falcon) ya sasa isebania-malindi dishes-namanga tukifika asubuhi, nNairobi ya kipindi hicho 2006! Kama ilikuwa vile! Sijui kwa sasa nitailinganisha na jiji gani hapa africa, labda kempton city SA. Wenzetu hawa walituacha kitambo. Flyovers kwao zilianza wayback!
Karibu sana mgeni 😂😂😂😂 tafuta maji ya kunya unywe alaf njoo tuongee sasa
 
Back
Top Bottom