Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kigongo busisi bridge 👇👇👇
3.2km
E25C60BB-7692-47CE-8444-27715B62371A.jpeg
B0B45C5D-B8CD-4FCD-B47E-786FF0CC3AB3.jpeg
 
Na haya ni makazi ya makamu wa rais dodoma 😃😃👇👇

Umechange gear hewani 😃😃😃
Ya Magu kupata 84% ya kura na 90% ya wabunge hutaki tena 😂😂😂
 
Uhehehe magu bado anawasumbua vichwa vyenu tu 😂😂 kisa aliitwa best president in africa

Mlikua munamlilia aje kenya kuitengeza kenya leo mumesahau 😃😃😃
Yule dikteta atamanike Kenya? Kenya ya wapi? Huo ujinga uliisha kipindi cha Moi na wala hatutaman kurudi huko
 
Rais kazindua barabara ya lami ya Tarura huko Kijijini 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220812-224458.png
    Screenshot_20220812-224458.png
    153.1 KB · Views: 12
  • 20220712_224206.jpg
    20220712_224206.jpg
    113.5 KB · Views: 10
We taahira Magu ni habari ya dunia, anajulikana kuliko kunyaland
Each second someone must mention Him around the world

Hebu basi tuambie huyo amemzungumzia kivipi. Anasemaje kwenye hiyo tweet? 😃😃
 
Ipo Ikulu ya Mda Dodoma na pia kila Mkoa kuna Ikulu but main Ikulu is under construction 👇
Hujajibu swali. Tanzania imekuwa na makamu wa Rais since 1964. Huo muda wote makamu wenu wa Rais wawamekuwa wakifanya kazi wapi wakingoja hiyo ofisi ya Dodoma ikamilike?
 
Sio inatuuma tunacheka kuona vile utoto na ujinga ulivowajaa 😂😂😂 yani ndio maana miaka yote munaburuzwa na makabila mawili tu toka mumepata uhuru

Hvi kuna uchaguzi unakua wa amani kama wa tanzania kwa africa hii?? Hebu jibu hili swali kwanza 😃😃😃
Tanzania inakuwanga na uchaguzi ama sarakasi na vioja?
 
Back
Top Bottom