Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi sote ni ndugu moja tuu wakoloni ndio wametugawa ila wa Tz kiuhalisia hawaitakii kenya mabaya ila ni utani uliopitiliza tuu hata kwenye mpira wetu wa Simba na Yanga tuko hivyo hivyo baada ya mechi tunakunywa beer pamoja.
Wewe pengine ndio huna roho mbaya na Kenya. Ila hawa watu wana roho mbaya na Kenya. Watashangilia sana ikiwa Kenya itafeli kabisa. Geza Ulole, joto la jiwe na The best 007
 
Seems like wameweka ndege pale uhuru park
IMG_131731_10822.jpeg
 
Wewe unadhani Watanzania wanaitakia Kenya mema? Kwani hujui Watanzania ndani ya hii forum wana roho mbaya na Kenya?
Tony mbona mara nyingi tumekuwa tukisema uchaguzi uishe salama? Na nimeongea hapo juu hata nusu saa haijapita. Watanzania gani hao, mambo mengine ni utani kaka don't take it seriously bro.
 
Kwahiyo chuki zako kwa hawa wajaluo wa humu umeamua kumnyang'anya Urais baba wa watu ili uwakomoe wabaya wako
Wao c wanasema nchi yao ina uhuru na kwamba Tz tunaongozwa na CCM pekee, sasa sisi tunaongozwa na CCM tangu uhuru ila kila kabila lina nafasi ya kutoa Rais, wao wanaongozwa na makabila mawili pekee na hakuna kitu watafanya
 
Raila ndio anaweza waletea Kenya maendeleo lakini kama wakichagua kikabila imekula kwo Ruto ni mpigaji.
Na ndiyo maana nimebadili mawazo, wacha achukue Ruto tukawatawale, maana akileta fyoko fyoko tunampa pesa anafunga domo lake watu tunafanya yetu
 
Wewe unadhani Watanzania wanaitakia Kenya mema? Kwani hujui Watanzania ndani ya hii forum wana roho mbaya na Kenya?
Utani tu sema kunyan kila kitu mnachukulia serous sana na ndio maana humu mitandaoni kutwa ni mizozano na mataifa mengine,tena mnawaonea sana waganda mkija kwetu battle tunalibadilisha kwa kiswahili mpaka mnaomba poo,by the way watanzania tuna ndugu na marafiki wengi wakenya tunaanzaje kuwachukia,sema nyie chuki zenu ukabila zilizopandikizwa toka wadogo ndio hizo zinazowatesa
 
Hehehehe Tony yani leo unaona mbwa tusi mkuu, mbn wewe unalitumia sn

Anyways wacha nibadili maana msije mkanipiga wajaluo
Unatukana mpaka Obama na umeweka picha yake kama Avatar yako? Hivi hujui Baba ya Obama ni Mjaluo kutoka Siaya?
 
imagin baba yake raila odinga, yani jaramogi oginga odinga, alimlaani mwana wake raila, kua, utakaribia sana kiti cha urais kama mimi.. utaona ni kama tayari umeshika ikulu.. lakini lo!.. hicho kiti hautawai iona.. itakuponyoka mikononi ukiona...

heb, yatafakari hayo........ 🤫🤫🤔
 
Back
Top Bottom