Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sababu wasomali sio wakenya na wala hawa constitute more than 6% of kenyan population, even ahead merus, kisiis and so on.. 🤔🤔

ni bora kuyajua hayo leo toka kwako..
Hapa msomali katisha
60180426_401.jpg
 
huhitaji rocket science kuona hiyo wing imeunganishwa vipande vipande na japokuwa ni gharama kuagiza na ku-fit ila wing inarekebishika na ajali hii ingetokea Qatar wala isingechukua zaidi ya wiki kju-fix!
Wing ndio inabeba ndege force kubwa iko kwenye wings any slight miscalculation ni very fatal. Wing inapokua damaged ina transfer metal strain to the other undamaged parts hivyo ni bora kuweka wing mpya kuliko repair kwasababu safety standards za usafiri wa ndege ziko very high
 
Wing ndio inabeba ndege force kubwa iko kwenye wings any slight miscalculation ni very fatal. Wing inapokua damage ina transfer metal strain to the other undamaged parts hivyo ni bora kuweka wing mpya kuliko repair kwasababu safety standards za usafiri wa ndege ziko very high
Ni kweli. Wing ni critical part of the aeroplane kwa sababu inabeba engine. Wing ndio inabeba uzito wote wa engine. Engine ya passenger jet huwa ipo fixed chini ya wings. Pili, wing ni muhimu kwa sababu inabeba mafuta ya ndege. Watu wengi hawajui kwamba mafuta ya ndege huwa yanakuwa stored kwenye wings. Hizo ni sababu mbili tu kwa nini wing ni muhimu lakini kuna sababu nyingi zaidi.
 
Shetani amepiga pabaya, jamaa nilikua nafuatilia show yao dstv kama kundi ila nilinotice chimano hayuko sawa kabisa,nilipotezea ilo jambo...anakipaji kizuri ha kuimba huyu jamaa...Kuna mtaliano mmoja hivi nae mlainimlaini hv alikua kwenye show yao...Ssma wenzake wako sawa tu
 
Hii dead white elephant project waachane nayo.
Serikali ndio imevunjq mkataba inatafuta wawekezaji wengine na wasiwasi wafaransa wameishawishi serikali wakati mama alipokuwa ziarani France maana walionekana kuitaka port ya bagamoyo na walipokuja Tz waliifuatlia.
 
Kwani nimesema sio wakenya?
then why are you sounding as if trying to profile us 🤷🏻🤷🏼🤷🏿 why.?

infact our departmental section head, one mr abdi rashid is a somali, and we dont have any problem with that!. these pple are an important integral part and parcel of us..
 
Na kama hawataki kufanya kama tunavyotaka sisi wenye mali basi waandike kwamba huo mradi haupo.
Hapa kuna mkono wa USA na France ili ku counter influence ya China Africa. Both countries have shown interest ku participate in Bagamoyo port construction. Hizi ni za ndani kabisa subirini muone kampuni itakayopewa.
 
Back
Top Bottom