Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Matukio gani hayo yakitokea yatasababisha uadimike hapa JF?, Usifanye hivyo Tony254, hii forum bila wewe itapooza sana

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
joto la jiwe Nimesema hapa mara nyingi kwamba ikiwa mtu fulani atashika usukani basi uchumi wa Kenya utakuwa mashakani. Ni maoni yangu tu. Battle hii haitakuwa na ladha tena kwangu. Itabidi niitazame hii battle kwa mbali bila michango mingi.
The best 007 natumai umenielewa sasa nilikuwa nazungumzia kitu gani.

Cc Geza Ulole.
 
Inawauma sana kuona the level of transparency in this election which is still a pipe dream in your country.

Mlitarajia kuona masanduku ya kura yakipotea, polisi na jeshi kutumiwa kuterorize opposition areas na mambo kama hayo jinsi inavyofanyika huko kwenu. Ole wenu!
Kenya hakuna opposition vyama vyote dhaifu bila coalitions hamna siasa na structure ya coalition inatofautiana kila uchaguzi due to changing allegiances.
 
Ofis ya makamu wa rais ziko nyingi na tena maeneo tofaut tofaut hii hapa moja wapo View attachment 2322298
Unajua hawa wakunya wanafikiri ofisi ya makamu wa raisi ni lile jengo pale posta ya zamani next to forodhani secondary school kumbe lile jengo lilikuwa na vitengo tuu vya wizara na nishati na madini pamoja na makamu wa raisi. Ila ofisi ya makamu wa raisi ipo opposite na gate ya kuingia ikulu.
 
Nimeifuatilia mradi huu kwa karibu kwa miaka nyingi sana na ujenzi unaendelea vizuri. Ethiopia announces 3rd successful filling of Gerd. Gerd has now reached a height of 600 metres. It is now storing around 20 billion cubic metres of water. Turbines mbili tayari zinazalisha umeme. Mradi ukikamilika, Gerd itakuwa na 13 turbines.


FZ8tSWVXoAAQ2k9.jpeg
 
Unafikiri hii Tanzania yenu hatuijui?
View attachment 2322324
We kilaza hii ndio ofisi ya makamu wa Raisi Dar es salaam. Hili jengo halina picha nyingi maana pale ni next to state house kupiga picha hairuhusiwi.

Angalia makabidhiano ya ofisi pia

Screenshot_20220813-004742_Opera.jpg
 
joto la jiwe Nimesema hapa mara nyingi kwamba ikiwa mtu fulani atashika usukani basi uchumi wa Kenya utakuwa mashakani. Ni maoni yangu tu. Battle hii haitakuwa na ladha tena kwangu. Itabidi niitazame hii battle kwa mbali bila michango mingi.
The best 007 natumai umenielewa sasa nilikuwa nazungumzia kitu gani.

Cc Geza Ulole.
Akishika Ruto unamaanisha?
 
Returning officer wa Embakasi East kapotea mysteriously duh hapa sasa kazi kuna mchezo unapangwa hii ni recipe for violence.
Violence na wakunya ni kama mizizi na ardhi , kama unapenda watu wako huwezi ruhusu media zitangaze matokeo zenyewe . Itatokea fujo tu maana kufanya lobbying kwa waandishi watangaze Fake result ni rahisi mno .

Wanahatarisha maisha ya raia wa kawaida wakate viongozi wana security
 
Violence na wakunya ni kama mizizi na ardhi , kama unapenda watu wako huwezi ruhusu media zitangaze matokeo zenyewe . Itatokea fujo tu maana kufanya lobbying kwa waandishi watangaze Fake result ni rahisi mno .

Wanahatarisha maisha ya raia wa kawaida wakate viongozi wana security
Wanaiga USA lakini wanasahau US wana mfumo wa electronic katika upigaji kura na matokeo yanakuwa live in real time kwa display at the national poll Centre ambayo kila media inatangaza matokea from that single source.
 
Yani kwa huyo kilaza huu uchaguzi imekuwa wa hovyo all of a sudden kisa TV stations zimewacha kutoa kura walizopata wagombea wa urais Vipi kuhusu matokeo ya ugavana, wabunge, maseneta na wawakilishi wanawake ambazo zinaonyeshwa live na idadi ya kura walizopata washindi?

Itakuwaje wameacha kutangaza wakati TV stations zote zimewacha their normal programming na kufocus kwenye huu uchaguzi? Yeye anataka kuona nini ndio ajue media zetu zote zinaonyesha matokeo ya huu uchaguzi 24/7?
Matokeo ya urais ndiyo yenye kuzusha fujo na mapigano, Dunia inafuatilia matokeo ya urais, we are not interested with your local seats


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Huyo anaongea hivyo na kusahau kwamba matangazo ya uchaguzi live kwenye vyombo vya habari huko kwao ni ndoto ambayo haitawahi timika
Sasa mbona mumekatisha kurusha" live" matokeo ya kura za urais?, Mnakumbuka ilivyokua katika uchaguzi wa 2007 hadi kukatokea machafuka ya kuchinjana?, Kosa lile lile ndio mnalirudia tena


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Inawauma sana kuona the level of transparency in this election which is still a pipe dream in your country.

Mlitarajia kuona masanduku ya kura yakipotea, polisi na jeshi kutumiwa kuterorize opposition areas na mambo kama hayo jinsi inavyofanyika huko kwenu. Ole wenu!
Ile gari toka Uganda iliyokamatwa kule ikiingiza voters toka Uganda umesahau?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom