Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

yaonekana, hawa watu wanapelekana hapa kwa hapa.. hii race ni noma sana.

nb: hawa watu wawili wanatoshana nguvu

Screenshot_20220810-002901_YouTube.jpg
 
if their is any dangerous country for other africans to go, and especially kenyans... it would most definitely be tanzania. tanganyikans don't want anybody in their country.. they even seem to reject tourists who come for holidays, bringing in lots money..
tanzanians huaga wanatimua kila mtu wa nje kwao..
Tanzania for Tanzanians only!. hiyo nayo lazma kieleweke!
But Tanzania is the the biggest source of Kenyans' remittances in Africa, it hosts many Kenyans' companies than any other country in Africa. Now try to connect with what you are talking

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
1,400-1,500 MW ni consumption yenu ya umeme. Production ni 1,700 MW. Kwa kawaida lazima production iwe juu zaidi kushinda consumption. Hapo kwa 1,700 MW sijahesabu Kinyerezi gas plant ambayo bado ipo kwenye commisioning and testing phase. Mwakani baada ya testing ya Kinyerezi kukamilika, mtakuwa mnazalisha kati ya 1,900 MW na 2,000 MW ya umeme. Ujuwe Kenya inaconsume around 2,100 MW na inaproduce around 3,000 MW. Kenya consumes more electricity than Tanzania produces.
Kwasababu viwanda vingi Tanzania hutumia Natural gas, kumbuka viwanda ndio watumiaji wakubwa wa umeme. Kenya bado hamjafikia 3000MW.

Jambo muhimu sio kuzalisha umeme mwingi, muhimu ni gharama za huo umeme, Kama ni ghali hausaidii kuboresha uchumi, badala yako nao unakua ni sehemu ya tatizo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
aya ya ya yaaah! na mbona sasa.. basi nikama wakikuyu wako na ubinafsi flani.. yani wao wanapendana wao wenyewe.
ruto alikua na hgh hopes sana mount kenya, his only stronghold outside rift valley.. ole wangu ruto. ata baada ya hio campaign yote!, ile mamillioni ya pesa ali mwaga huko nayo!.. siasa na mbaya aky.! ata ivo namtakia kila laheri
Jambo la kujifunza hapa ni kwamba ukabila ni upumbavu na hatari

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wakenya wa diaspora wanakubaliwa kupiga kura. Yaani Kenya iko tu level yake.
Kwasababu wakenya wengi hutoroka nchi Yao na kwenda kufanya kazi nje ya nchi, ulishasikia Japan au Germany ikifanya hivyo?. By the way Qatar ndio nchi yenye wakenya wengi waliojiandikisha kupiga kura, hiyo inakupa picha kwamba, wangi wa wakenya hukimbilia nchi za kiarabu kufanya kazi za ndani na ulinzi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwasababu wakenya wengi hutoroka nchi Yao na kwenda kufanya kazi nje ya nchi, ulishasikia Japan au Germany ikifanya hivyo?. By the way Qatar ndio nchi yenye wakenya wengi waliojiandikisha kupiga kura, hiyo inakupa picha kwamba, wangi wa wakenya hukimbilia nchi za kiarabu kufanya kazi za ndani na ulinzi

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Diaspora kubwa ya Kenya sio Qatar, ni US. Ila hao wa US hawajajiandikisha kwa wingi kupiga kura ila US ndio nchi yenye population kubwa zaidi ya Wakenya kushinda nchi nyingine yoyote duniani.
 
Tayari Forms 34A 42,471(92%) out of 47,229 ziko kwa iebc portal


Unaweza check results na kama uko na time na resources unaweza tabulate all the 42,471 forms 34A ujue where each candidate stands.
I must say things don't look good for raila Odinga
 
Fertilizer subsidy..

Mtajua hamjui 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220809-200004.png
    Screenshot_20220809-200004.png
    139.7 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220809-200249.png
    Screenshot_20220809-200249.png
    108 KB · Views: 11
Back
Top Bottom