Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Utani tu sema kunyan kila kitu mnachukulia serous sana na ndio maana humu mitandaoni kutwa ni mizozano na mataifa mengine,tena mnawaonea sana waganda mkija kwetu battle tunalibadilisha kwa kiswahili mpaka mnaomba poo,by the way watanzania tuna ndugu na marafiki wengi wakenya tunaanzaje kuwachukia,sema nyie chuki zenu ukabila zilizopandikizwa toka wadogo ndio hizo zinazowatesa
Kati ya Mkenya na Mbongo nani atachukulia utani serious? Usinichekeshe bro.🤣🤣
 
Kati ya Mkenya na Mbongo nani atachukulia utani serious? Usinichekeshe bro.
Wakenya mpo serious sn na hyo ndiyo culture yenu, ndivyo mlivyoumbwa na ndivyo mlivyolithi toka kwa mabibi na mababu zenu, ukiingiza utani kdg tu mkenya anakasirika, ugumu wa maisha unafanya muwe serious mda wote huku mkiwa mmekunja sura.
 
Diaspora kubwa ya Kenya sio Qatar, ni US. Ila hao wa US hawajajiandikisha kwa wingi kupiga kura ila US ndio nchi yenye population kubwa zaidi ya Wakenya kushinda nchi nyingine yoyote duniani.
Leta ushahidi wacha ujinga, kwanini Qatar wajiandikishe lakini walioko US wasijiandikishe?. Ukweli ni kwamba Qatar ndiyo Kuna wakenya wengi kuliko US, kwa mujibu wa wapiga kura

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Let ushahidi wacha ujinga, kwanini Qatar wajiandikishe lakini walioko US wasijiandikishe?. Ukweli ni kwamba Qatar ndiyo Kuna wakenya wengi kuliko US, kwa mujibu wa wapiga kura

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Una ujinga sana. Idadi ya wapiga kura haina uhusiano na idadi ya watu wanaoishi katika nchi fulani.
 
Wakenya mpo serious sn na hyo ndiyo culture yenu, ndivyo mlivyoumbwa na ndivyo mlivyolithi toka kwa mabibi na mababu zenu, ukiingiza utani kdg tu mkenya anakasirika, ugumu wa maisha unafanya muwe serious mda wote huku mkiwa mmekunja sura.
Shida yetu tunaona tunafanya utani kumbe tunawagusa sana.Utani wenye ukweli ndani yake huwa unauma sana
 
Hakuna Police, Hakuna Police, hawa nani.
Screenshot_20220810-163842.jpg
 
Ukiona skyscraper lolote Tanzania ujuwe limejengwa na serikali. Private sector ya Tanzania ni useless haiwezi kujenga skyscraper hata moja. Nchi yenu bado ya ujamaa sana, mnaitegemea serikali kwa kila kitu.
Hivi huu upumbavu wako bado haujakwisha?, Kati ya miradi ya serikali na miradi ya watu binafsi ni ipi yenye faida kwa nchi na wananchi wa kawaida?, Serikali yenu ni dhahifu Sana ndio sababu imewekwa mikononi mwa matajiri, matapeli na familia chache za wanasiasa. Hovyo Sana ninyi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hio skyscraper is owned by a PRIVATE Chinese company. Kwa hivyo hio ni mali ya private sector. Haijajengwa na serikali ya Kenya wala serikali ya China.
Kwahiyo unafurahia serikali yenu kushindwa kujenga majumba ili kuwapangisha wananchi kwa Bei nafuu badala yake unataka watu binafsi ndio wajenge ili kuwaumiza wananchi kwa kuwapangisha kwa Bei kubwa?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Una ujinga sana. Idadi ya wapiga kura haina uhusiano na idadi ya watu wanaoishi katika nchi fulani.
Kwahiyo kichwa chako ndicho chenye kujua uhusiano wa idadi ya raia wa nchi Fulani, sivyo?. Hivi hujui chaguzi Kama hizo pia zinatumika kupata "rough picture" ya idadi ya watu katika maeneo au mijini. Sasa wewe umetumia nini kujua kwamba USA ndiko kuliko na wakenya wengi kushinda Qatar?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hivi huu upumbavu wako bado haujakwisha?, Kati ya miradi ya serikali na miradi ya watu binafsi ni ipi yenye faida kwa nchi na wananchi wa kawaida?, Serikali yenu ni dhahifu Sana ndio sababu imewekwa mikononi mwa matajiri, matapeli na familia chache za wanasiasa. Hovyo Sana ninyi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Ukichunguza vizuri, Serikali yao ina Hadi Hotel. Ni midomo tu.
 
Back
Top Bottom