Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi




MY TAKE
Halafu kuna watu kama Manara wanaleta migogoro na mitafaruku sijui hawaoni mafanikio ya timu zetu na pia sports academies zinazojengwa na sasa nafasi ya ku-host African Cup of nations!?
Huyu naye ana mdomo sana halafu hawezi ubishi, akiguswa kidogo anasingizia anaonewa kwasababu ya ulemavu wake.
Anaboa saa nyingine bana.
 
Mm nasubiri michinjo tu, tangu lini mkikuyu akamuunga mkono Jaluo, Uhuru akaona ili kumuua kabisa Raila akajifanya kumsaport akajua mapungufu yake akayatumia kumuweka mkalee Ikulu. Nyie Majaluo kina Nicxie Ikulu mtaisikia mpk mnashuka kaburini
Wahii! Kwa hiyo hata sisi tunaomshabikia Raila Ikulu tutaisikilizia Kibera mkuu ?
 
Safi. Jtano keshokutwa tutafanya site visit hapo kuangalia ishu za umeme. Nitatupia picha picha nikifanikiwa
Jtano ndo leo. Wazee wa kazi tumefika
20220810_121704.jpg
20220810_121652.jpg
20220810_121411.jpg
20220810_121448.jpg
20220810_121252.jpg
20220810_121621.jpg
20220810_121722.jpg
20220810_121833.jpg
 
Raila ndio anaweza waletea Kenya maendeleo lakini kama wakichagua kikabila imekula kwo Ruto ni mpigaji.
Wewe unadhani Watanzania wanaitakia Kenya mema? Kwani hujui Watanzania ndani ya hii forum wana roho mbaya na Kenya?
 
Wewe unadhani Watanzania wanaitakia Kenya mema? Kwani hujui Watanzania ndani ya hii forum wana roho mbaya na Kenya?
Sisi sote ni ndugu moja tuu wakoloni ndio wametugawa ila wa Tz kiuhalisia hawaitakii kenya mabaya ila ni utani uliopitiliza tuu hata kwenye mpira wetu wa Simba na Yanga tuko hivyo hivyo baada ya mechi tunakunywa beer pamoja.
 
Back
Top Bottom