Hao waongoza ndege walikuwa wapi? Inawezekana kabisa sio makosa ya captain maana ndege haina reverse huwa pushed back na hapa inaelekea watu wa ground ndio wana makosaHasa captain hawezi kutoboa.
Hao waongoza ndege walikuwa wapi? Inawezekana kabisa sio makosa ya captain maana ndege haina reverse huwa pushed back na hapa inaelekea watu wa ground ndio wana makosaHasa captain hawezi kutoboa.
Nje ya mada kidogo. Hivi umewahi kusoma au kusikia kisa cha Ngoswe? Kitabu chake kinaitwa Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe by Edwin Semzaba. Kisa chake kinahusiana na mambo ya sensa, kama bado kisome tafadhali ufurahishe moyo wako.Huku wanachukua sana sana university students. 2013 wakati bado nilikuwa student kwa university, wengi wetu tuliapply na kupata hio kazi ya IEBC ya kuwa clerk. Malipo sio mbaya unavyofikiria. Ila kuna permanent and pensionable jobs za IEBC kwa mfano returning officer analipwa pesa nyingi sana na ni kazi permanent and pensionable.
Huyu lazima afanye ya kufanya ya Ngoswe tukimkosa humu jamvini tujue tayarikumbe wewe ndio karani![]()




Mambo ya sensa?Nje ya mada kidogo. Hivi umewahi kusoma au kusikia kisa cha Ngoswe? Kitabu chake kinaitwa Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe by Edwin Semzaba. Kisa chake kinahusiana na mambo ya sensa, kama bado kisome tafadhali ufurahishe moyo wako.
Ila dah! Mzee unapenda sana mazingira nimegundua ni kitu kiko damuni, ndio hivyo tena nani atatupangia kwa usafi na mpingilio wa kuvutia kama huu kwenye nchi zetu?Incompetent leaders.
This is an urban housing development in the seaside town of Newquay, Cornwall, England. Just take a look at how awesome these homes are. I fell in love with all the summer colors.
View attachment 2316321View attachment 2316322View attachment 2316323View attachment 2316324View attachment 2316325View attachment 2316326View attachment 2316327View attachment 2316328View attachment 2316329View attachment 2316330View attachment 2316331View attachment 2316332View attachment 2316333
Yeah. Hujawahi kukisoma hicho kitabu jamaa aliharibu kazi, au umekisahau?Mambo ya sensa?
Ni tamthiliya kitabu kidogo dogo hivi hata siku 1 moja haiishi unakuwa umeshamaliza kukisoma.Mambo ya sensa?
Sasa hizi si ni nyumba za wafanyakazi wa majani ya chai bwana na wewe,hakuna mfanano hapo




Watakwambia hatuna pesa sasa hivi tuna miradi mingi tunaikamilisha. Hakuna kuwaza nje ya hapo.Hata hivyo pia hawana maajabu yoyote hao wazungu, Bongo tu tumezubaa, ila Nina uhakika kama mwamba angekua hai tungeshuhudia yote haya tena kwa ukubwa ambao tengeshangazwa wengi wetu, sipati picha zile plan za kuibadilisha magomeni sunna mpaka Kinondoni zote zile kuanzia panda shuka hadi manyanya na viunga vyake, ila viongozi tuliopo nao sasahiv ni wapiga domo tu, hata sijui hizo plans ziliishia wapi pia![]()
Bado sijakisoma. Nitakitafuta.Nje ya mada kidogo. Hivi umewahi kusoma au kusikia kisa cha Ngoswe? Kitabu chake kinaitwa Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe by Edwin Semzaba. Kisa chake kinahusiana na mambo ya sensa, kama bado kisome tafadhali ufurahishe moyo wako.
Waziri wa ardhi amepiga marufuku viwanja vya 20/20, hivi navyo ni shida sana ndio vinapelekea miji kuwa na uswahili wa kuchoka. Je amri yake itatekelezeka?Ndio maana nilisema kwa Kuanzia TBA na Nhc wawezeshwe wao ndio wapime viwanja kulingana na wanavyotaka kufanya development.
Sisi tukiona viwanja vimepimwa na halmashauri tunasema mji umepanga.
Style yenyewe ya kupima viwanja ni ile ile haina ubunifu.
Mimi mortgage naona itasaidia sana kuliko kuruhusu watu kujijengea hovyo, mtu anajenga chumba kimoja anakaa miaka kumi anajenga cha pili, si bora alipe mortgage tu.
Serikali iweke utaratibu nhc na tba wakijenga nyumba wanashirikiana na Tanesco na watu wa maji nk, barabara wanazipiga lami.
Miundombinu yote weka chini ya ardhi hii itapunguza hata rushwa. Hakuna rushwa ya kiwanja wala ya kuungiwa umeme na maji
Kawaida sana. Hapa hamna lolote lile wewe nyang'au.Makupa Causeway 8 lane bridge inafanya Dar-is-a-scam ikae kijiji cha uvuvi mbele ya Mombasa. Hadi picha wadanganyika hawaamini Mombasa imechapa Dar
View attachment 2317352View attachment 2317354View attachment 2317357View attachment 2317358View attachment 2317359View attachment 2317361View attachment 2317362View attachment 2317363View attachment 2317364View attachment 2317366View attachment 2317367
Kwani GMO ni nini Kama sio "branch of Genetics?" au unadhani GMO ni Geography, Mathematics au Physics?, Hili ni eneo langu la kujidai usinijaribu utapata matatizoHakuna kwa vile utotoaji si GMO kama ulivyodai! Usigeuze topic jibu swali langu la utotoaji wa vifaranga na GMO! Ukiwa hujui kitu nyamaza na si kudai utotoaji wa vifaranga ni GMO! Wacha kupotosha!



Ona huu fala mtanzania, Nionyeshe 8 lane bridge Danganyika nihame jfKawaida sana. Hapa hamna lolote lile wewe nyang'au.


my take:
na kama kweli hii Jamiiforum ulianzishwa na watanzania na wala sio wakenya..! basi heko na kongole zangu kwenu nyie wabongo, hivi naona ni platform ilioratibiwa vizuri sana
vitu kama hizi internet platforms inakuaga sana sana inaundwa na kuokwa na magwiji wa kikenya, yani ICT Gurus and Wizards walio na tajriba ya hali ya juu, na pengine kwa kiasi wasouthafrica na wanigeria..
hivi, JF is just another 'facebook' or 'whatsApp' of its kind..
but even more so, ahead of fb and whtapp, one can easily lay out his complaint to the readily available and listening admins, concerning content tht violates the rules, eg. violence incitements, sensitive political articles and even pornographic literature..
ntasema wabongo roundi mmejaribu sana..
yani sikutaraji kitu kama hiki iwe inatoka tz na wala sio iHub, pale upperhill, yani vitu kama hizi inakuga sana sana yetu. hehe....
naona wabongo, mnakuja sana. mzidi kujituma vivyo hivyo, soon tutawafungulia afisi kule konza technopolis![]()



,sifia tu moja kwa moja acha kuzunguka mzee 

Tulikisoma f3 daah nimesahau mambo mengi sanaYeah. Hujawahi kukisoma hicho kitabu jamaa aliharibu kazi, au umekisahau?