Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna serikali yoyote duniani yenye uwezo wa kukidhi mahitaji ya makaazi ya wananchi bila kutegemea private sector. Hata serikali tajiri namna gani haina uwezo huo. Lazima GoT ikubali kugawanya majukumu ya kujenga skyscrapers na majengo mengine na private sector. Huu upuuzi wa GoT kujenga skyscrapers zote ndani ya TZ ni ishara tosha kwamba investors wa real estate wamegoma kuinvest hapo TZ. Kenya skyscrapers zinajengwa na both GoK na private sector. Skyscrapers za CBD zinajengwa na serikali na skyscrapers za Upperhill na Westlands zinajengwa na private sector.
Kama investor wamegoma serikali si inajenga kuna shida gani kwani.
Ingekuwa investors wamegoma na serikali haijengi hapo ndo ingekuwa shida.
 
Kama investor wamegoma serikali si inajenga kuna shida gani kwani.
Ingekuwa investors wamegoma na serikali haijengi hapo ndo ingekuwa shida.
Kwa hivyo unakubali kwamba investors wa real estate wamegoma kuinvest hapo Tanzania? Asante kwa kuwa mkweli.
 
Real estate Dar is ahead of ka Nairobi kwa $3b, so hizo real estate zote imejenga GoT?
100% ya skyscrapers zote above 20 floors (majengo yenye zaidi ya ghorofa 20) hapo Dar es Salaam yamejengwa na serikali ya Tanzania. Mmeshindwa kuvutia muwekezaji hata mmoja wa kujenga skyscraper hata moja hapo Tanzania halafu bado mnataka kushindana na sisi?
 
Imagine China Leo ingekuwa inasubiri sector binafsi ijenge reli sijui ingekuwa je.

Kuna vitu vingine tunakaririshwa tu, hata hatu reason.


Ndio hapo.

Majamaa ya Kikenya ni washamba kinoma, kama huyu Mtembezi255. Yaani yeye kufika huko mtu mzima anaona sisi wote hatujui. Asijue wengine hawapo Tanzania tangu below 19yrs na sasa ni watu wazima.

Wakenya limbukeni sana.
 
Of course we miss Mwalimu so much his ideas and vision still live on.
hakuna mambo na vision hapa......... hawa watu wa kitambo, akina moi, akina nyerere, kina amin. walikua wana rule kienyeji style. zile za, 'we live for today, tomorrow ijipange'.. hawa watu wa analogue walirudisha sana nyuma EA.
they had no manifesto, no strategy, no policy, no vision whatsoever.
In the 21century, a modern president MUST! have a "ThinkTank".. but those presidents didnt want to hear anythng like tht.! all they wanted is to be worshiped by citizens. they were religiously respected, as in, they were like 'gods'..
that's why tanzania has everything, ie. all the fertile lands and all the minerals in the world, but still a poor country.!!
nyerere's ujamaa vision, has lagged behind tanzania so much to date, otherwise it could be in the league of botswana, mauritius, who transformed from a humble beginning to a strong force to reckon with
 
Wacha wivu na mabingwa wa nchi, timu yenye mvuto zaidi Afrika mashariki na kati kwa ss na wenye pesa na uwezo wa kununua mchezaji yeyote Africa.
Imetoka list jioni hii toka CAF timu 23 na Yanga haipo lakini. Wamesema kila zone watachukua timu 3 sasa naona kwa zone yetu wamechukua TP Mazembe, Simba na El Hilal ya Sudan tuu.
 
Imagine China Leo ingekuwa inasubiri sector binafsi ijenge reli sijui ingekuwa je.

Kuna vitu vingine tunakaririshwa tu, hata hatu reason.
Ni kweli ilimradi tukwamishwe tu.Kuna wakati inabidi kujiongeza. Taifa bila maono ni Taifa mfu.
 
Huku wenzenu utani ni jadi yetu,makabila huku hayabaguani uwa yanataniana,siku umepata msiba hata wa mzazi wako mtu anakuja kukutania na kughasi ghasi na hizo fujo zake zinakua kama faraja tu
Wabongo wengi wana chuki ya kiukweli dhidi ya Wakenya, Wakenya wanachukulia tu utani.
 
Imetoka list jioni hii toka CAF timu 23 na Yanga haipo lakini. Wamesema kila zone watachukua timu 3 sasa naona kwa zone yetu wamechukua TP Mazembe, Simba na El Hilal ya Sudan tuu.

🤣 🤣 🤣 👆 👆
 
Back
Top Bottom