Wenzetu wana makampuni makubwa sana ya real estate na well developed housing finance wanachukua ardhi kubwa wanajenga mji watu wananunua kwa mortgage.Huku bado hatujakua serious na mambo ya msingi
Wenzetu wana makampuni makubwa sana ya real estate na well developed housing finance wanachukua ardhi kubwa wanajenga mji watu wananunua kwa mortgage.Huku bado hatujakua serious na mambo ya msingi
These are camp houses for tea plantations
Kwa hela hiyo mimi nikikaa hata grocery ya bia tuu nitakaa kama mwizi maana siwezi kujiamini kwa kiasi hicho cha pesa.Kumbe we jamaa ni Karani wa uchaguzi
alafu unadai kwamba ukija bongo wewe ni milionea .? Kwahzo elfu 50 tz sh utakazolipwa per day .? 50k×6= 300k.. hii ukija bongo ni pesa y kutumia usiku mmoja tu kidimbwi hapo, Jonie walker black label chupa mbili na chips kuku, pamoja na pesa ya bolt
![]()
Uganda is more political and economic stable than kunyaland! What is he bragging about? Huge Debts written all over matakoni?Acha aongee ukweli najua mtahitaji justification, Uganda wanaongozwa na dictator M7 miaka chungu mzima ni yeye tu ndio anajiona anaweza kua raisi, Ethiopia civil wars,S.Sudan failed state,Somalia terrorism backyard lol ofcz you can't compare kenya na hao jamaa
Hata hivyo pia hawana maajabu yoyote hao wazungu, Bongo tu tumezubaa, ila Nina uhakika kama mwamba angekua hai tungeshuhudia yote haya tena kwa ukubwa ambao tengeshangazwa wengi wetu, sipati picha zile plan za kuibadilisha magomeni sunna mpaka Kinondoni zote zile kuanzia panda shuka hadi manyanya na viunga vyake, ila viongozi tuliopo nao sasahiv ni wapiga domo tu, hata sijui hizo plans ziliishia wapi pia 🤦Wenzetu wana makampuni makubwa sana ya real estate na well developed housing finance wanachukua ardhi kubwa wanajenga mji watu wananunua kwa mortgage.
Ndio maana nilisema kwa Kuanzia TBA na Nhc wawezeshwe wao ndio wapime viwanja kulingana na wanavyotaka kufanya development.Wenzetu wana makampuni makubwa sana ya real estate na well developed housing finance wanachukua ardhi kubwa wanajenga mji watu wananunua kwa mortgage.
Ukitaka kujua kama hawa wajinga hawawezi kuishi bila sisi, Sisi ndio tunasimamia uchaguzi wao, sisi ndio tuna wa influence wachague mtu tunaemtaka 🤣🤣🤣 kweli tuna wacontrol hawa jamaa .. ni mwendo wa kula tax payers money 🤣🤣 Tony254Wakunya bila kuiga Tanzania wanaona maisha hayaendi kabisa, baada ya yule wa wheelbarrow kuiga za CCM hawa wakaiga za CDM 😄😄😄
Yaani wamejitengenezea katanzania kao kunako kunyaland 😄😄
View attachment 2316394View attachment 2316395
😁😁😁😁 Yaani wanatuwaza aisee ni kisanga!Ukitaka kujua kama hawa wajinga hawawezi kuishi bila sisi, Sisi ndio tunasimamia uchaguzi wao, sisi ndio tuna wa influence wachague mtu tunaemtaka 🤣🤣🤣 kweli tuna wacontrol hawa jamaa .. ni mwendo wa kula tax payers money 🤣🤣 Tony254
Hawa jamaa ni vibepari uchwara😁😁😁😁 Yaani wanatuwaza aisee ni kisanga!
Wanajifanya wao mabepari hawakati ujamaa wakati kichinichini wanakubali swaggs za wajamaa 😁😁😁😁
View attachment 2316398
Bepari gani anamtegemea mchina mpaka hela ya nauli? 😁😁😁😁Hawa jamaa ni vibepari uchwara
Na wachina ni watu wabaya sana wakishajua kama nchi yako ni vibepari uchwara 🤣🤣🤣 wanamiliki mpaka barabara huko kwao sikuhiz kwa jina la PPP according to some ignorant Kenyans in here 🤣🤣🤣 Dah.! Let's wait and see..Bepari gani anamtegemea mchina mpaka hela ya nauli? 😁😁😁😁
Kwa hela hiyo mimi nikikaa hata grocery ya bia tuu nitakaa kama mwizi maana siwezi kujiamini kwa kiasi hicho cha pesa.






Kwa hela hiyo mimi nikikaa hata grocery ya bia tuu nitakaa kama mwizi maana siwezi kujiamini kwa kiasi hicho cha pesa.



Ila wakunya punguzeni uchafu , hadi pedestrian bridge mmezaja uchafu . Kweli mna kipaji cha uchafu