Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Why don't you think about South Sudan, Ethiopia, Uganda or DRC, you are thinking about Dubai, South Afrika after Tanzania?, I think you understand
what I want to say.

Kenya wasichana wadogo Kama hao hawawezi kutembea wenyewe bila "escort", there is no peace there, nchi imejaa wakora kila pembe, nani anataka kutembelea Kenya?, Labda wale wanaotoka mbali wasioijua vizuri Kenya[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Even those, they'll travel sir. Even Uganda, Nigeria, Zambia, Zimbabwe. It's what people do when they have money, they travel.
 
Imagine hiyo ni slum na ina nafuu kuliko hii middle class yenu. 🤣 🤣

harbor-slums-dar-es-salaam-tanzania-september-90690013.jpg
1230
 
Even those, they'll travel sir. Even Uganda, Nigeria, Zambia, Zimbabwe. It's what people do when they have money, they travel.
Hahahaha, ni baada ya kukutajia sio?. Nikumbushe kidogo, ni nchi gani ambayo wakenya wamejazana kwa wingi kufanya kazi ili kutuma pesa Kenya kusaidia jamaa zao?

1)Tanzania
2)South Africa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha, ni baada ya kukutajia sio?. Nikumbushe kidogo, ni nchi gani ambayo wakenya wanejazana kwa wingi kufanya kazi ili kutuma pesa Kenya kusaidia jamaa zao?

1)Tanzania
2)South Africa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kama mmeshindwa kufanya kazi si tutawafanyia? We are hustlers.
 
Siku zote mtu aliyepo chini hudhani aliyepo juu ndio sababu ya yeye kuwa chini.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo tujifunze kuiga mazuri kutoka kwa watu waliofanikiwa.

Siyo kila aliyefanikiwa ni Freemason(ya dhana potofu ya nguvu za giza na makafara) ,mla rushwa, mwizi au fisadi.

Kuna matajiri wanachukiwa kwasababu ya utajiri wao, kuna nchi zinachukiwa kwasababu ya rasilimali zao.
 
Imagine hiyo ni slum na ina nafuu kuliko hii middle class yenu. [emoji1787] [emoji1787]

harbor-slums-dar-es-salaam-tanzania-september-90690013.jpg
1230
Kuna project inaendelea ya kubadilisha hili bonde la mto Msimbazi na kuwa makazi bora zaidi, siku ikisha haitakuwa na muonekano huu.

Serikali fanyeni hima hima tunachekwa huku [emoji846][emoji846] kuona ni kuamini miradi ikikaa sana kwenye makaratasi unakuwa uzushi na ubabaishaji.

Project inaitwa MODERN CITY PARK AT MSIMBAZI.
 
Why don't you think about South Sudan, Ethiopia, Uganda or DRC, you are thinking about Dubai, South Afrika after Tanzania?, I think you understand
what I want to say.

Kenya wasichana wadogo Kama hao hawawezi kutembea wenyewe bila "escort", there is no peace there, nchi imejaa wakora kila pembe, nani anataka kutembelea Kenya?, Labda wale wanaotoka mbali wasioijua vizuri Kenya[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Unaongea kama mshamba
 
Me kwa maono yangu heri Tanzania ijiondoe kwa jumuia ya Africa mashariki Waka ungane na ya kusini.... Tunasumbuana sana huku.... Hata hivo ukiangalia kwenye ramani Tanzania Iko south si east
kukimbia matatizo siyo sulu
Bora hivo muende sadc sisi tubaki tupambane, sisi kuwa na Tanzania muungani mmoja is proving to be toxic
hatuwezi kuondoka tukawaacha ndugu zetu UGANDA, S.SUDANI, BURUNDI NA RWANDA! Ndiyo maana tulipambana mpaka coalition of the willing ikafia mbali.
 
Itabidi Mungu atusaidie. Mimi niseme wazi tu kwamba ikiwa matukio fulani yatatokea itabidi niadimike humu JF. Nitakuwa nakuja mara moja moja tu ila sio kila siku.
 
Bila Tanzania, hakuna EAC, sisi ndio tuliotoa wazo la kuanzishwa kwa EAC na kila kitu kipo Arusha, au unapendekeza Arusha iwe ni sehemu ya Kenya?.

Nimekuuliza, tulipojaribu kutoshiriki Mambo ya EAC, ninyi mliamua kuanzishwa "Coalition of the willing" ili kuitenga Tanzania, mlifanikiwa?[emoji23].

Centrol corridor vs Northern Corridor, hizo ndio zitakueleza Kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani inayokubalika zaidi na nchi za EAC. Suala la hivi karibuni ambapo tena Tanzania ilichaguliwa kuwa nchi itakayojengwa Bank kuu ya EAC na kizishinda nchi zote, pia ni dalili kwamba bila Tanzania hakuna EAC.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ngombe CoW chali miguu juu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Why don't you think about South Sudan, Ethiopia, Uganda or DRC, you are thinking about Dubai, South Afrika after Tanzania?, I think you understand
what I want to say.

Kenya wasichana wadogo Kama hao hawawezi kutembea wenyewe bila "escort", there is no peace there, nchi imejaa wakora kila pembe, nani anataka kutembelea Kenya?, Labda wale wanaotoka mbali wasioijua vizuri Kenya[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Yaani hapo yeye mwenyewe kaiweka Tz kwenye level za South Africa, Dubai kuwa ni sehemu nzuri kwa watu wenye pesa kutembea. He shot himself on the foot [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom