Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamna tatizo ikiwa unata Raila au Ruto ashinde. Tatizo ni kwamba wewe unaomba machafuko yatokee Kenya na bado unategemea watu wakuheshimu kwenye huu uzi? Tunavumilia kauli yako ya chuki kwa sasa kwa sababu tunakuheshimu, lakini ukiendelea na hio kauli basi utajikosea heshima na watu hawatakuvumilia tena. Una uhuru wa kuzungumza lakini sidhani kama una uhuru wa kusambaza chuki mitandaoni.
Hivi ninyi wakenya mnaposambaza chuki dhidi ya watanzania mbona hakuna watu wanaosema mnajivunjia heshima?
1)Mlisambaza chuki dhidi ya Tanzania katika kipindi cha Corona, mlijitahidi kuhakikisha Tanzania inatengwa na Dunia, mlifikia hatua ya kuzuia ndege toka Tanzania kutua Kenya.

2) Wakati wa uchaguzi Tanzania, mliungana na watu waliosema uchaguzi haukua wa huru na haki, tofauti na ripoti za waangalizi wa uchaguzi

3)Sakata la yule dada wa Nigeria kule Zanzibar mlianzisha kampeni ya kushawishi Dunia kwamba Zanzibar sio salama ili watalii waogope

4)Mnajua mlilofanya kwenye Sakata la Ngorongorio na Loliondo.

Kwahiyo ninyi mnavyotufanyia haya yote kwenu mnadhani ni sahihi?.

The best 007 endelea kuandika vile unavyojisikia, hawa jamaa ni washenzi hawana ustaarabu wowote, Mimi binafsi ninazidi kumuomba Mungu hawa wanyama wachinjane.

Mlichagua tuishi maisha ya uadui, kwahiyo msilalamike

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Screenshot_20220812-065051_YouTube.jpg
Screenshot_20220812-065136_YouTube.jpg
Screenshot_20220812-065154_YouTube.jpg

 
Wakunya bhana kura zilizo hesabiwa zinazidi idadi ya wapigaji kura halafu kuna watu wanasema kuna kitu cha kujifunza kwao 😂😂😂
Wacha ujinga. Unaonyesha upumbavu wako humu. Idadi ya watu waliojiandikisha kupiga kura ni 22 million. Idadi ya watu waliopiga kura ni 14.3 million.
 
Hao ni bendera fuata upepo tu kila kinachofanyika nje ya nchi yao ni kizuri kuliko cha kwao. Kutokuthamini vitu vyao ndio uzalendo eti. Nawaonaga wapuuzi tu.
Wewe ni mtu mzuri lakini tatizo lako ni kuwa unaamini kauli za kila mtu humu ndani hata za uongo. Huyo Fundi kitasa anadanganya wazi wazi na wewe unamuamini haraka sana. Jifunze kuhoji vitu kwa undani kabla ya kuamini. Yaani inaitwa "critical thinking". Sio kwamba kila kitu kinachowekwa humu ndani ni cha kweli.
 
Hivi ninyi wakenya mnaposambaza chuki dhidi ya watanzania mbona hakuna watu wanaosema mnajivunjia heshima?
1)Mlisambaza chuki dhidi ya Tanzania katika kipindi cha Corona, mlijitahidi kuhakikisha Tanzania inatengwa na Dunia, mlifikia hatua ya kuzuia ndege toka Tanzania kutua Kenya.

2) Wakati wa uchaguzi Tanzania, mliungana na watu waliosema uchaguzi haukua wa huru na haki, tofauti na ripoti za waangalizi wa uchaguzi

3)Sakata la yule dada wa Nigeria kule Zanzibar mlianzisha kampeni ya kushawishi Dunia kwamba Zanzibar sio salama ili watalii waogope

4)Mnajua mlilofanya kwenye Sakata la Ngorongorio na Loliondo.

Kwahiyo ninyi mnavyotufanyia haya yote kwenu mnadhani ni sahihi?.

The best 007 endelea kuandika vile unavyojisikia, hawa jamaa ni washenzi hawana ustaarabu wowote, Mimi binafsi ninazidi kumuomba Mungu hawa wanyama wachinjane.

Mlichagua tuishi maisha ya uadui, kwahiyo msilalamike

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Uzuri chuki yako ya Kenya hakibadilishi chochote. Utabaki kuishi maisha ya uchochole hapo Tanga au kokote unapoishi.
 
Back
Top Bottom