Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi Tony254 tuambie I, kwanini wakenya mko hivi?, Hili tatizo la kuporomoka kwa majengo hapo Kenya, limedumu kwa zaidi ya miaka 20 Sasa, hakuna hatua zozote zinazochukuliwa kulimaliza, au hata hili pia mnahitaji wazungu au wachina kuja kuwasaidia?.

Rushwa, slums, crime, njaa, tribalism na hili la kuporomoka kwa majumba, nalo pia mnataka kulifanya kuwa ni miongoni mwa matatizo yaliyoshindikana kutatuliwa hapo Kenya?. Kweli Kenya mnatusikitisha Sana.
Tony254
Don YF
Nicxie



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hao watakuwa na weak guidelines katika ujenzi au kimoja kati ya elimu hafifu na rushwa tuu.
 
Media house zote zimewacha kuhesabu kura. Ni kama kuna kitu kimefanyika.
 
Kwetu 'uswazi' ni nyumba za gorofa. Kwenu uswazi ni nyumba za chini. Natumai umejibiwa.
Mwenyewe nyumba ya chini anafaidi maisha sana maana ana private land space yake yeye mwenyewe anaweza akaitumia atakavyo kuliko yule anaekaa kwenye kiota gorofani hata pa kuanika nguo hana utakuta chupi na nguo nyingine zimeanikwa madirishani na gorofa lote unakuta limepambwa kwa chupi za kila rangi.
 
Wala hajaguswa na mtu yeyote, hawa ni wachumia tumbo, ni wanasiasa maslahi, wakiwa sehemu yenye maslahi, watasifia kwa nyimbo na mapambio, wapo tayari kusema lolote ili kulinda maslahi yake, maslahi yakimalizika atawageuka na kuwadhalilisha Kama mbwa, mfano mzuri ni Sonko huko Kenya, hawa sio watu wa kuwasikiliza hata kidogo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuu. Wachumia tumbo huangalia maslahi tu.
 
Mwenyewe nyumba ya chini anafaidi maisha sana maana ana private land space yake yeye mwenyewe anaweza akaitumia atakavyo kuliko yule anaekaa kwenye kiota gorofani hata pa kuanika nguo hana utakuta chupi na nguo nyingine zimeanikwa madirishani na gorofa lote unakuta limepambwa kwa chupi za kila rangi.
Inategemea hiyo nyumba ya chini inakaaje na hiyo gorofa inakaaje. Don't compare oranges to mangoes. Sasa tuseme wenye wanakaa hapa wako na Maisha Bora kuliko wenye wanakaa pale kwa next photo?

Dar-es-Salaam-masterplanning-London_07253e55b7ca164b8d0056b8f5e17f5d.jpg


107333732.jpg
 
Nilimuambia Dopchinski kwamba Raila au Ruto anaweza kushinda. Soma comment yangu. Wewe ndio ulikwamia kauli kwamba Raila hawezi kushinda kwa sababu ya matamshi ambayo sidhani kama ni ya kweli.
Sawa, ndio maana niliuliza kisa cha kuambiwa hivyo na baba yake ni nini hakunijibu. Inaweza kuwa ni maneno ya kisiasa tu kumuharibia.

Raila anaongoza ana kura 6,080,728.
Ruto ana kura 5,861,718.

Tofauti ni 219,010.

Je bado vituo vingapi?
 
Sawa, ndio maana niliuliza kisa cha kuambiwa hivyo na baba yake ni nini hakunijibu. Inaweza kuwa ni maneno ya kisiasa tu kumuharibia.

Raila anaongoza ana kura 6,080,728.
Ruto ana kura 5,861,718.

Tofauti ni 219,010.

Je bado vituo vingapi?
Inategemea unatazama TV station gani. Kila TV inafanya hesabu kivyake. Wewe unatazama TV station gani?
 
Media house zote zimewacha kuhesabu kura. Ni kama kuna kitu kimefanyika.
Nahisi watakuwa wamekatazwa kwa sababu wanaleta mkanganyiko kwa wananchi,hii ndio maana baadhi ya viongozi Africa huwadhibu vyombo vya habari kwa uptoshaji kama huu kwa kisingizio cha freedom of press.
 
Sasa iweje huyu mjinga kamtandika jamaa risasi?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Those are isolated incidences kila soko Huwa na wazimu wake.... You can't use that to judge awhole political process that has been Soo transparent that for the first time people are conceding defeat hata kabla ya official announcement zifanywa sababu everything is in the public domain mtu huwezi kataa... Na huyo alipiga mwingine risasi anasakwa akamatwe kama wakorofi wengine.
 
Na ma slums yaliyotapakaa Kenya nzima nayo ni maghorofa?
Slums nilikuambia ni shida ya nchi tajiri huwezi elewa hayo maneno unadhani unaeza pata slums sehemu hakuna modern development ama unaeza pata slums Kijijini? So Wacha sisi Kam inchi tajiri tutatue Hilo shida polepole
 
Super power ambaye hawezi kujilisha Tony 254 acha utani na huyo starving giant wako. Nimecheka sana leo.
Niliwaambia nyinyi ndo muende shambani mzalishe vyakula sisi tuna Hela za kuvinunua shida Iko wapi hapo Tena? Inchi yenyu Ina rotubaa nzuri kwa hivo chimbeni sisi tununue maneno ya njaa imetoka wapi?
 
Back
Top Bottom