joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Kwani ninyi chuki yenu kwa Tanzania inawatoa kwenye slums, njaa, rushwa na ukabila?, Mbona kila kukicha njaa na slums ndio vinaongezeka?.Uzuri chuki yako ya Kenya hakibadilishi chochote. Utabaki kuishi maisha ya uchochole hapo Tanga au kokote unapoishi.
Tony254, ninyi wakenya kamwe hamtokaa muelewane na majirani wenu, mumechagua kuwa jirani wa hovyo, tuendelee kuishi hivyohivyo hadi mtakapo jirekebisha, sisi typo tayari kuishi vile mtakavyo. Tunaishi kwa amani na upendo na majirani wote, ila Kenya mumechagua tuishi tofauti na wengine, tupo tayari kwa hilo, punguza kulialia.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
