Pale ubungo interchange patapendeza sana na majengo kama haya karibu maana kuna TBS pia hapo karibu na TCRA tower na PSSF tower kwambali kdg skyline ya hapo iko bomba sana.
Pale ubungo interchange patapendeza sana na majengo kama haya karibu maana kuna TBS pia hapo karibu na TCRA tower na PSSF tower kwambali kdg skyline ya hapo iko bomba sana.
Loh! Za jikoni hizi au za mtaaniUkute UK na WSR huwa wanakutana usiku kunywa chai halafu wanasema huyu boya hataamini tutakacho mfanya saa hii wacha nijifanye niko na yeye![]()



Na uhuru walioutaka kwa kumwaga damu ya mtu asiye na hatiaWanakimbia demokrasia![]()




Inaelekea itakuwa interchange flani hivi kama wakiondoa zile traffic lights pale junction ili traffic iwe seamlessly na ndio maana wamebomoa sehemu kubwaSafi sana mkuu. Patadamsh ile mbaya.
Ukiona skyscraper lolote Tanzania ujuwe limejengwa na serikali. Private sector ya Tanzania ni useless haiwezi kujenga skyscraper hata moja. Nchi yenu bado ya ujamaa sana, mnaitegemea serikali kwa kila kitu.
Yeah! We hope so.Inaelekea itakuwa interchange flani hivi kama wakiondoa zile traffic lights pale junction ili traffic iwe seamlessly na ndio maana wamebomoa sehemu kubwa
Hako kamji kamepangika vzr tatizo nyumba zina bati zenye kutu, wangezitoa hizo bati au kupiga rangi pangependeza sn.
Sasa unaumizwa na nn?Ukiona skyscraper lolote Tanzania ujuwe limejengwa na serikali. Private sector ya Tanzania ni useless haiwezi kujenga skyscraper hata moja. Nchi yenu bado ya ujamaa sana, mnaitegemea serikali kwa kila kitu.















Mahakama zetu wangeziona si wangezirahi!Angalia comment za wanigeria awaamini kama kama hii police station ni TZ,hapa ingekua jirani zetu wa north wangeponda tuView attachment 2320017View attachment 2320018View attachment 2320019View attachment 2320020
Mbona hii yote (mpaka barabara) ni Chinese government owned kwani serikali yenu imekatazwa na wao kujenga?Ukiona skyscraper lolote Tanzania ujuwe limejengwa na serikali. Private sector ya Tanzania ni useless haiwezi kujenga skyscraper hata moja. Nchi yenu bado ya ujamaa sana, mnaitegemea serikali kwa kila kitu.
Ehee! Mapema hivyo aisee![]()
Kenya2022 - Ni kweli hii imetokea Kenya kwenye uchaguzi huu au ni ya kitambo?
Naona wanaharakati wa nchini kila mahali ni kusifia kenya na kuiponda Tanzania. Hizi vurugu ni za lini?www.jamiiforums.com
Washaanza kupigana uko![]()


Imegoma kufunguka mkuu nilitamani nione kinachoendelea. Ngoja nitafute source nyingine.![]()
Kenya2022 - Ni kweli hii imetokea Kenya kwenye uchaguzi huu au ni ya kitambo?
Naona wanaharakati wa nchini kila mahali ni kusifia kenya na kuiponda Tanzania. Hizi vurugu ni za lini?www.jamiiforums.com
Washaanza kupigana uko![]()
Ukabila mbaya sana, hawa uchaguzi huu hawawezi kuepuka genocide mana wajaluo hawataki tena ujinga alafu wakalee wanaona hii ni zamu yao.Ehee! Mapema hivyo aisee![]()
Hiyo ni thread, ingia kwenye hiyo thread gusa tu hapo uta download video.Imegoma kufunguka mkuu nilitamani nione kinachoendelea. Ngoja nitafute source nyingine.
Hio skyscraper is owned by a PRIVATE Chinese company. Kwa hivyo hio ni mali ya private sector. Haijajengwa na serikali ya Kenya wala serikali ya China.Mbona hii yote (mpaka barabara) ni Chinese government owned kwani serikali yenu imekatazwa na wao kujenga? View attachment 2320101
Hio skyscraper is owned by a PRIVATE Chinese company. Kwa hivyo hio ni mali ya private sector. Haijajengwa na serikali ya Kenya wala serikali ya China.