7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Ndio maana wanakuchukiaMm nawatakia kila la heri Wakenya katika kupigania nchi yao, Wakenya msikubali nchi yenu iwe mali ya kabila fulani fulani. Nna imani hamtaacha uchaguzi uishe hivi hivi tu.




Ndio maana wanakuchukiaMm nawatakia kila la heri Wakenya katika kupigania nchi yao, Wakenya msikubali nchi yenu iwe mali ya kabila fulani fulani. Nna imani hamtaacha uchaguzi uishe hivi hivi tu.




Kuna utofauti wa viti kati Blue side na Yellow side. Hii inatoa tafsiri gani?Bado tunangoja.., tatizo sides zote nikama wako sure they will win..,Team Blue wanaona wanashinda na wale wa yellow pia wanaona wanashinda, wote wamejitayarisha kuhutubia wafuasi wao.., huku ni macho tu kwa sasa..,
View attachment 2321091
View attachment 2321093
That's great.My all best wishes to you my comrade Kenyans .This time round we are mature...no violence whoever wins (IEBC) we shall accept
Kwa kweli mavazi yake hata mimi siyaelawagi,anatafuta kuonekana au kujitofautisha na wengine maana kama ni fashion sionagi wengine wakimuiga.


Kuwa muelewa, wacha kuvamia vamia mada kwa mihemko yako ya kisiasa mzee.ficha umbumbumbu mshikaji unafikiri uchaguzi wa Kisukumagang?
Achana naye Wakenya waongo waongo sana.Ana unasaba na mgombea mmojawapo. Tena udugu wa karibu kabisa.
Ikimpendeza labda mwenyewe anaweza kumwaga Chai.
Unajidhalilisha mzee. Unapoteza heshima yako kwenye huu uzi.Kwani bado tu Wakenya mnaoipenda nchi yenu hamjakinukisha tu? Mnasubiri nn, jamani wajaluo nipo nyuma yenu, Nicxie tupo pamoja, this time around lazima tushinde, wakileta ujinga hakai mtu ndani ya Kenya, lazima tuuwane.
Mm nataka ashinde Amoro Odinga mkuu.Unajidhalilisha mzee. Unapoteza heshima yako kwenye huu uzi.
Who is?? 😂😂😂Blue loading......
Wewe ni tahira kweli. Sina mengi bongolalaKwani bado tu Wakenya mnaoipenda nchi yenu hamjakinukisha tu? Mnasubiri nn, jamani wajaluo nipo nyuma yenu, Nicxie tupo pamoja, this time around lazima tushinde, wakileta ujinga hakai mtu ndani ya Kenya, lazima tuuwane.
Amoro Odinga ni nani wewe nyamwezi?Mm nataka ashinde Amoro Odinga mkuu.
Upo desperate sana wewe bongolala. Ama unadhani tulifungiwa internet sasa unabisha uone kama tupo? Kenya sio Tanganyika
Umeongea ukweli mkuucode za mopao ni complex mno
mpaka kuna utani kwamba akiacha begi lake somewhere hakuna atakayelochukua maana hakuna kitakachomfit.



