7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Umeongea kweli mkuu. Hata zile vurugu za 2007 vyombo vya habari vilichochea sana, Genocide Rwanda navyo pia radio zilichangia pakubwa.Nahisi watakuwa wamekatazwa kwa sababu wanaleta mkanganyiko kwa wananchi,hii ndio maana baadhi ya viongozi Africa huwadhibu vyombo vya habari kwa uptoshaji kama huu kwa kisingizio cha freedom of press.
